Uchaguzi 2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)

Hatutaki mdahalo na mtu ambaye kila anapopata nafasi anatoa matusi kama hajalelewa vile...
 
Magufuli ni nyampara wa Barabara yeye anachoweza ni kukari makilometa na vijiji tu,mdahalo hawezi,

Alijichanganya Ndugai siku moja akakutana na Lissu ITV live,kilichomkuta hana hamu,akajichanganya tena balozi wetu huko Marekani bwana Masilingi alitaka kukimbia studio.

Jiwe hawezi kukubali labda adanganywe ni mkutano wa waandishi,halafu Lissu atokee ghafla.[emoji3]
 
Kamanda msaliti ameona maji yako shingoni sasa anatafuta kiki kupitia kwa JPM. Mtu mropokaji kama huyu hata mimi nisingefanya naye mdaharo: anaweza kuamua kukutukana hadharani, yeye hana chakupoteza, utakayeumia ni wewe!
 
Sisi tunataka kusikia sera na sio mashindano ya midahalo. Kwanza anatakiwa ajue Magufuli anafanya mambo mawili makubwa kwa wakati mmoja kuendesha nchi kama rais na kuendelea na kampeni na mambo yote kaweza kuyamudu vizuri sana. Chadema mwambieni mgombea wenu asimpotezee muda jemedari
 
Awe rais kwanza ili apate mdahalo na mwenzie wa level ya urais ila kwa sasa atembeze cv tu kwanza afanye midahalo hata na wakina Rungwe ndo wapo level sawa
 
Tmuulize Lissu kama anakubali tuwatumie madalali kwenye huo mdahalo. Kafulila anaweza wakilisha ccm.
 
Huo utakuwa mdahalo ama mipashoo ya waimba taraab kama hawa.


Mkuu, tafuta nyimbo moja ya kusuuza roho yaitwa "Nina Moyo Si Jiwe" imeimbwa na bibie Leyla Rashid.

Hutajuta.
 

Hii "statement" yako ndo bora kabisa kuliko zote hadi sasa.
 
Lissu lissu lissu nimekuita mara3 naomba umwache ndugu yetu asije anguka kesho anamkutano kijijini kwake naona na harmonize yupo kwa ajili ya burudani mpk nyumbn huna uhakika na umewafanyia maendeleo ya taa barabarani na uwanja wa ndege hahahaa
 
Huyo mjamaa amekulia porini afu anajiona lugha ya kingereza ni kijijini kwao

Kufanya mjadala na mropkaji wa matusi nani atakubali?
Aende ubeligiji akafanye mjadala na robert


Wewe ndiyo mjinga mwingine ambaye sikutegemea kama katika mtandao mkubwa kama huu tutakuona humu na kiswahili kama hiki uliondika hapa mjinga wewe๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Lissu lissu lissu nimekuita mara3 naomba umwache ndugu yetu asije anguka kesho anamkutano kijijini kwake naona na harmonize yupo kwa ajili ya burudani mpk nyumbn huna uhakika na umewafanyia maendeleo ya taa barabarani na uwanja wa ndege hahahaa


Na aanguke kha ha haaa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Tundu Lissuuuuuuuuuu.. Mwenye nchi yake. Anatufurahisha sana huyu Mh. Mimi, familia yangu na ukoo wangu, kura zote ni kwa Tundu Lissu.
 
Huyo mjamaa amekulia porini afu anajiona lugha ya kingereza ni kijijini kwao

Kufanya mjadala na mropkaji wa matusi nani atakubali?
Aende ubeligiji akafanye mjadala na robert
Hivi ukiacha kuchangia utapungukiwa nini? Haujisikia vibaya ukiwa unasoma ulichokiandika. Mmekuja na ngojera mpya kuwa TAL anatumia lugha ya matusi. Ebu sema tusi nusu tu ambalo TAL katukana. Ebu kua hata kwa siku moja tu.
 
Rais Magufuli endelea kuchapa kazi na kuwaletea maendeleo watanzania. Kampeni unazofanya ni kama kutimiza matakwa ya katiba ya JMT, unazunguka kufanya presentation ya mazuri ambayo umewafanyia watanzania.

Itakuwa na mantiki gani kufanya mdahalo na mgombea ambae anasema eti hata wakoloni walijenga barabara! Hivi mwaka 1997 hivi majuzi tu kulikuwa na barabara ya lami hapo kwao Ikungi? Amesahau kuwa ulikuwa unatoka Dar asubuhi na kufika kwo Ikungi saa nne usiku?

Kwa nini Rais wetu kipenzi unayetufanyia makubwa uje ufanye mdahalo na mgombea ambae anadanganya watu eti Rufiji basin ipo eneo la Kitropiki na hivyo uhakika wa kuwa na maji ya kudhalisha umeme ni mdogo!

Hajui kuwa Rufiji river ina matawi ya mito mikubwa kama minne kama mto Kilombero,Ruaha mkuu na mingine mingi,hivyo muda wote wa mwaka una maji ya kutosha!

Rais wetu itakuwa ni kupoteza muda kufanya mdahalo na mgombea ambae anasema mradi kama JNHPP ni White E lephant hivyo hauna manufaa kwa wananchi. Maana ni mradi mkuubwa lakini hauta wanufaisha wananchi. Hivi hajui kuwa gharama za umeme zitashuka na wananchi wa kawaid na wenye viwanda watanufaika! Na hili litapunguza ukali wa maisha!

Itakuwa ni kupoteza muda kufanya mdahalo na mgombea ambae anakubali kweli umefanya makubwa ila anataka uweke wazi hizo pesa ulizitoa wapi. Yaani pamoja na kuwa mgombea wa urais hafahamu kuwa vyanzo vya mapato ni,mikopo,kodi,misaada na fine zinatozwa na serikali. Na haoni aibu kusema eti serikali ikikopa mikataba iwe inawekwa wazi hadi kwenye magazeti.

Itakuwa aibu kwa rais mchapa kazi kama wewe ambae anasema atafuta kodi na kuacha kutoza kodi. Huku akijua hakuna serikali duniani inajiendeha bila kodi. Na hii ni aibu kubwa sana kwa chama chake kuwa na mgombea kama huyu.

Leo ameshuhudia utiaji saini wa mradi wa bomba la mafuta la EACOP nafikiri roho imemuuma sana maana halitakii meme taifa hili.
Maana kama kununua ndege anasema hakuna faida sababu zipo grounded sasa hivi, huyu unafanya nae mdahalo wa nini! Ina maana hajui kuwa ugonjwa wa Covid-19 umesababisha ndege nyingi ziwe grounded. Kwa ujumla usipoteze muda kufanya mdahalo na mgombea ambae saizi yake ilikuwa ni kugombea ubunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ