Wwe kweli kwa hilo jina lako la Mchokoo una haki ya kumpa Kura yako Lissu maana kasema ataruhusu Ushoga,na mtakua na haki zenu pia!!Wewe ndiye hunan huruma laki Wewe tu ndiye huna huruma, lakini wenzako tunamhurumia na tutampa kura zetu.
Kampeni zinaendelea kisayansi zaidi. Sirro aligwaya nini, baada ya kutia mkwara mzito?Si alisema anaendelea na kampeni imekuaje tena mbona kagwaya
Wewe sasa sio bia, ila ni Gongo. Kwahiyo Magufuli hajabomolea watu nyumba sio? Maisha saaafi sio? Kazi mnayo. Ndio maana Magufuli hathubutu kuruhusu uchaguzi wa haki. Lazima aengue wagombea wa upinzani.Huo ni uwongo mnaolishwa na lissu msaliti wa Nchi
Mtaani ukitamka Magufuli watu wanasema kipenzi cha Watanzania, Mzalendo, MCHAPAKAZI
Ila kusema lissu wanasema msaliti wa Nchi, anatetea ushoga nk
Bi Jane Lowassa leo MATAGA yamekuachia shift ya wikendi peke yako 😂 😂😂Huo ni uwongo mnaolishwa na lissu msaliti wa Nchi
Mtaani ukitamka Magufuli watu wanasema kipenzi cha Watanzania, Mzalendo, MCHAPAKAZI
Ila kusema lissu wanasema msaliti wa Nchi, anatetea ushoga nk
Kazi imeanza na huyo katumwa ni mpigapicha wa Robert 😁!Hili lilissu kweli ni likibaraka yani mpaka camera man naye ni mzungu.
Kusema lile la ukweli,wewe Tundu Lissu sali sana na uzunguke makanisa yote kama ikikupendeza kwa ajili tu ya kutafuta pepo yako lakini urais huupati ng'oo.Siku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Shughuli za kijamii ndiyo zimeanza hivyo😃😃😃Siku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Mwishowe utatiwa do.le.....Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Ndago mjue kuingiza sauti kwenye video clips basi imekua nongwa[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1590062
Kumbe yuda lisu ana ndimi mbili, si alisema ataendelea leo na kampeni na wala hatambui adhabu alivyopewa? Mbona kafyata mkia kama mbwa koko [emoji23][emoji23][emoji23]Kampeni zinaendelea kisayansi zaidi. Sirro aligwaya nini, baada ya kutia mkwara mzito?
Hali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Kumbe hata wewe umeona.kuna kaharufu kaukweli ulichosema!!Huyu TAL amefungiwa kufanya kampeni lakini hii ni kampeni " fulani " hivi!
Familia yenye baraka teleSiku ya leo ambayo ni Jumapili ya ibada Mh Tundu Lissu kama walivyo waamini wengine wa dini ya Kikristo amemtukuza Mungu kwa kushiriki ibada takatifu kwenye kanisa la KKKT , usharika wa Azania Front - Jijini Dar es salaam
Tulishawaambia kumfungia au kutokumfungia hakuna mafuu kwa magufuli.Huyu TAL amefungiwa kufanya kampeni lakini hii ni kampeni " fulani " hivi!
Mgombea wenu yuko gereji gani?Hali mbaya hadi kanisani mnaingia na camera
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu
Lissu haepukiki. Ngoja akianza kazi zake za chama na za kijamii. Sijui mtasemaje. Si mmemzuia??Kumbe hata wewe umeona.kuna kaharufu kaukweli ulichosema!!
Alijikaza sana hana zanzibar huku akijaribu kukaza sauti aonekane ni mzima..leo sijua kalazwa wapiMgombea wenu yuko gereji gani?
AminaMungu mbariki mja wako Tundu Antiphas Lissu na muepushe na mabaya na wabaya wote
Na kesho tunaenda kusalimia wagonjwa Muhimbili!Huyu TAL amefungiwa kufanya kampeni lakini hii ni kampeni " fulani " hivi!