Hujui lolote kuhusu Mandela wala Zuma na huwajui wazungu vizuri.Kwa Mandela najua moja ya sababu ni moyo wake wa kusamehe kwa maslahi mapana ya nchi yake,na vilevile yeye ni moja ya watu waliofanikisha uhuru wa S.A kupatikana.
Huyo Zuma sijajua kama alipendwa kwa jinsi alivyoshutumiwa kufanya mambo yanayosemekana ya hovyohovyo.
Ahahahhahaha! Ngoja nikusaidie kujibu; Mandela na Jacob Zuma walipendwa kwasababu ni maskini.Kwa Mandela najua moja ya sababu ni moyo wake wa kusamehe kwa maslahi mapana ya nchi yake,na vilevile yeye ni moja ya watu waliofanikisha uhuru wa S.A kupatikana.
Huyo Zuma sijajua kama alipendwa kwa jinsi alivyoshutumiwa kufanya mambo yanayosemekana ya hovyohovyo.
Hata kama iwe hivyo unavyofikiri itakua, lakini kaa ukijua, maana JPM na wenzake wanajua kuwa TAML anaweza kusimama peke yake, kutetea haki ikibidi. TAML ni mtu ambaye haangalii pesa wa cheo pale ambapo haki na wajibu vimekwepeshwa. Hadi TAML anafikwa na hali ile, usidhani kwamba hakuna jitihada za hali na mali zilizofanyika kum-weaken au kumlaghai aachane na mambo ya HAKI.Mkuu hutamuona Mbowe wala Mnyika anaongelea hii ishu ya akina Mdee. Tatizo mmefungwa na mahaba ya chama hamko tayari kuangalia upande mwingine wa shilingi. Nasisitiza Mchaga hajawahi kuniangusha kwenye shilingi. Kuna mambo mkijakiyajua huko mbeleni mtajiona wajinga sana. CCM na CDM ni walewale tu.
Uko very shallow kwenye deep information za kinachoendelea nchini. Tundu Lissu alikuwaga mtetezi wa wanyonge kipindi cha Mkapa tu. Mwishoni mwa JK ni mmojawapo wa waliowekewa pesa za Lowassa kwenye account. 2017 aliungana na EMMMA advocates kuwatetea ACACIA unadhani ilikuwa ni FREE?!?.. Alipambania wazungu mpaka kuwapatia nyaraka zilizosababisha Bombadier Q400 isije ishikiliwe CANADA July 2017 unafikiri ilikuwa ni bure tu!?..Hatakama iwe hivyo unavyofikiri itakua,lakini kaa ukijua,maana JPM na wenzake wanajua,kua TAML anaweza kusimama peke yake,kutetea haki ikibidi.TAML ni mtu ambaye haangalii pesa wa cheo pale ambapo haki na wajibu vimekwepeshwa.Hadi TAML anafikwa na hali ile,usidhani kwamba hakuna jitihada za hali na mali zilizofanyika kum-weaken au kumlaghai aachane na mambo ya HAKI.
Iwe inavyokua,TAML anasema kile ambacho yeye kama makamu mwenyekiti anakijua na anachoelezwa aidha na Mbowe,Mnyika au watu wake wengine anaowaamini wanaweza kumpa taarifa sahihi.
All in all,vyovyote itakavyokua,TAML na baadhi ya wanachama wa CHADEMA hawakubali na hawatakubaliana na hao wanawake kwa kile kilichofanyika,yaani UASI.
Mkuu hutamuona Mbowe wala Mnyika anaongelea hii ishu ya akina Mdee. Tatizo mmefungwa na mahaba ya chama hamko tayari kuangalia upande mwingine wa shilingi. Nasisitiza Mchaga hajawahi kuniangusha kwenye shilingi. Kuna mambo mkijakiyajua huko mbeleni mtajiona wajinga sana. CCM na CDM ni walewale tu.
Hakuna kitu chochote unachoelewa, nakuhakikishia uko very shallow kwenye information za ndani za nchi hii. Endelea kucheza na ngoma za vijiweni na ushabiki wa vyama. Pengine huko baadae utabahatika kuujua ukweli. Hujui lolote kuhusu Mbowe, Lissu, Mnyika na wengine wengi. Kwa kifupi unashabikia mambo usiyoyaelewa. Ila ukiamua kuutafuta ukweli utaupata Ila sio lazima. Watu Kama wewe uwepo wao ni muhimu pia.Hali kadhalika na ndege pia,kama alicheza kwenye nafasi yake kama wakili,kosa lake liko wapi?
Huyo jamaa aache kulia lia huko Ubelgiji."Hatujapokea ruzuku yoyote. Katibu Mkuu wa @ChademaTz aliandikiwa barua na Msajili wa Vyama vya siasa aende kwenye mkutano wa kujadili masuala ya ruzuku. Katibu mkuu alikataa, kama wanasema tumepokea ruzuku, waoneshe ni sehemu gani tumepokea na kusaini" Ndg. @TunduALissu,
"Ni kweli wabunge 19 tuliowafukuza wamekata rufaa. Kwenye kikao cha kamati kuu wiki iliyopita tumefanya maamuzi kuwa, kikao cha Baraza Kuu kitaitishwa kati ya mwezi Machi na Aprili, hatuwezi kuiitisha kikao cha Baraza Kuu eti tu kwa ajili ya kuwasikiliza hao waasi" @TunduALissu.
Niondokee na viingereza vyako vya kuokoteza. Nyie ndio mnaondoka kwenu Iringa mkirudi baada ya mwaka mnajifanya mmesahau Kihehe, thread ya Kiswahili unaleta viingereza vingi vya nini!?, nenda international forums huko. Au changia nyuzi za kiingereza tu.Amazing troll. “CCM na CDM ni walewale tu”. Sounds desperate but a nice last line of defence for CCM’s nastiness. After all, guys, when the chips are down, CDM is just like us! Therefore, you might better be with us than them; at least we got opportunities to offer.
Well, you got a damn nasty propaganda coach! Keep it up - treading on the raw, flayed nerves of CDM supporters. Just pray that you’re not actually stepping on the people’s toes.
Mwanasheria Lissu anakiri Mdee & co wamekata rufaa inayotakiwa kusikilizwa na baraza kuu, lakini mwanasheria huyohuyo anasema hawawezi kuitisha kikao cha baraza kuu kujadili rufaa ya hao anaowaita waasi!Yeye ni mwanasheria...
Mmeambiwa kama mna huo ushahidi utoeni acha kulialia.Tundu Lisu anapewa tu taarifa, signatories ni Mbowe na Mnyika.
Ruzuku ina kujadiliana nini wakati formulae inafahamika?
Mbowe na Mnyika hawana maamuzi wewe zezeta, mwenye maamuzi ya mwisho ni kikao cha Baraza Kuu la chama kitachokaa mwezi wa March au April, huko Lumumba kuna kiwanda cha ujinga?Mkuu hutamuona Mbowe wala Mnyika anaongelea hii ishu ya akina Mdee. Tatizo mmefungwa na mahaba ya chama hamko tayari kuangalia upande mwingine wa shilingi. Nasisitiza Mchaga hajawahi kuniangusha kwenye shilingi. Kuna mambo mkijakiyajua huko mbeleni mtajiona wajinga sana. CCM na CDM ni walewale tu.
Kwa hiyo wewe ni Chadema?CCM na CDM ni walewale tu.
Msome tena umwelewe, kasema kikao kitafanyika Machi au Aprili.Mwanasheria Lisu anakiri Mdee &co wamekata rufaa inayotakiwa kusikilizwa na baraza kuu, lakini mwanasheria huyohuyo anasema hawawezi kuitisha kikao cha baraza kuu kujadili rufaa ya hao anaowaita waasi!
Kuna kitu hakipo sawa kichwani kwake.
Onyesha uthibitisho wa hela mliyoweka kwenye account ya CHADEMA. Au mliingiza moja kwa moja kwa wakala wa Bujipesa hivyo linasoma jina la wakala?Tundu Lisu anafichwa mambo mengi sana!
Atakaporudi 2025 atalia machozi hali atakayoikuta Ufipa!
Uko very shallow kwenye deep information za kinachoendelea nchini. Tundu Lissu alikuwaga mtetezi wa wanyonge kipindi cha Mkapa tu.
Kukimbia nchi kivipi? Mbona Mandela aliwahi kimbia nchi yake akaishi pale Moro na Kongwa? Huna hoja mkuuMzalendo aliyekimbia nchi yake?
Mambo ya hela za umma huwa siyo siri; tusubiri ripoti ya CAG."Hatujapokea ruzuku yoyote. Katibu Mkuu wa @ChademaTz aliandikiwa barua na Msajili wa Vyama vya siasa aende kwenye mkutano wa kujadili masuala ya ruzuku. Katibu mkuu alikataa, kama wanasema tumepokea ruzuku, waoneshe ni sehemu gani tumepokea na kusaini" Ndg. @TunduALissu,
"Ni kweli wabunge 19 tuliowafukuza wamekata rufaa. Kwenye kikao cha kamati kuu wiki iliyopita tumefanya maamuzi kuwa, kikao cha Baraza Kuu kitaitishwa kati ya mwezi Machi na Aprili, hatuwezi kuiitisha kikao cha Baraza Kuu eti tu kwa ajili ya kuwasikiliza hao waasi" @TunduALissu.
Hiyo taarifa ya Lissu imekosewa?! Kaandika hawawezi kuitisha kikao kuwajadili hao waasi.Msome tena umwelewe, kasema kikao kitafanyika machi au aprili.