Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
Huyu ndiyo tunayemtaka atuongoze kwa haki uhuru na maendeleo ya kweli kwa watu woteWakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Katoro, muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza.
Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!
Video: Katoro Geita
View attachment 1578469
Hujiulizi mbona zina Giza
CCM watasema video ya mwaka 2015
Usiteseke na picha za 2015 ndg kaa utuliePicha zenu za gizani za 2015 mnazochakachua sasa tumeshazizoea
Ni vizuri kama kazi yao imeisha wapumzike kwa amani sasa, waache kazi mpya ianze na CHADEMA!CCM walishamaliza kazi kitambo
Umeshafungua hiyo video hapo juu mkoani geita inakopatikana wilaya ya chato?
Wana weweseka ,walisha tamba Miaka 5 na mamiradi wakati Raia wana taabika.Hata walio patwa na Majanga hawakusaidiwa zaidi ya kusimangwa na kudhihakiwa.
Huwezi kulinganisha mikutano ya mpayujaji Lissu na ya Rais JPM, wala Makamu Samia, wala PM Majaliwa, huu ndio ukweli mchungu kwa cdm na wale mnaomchukia JPM na Serikali yake.
Baada ya uchaguzi 28/10/2020 wembe ni ule ule hakuna nafasi ya ule upuuzi wa kuendeleza mikutano ya hadhara ya kisiasa isiyo na tija yeyote. Kaa ukijua hilo.
😂😂😂😂 poleee mataga!!! Naona mmeumia sana shujaaa wa Mungu kukubaliwa kwa kishindo na wana Geita eeh????Hata huoni Tena ya Leo funga kazi hizo picha kama za nchi ya Burkina Faso angalia na usikikize wasindikizaji lugha wanayoongea hata haieleweki Ni ya wapi.Hongera Sana Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema.Mumetisha leo
Tunapo sena Lissu ni kibaraka na adui wa Taifa hili la Tanzania tunamaanisha hivyo pia.
We unaona sifaa kukitokea machafuko. We unafikiri yakitokea utajificha na familia yako kwenye keyboard ya Computer au ya simu. Embu muwe mnashirikisha ubongo kabla ya kukaa kuandika ushabiki wa uvunjifu wa amani.Kama upinzani wakitaka mwamko wa maandamano nchi nzima, hapo katoro ndio sehemu ya kuanzia mji mdogo lakini unaamsha sana... Mji uliojaa matukio ya kila namna.
===
Hawa watu sio waongeaji sana japo wanavitendo hatari nakumbuka miaka ya nyuma walishawahi kubomoa kituo cha polisi.. Yaani wanaume wanabomoa na kuchoma magari yale yanayokamatagwa na askari wakati huo askari wanarusha mabomu ya machozi, cha ajabu wanawake walikuwa wanawaletea wanaume maji ya kunawa ili waendelee na uharibifu..chanzo cha vurugu hizi ni kwamba polisi wamemshikilia mama mmoja aliyekuwa anadaiwa mchawi.
=
=
.
Tukumbuke miaka ya nyuma sakata la waislamu na wakirsto kuchinjana kisa walalamikiana suala la kuchinja mifugo machinjioni lilianzia hapo.
Waislamu walichoma bible na wakristo walichoma Quran hadharani.. Tukio lilipelekea mchungaji kuchinjwa na waislamu huku wakristo wakimalizia hasira zao kwa kubomoa maduka ya waislamu.
.
Hapo ni mpakani mwa wilaya ya chato na geita vijijini hapo nyuma ikiwa mpakani mwa kagera na mwanza..
.
Kiufupi katoro ni mji wa kuogopa sana tena sana tu.
.
Way back kwa Mara ya kwanza nilihudhuria mkutano wa chadema 2009 uchaguzi wa marudio Hapo katoro jimboni busanda. ndio Mara ya kwanza nilimuona Tundu Lissu alikuwa kavaa t.shirt ya chadema na kofia zile za miti huku kashika tablet Mkononi.Nakumbuka Finiasi magesa mgombea wa Chadema alishinda lakini akamuuzia ubunge bi Lolensia bukwimba wa CCM.
=
.
Siku moja nitarudi huko.
Msalimie lissu mleta mada mwambie finiasi magesa alitulaza nje kisa kufuatilia matokeo yake.
..
Hongera katoro hongera Lissu.
Chadema hii sasa sifa! Khaaa!!!Wakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Katoro, muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza.
Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!
Video: Katoro Geita
View attachment 1578469
View attachment 1578537View attachment 1578539View attachment 1578540View attachment 1578541View attachment 1578542View attachment 1578543View attachment 1578544
View attachment 1578469
Wanajifanya Mbuni
Hahahaa Kazi ipo. Hapo di nyumbani kwa Mzee mwenye nyumba?? Kakosea wapi lakini?Kafika hapo saa 11 jioni unategemea uone mwanga? Haya ni video ya mwaka 2060 furahi rohoni basi!
Sawa ,ndio sababu mlijitahidi kumuua lakini Mungu akalikataa hilo kwa Mkono wake akamuepusha na Mauti.Hichi kisingizio cha kumtuhumu Mtu kuwa ni kibaraka hata ANC ya wakati huo iliitumia hii Sababu yenye nia ovu na kuwa nyanyasa Raia wengine walio kuwa wakiwakosoa..
Kikubwa ni HakiWe unaona sifaa kukitokea machafuko. We unafikiri yakitokea utajificha na familia yako kwenye keyboard ya Computer au ya simu. Embu muwe mnashirikisha ubongo kabla ya kukaa kuandika ushabiki wa uvunjifu wa amani.
Kwahiyo lissu alikuwa Burkina faso leo. Tafuta panadol umezeHata huoni Tena ya Leo funga kazi hizo picha kama za nchi ya Burkina Faso angalia na usikikize wasindikizaji lugha wanayoongea hata haieleweki Ni ya wapi.Hongera Sana Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema.Mumetisha leo