Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kumbe Chadema wachache,. Sasa mliibiwaje kura wakati ni wachache? Sasa mwambieni beberu wenu kuwa Lissu anamdanganya Hana wanachama wa kutosha kushinda urais ili waache kuhangaika.Nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM walivyokuwa wengi nyuma ya keyboard hata wewe umekaa kusifu manyanyaso ya CCM kwa wapinzani siyo kwamba wewe ni mwadilifu bali ni mnufaika wa matesa ya CCM kwa wapinzani
Yaliyataka wenyeweNi aibu kubwa sana aibu
kabisaMahakamaccm haitoi haki kwa wapinzani
Kama hujakaa nchi za nje bila kazi ya maana hutaelewa! Lissu ni wakusikitikia sana - na ni mjumuishe pia na Lema, hawa watu ni wakuwasikitikia sana. Imagine! Mtu ulikuwa unaitwa mheshimiwa, ukiwa class ya juu nchini mwako, na mshahara mnono na marupurupu mengi, sasa unaitwa mkimbizi (refugee status) Unapewa hela kidogo ya kujikimu ambayo ni kidogo au sawasawa na kiwango cha kima cha chini cha ulipo kimbilia! Hao si watu wa kuwasikitikia! Na Unapopita njiani, hutambuliki na kuheshimiwa na yeyote unatukanwa kwa sababu ya ngozi yako! Hauko sawasawa na wenyeji - ila huzodolewi waziwazi kwa kuogopa sheria lakini jamii inayokuzunguka haikupendi! Je! Bado huwaonei huruma? Na matumizi yao sasa ni ya kima cha chini, siyo watu wa bata tena! Hawawezi kumudu vitu vya anasa kama walivyokuwa navyo! Mfano.: hawezi akamudu mfanyakazi wa ndani, dereva, etc. Hawezi, kwa sababu huko waliko mishahara ya hao wafanyakazi ni mikubwa! - ukitaka kujua ubaya wa kuhama nchi yako, waulize makaburu waliohamia Australia mara Mandela alipo tawazwa South Africa - waliacha wafanyakazi wa nyumbani kama Sita hivi Afica ya Kusini, huko Australia wao wakawa ndio vibarua!
Wasipokuwa makini utasikia Lema ni dreva wa Ubba au ana bodaboda kusambaza KFC! Na Lissu yupo anavuna nyanya Green house au strawberry! Yasiwafike ya kuuza madawa nawaombea hilo Mungu apishe mbali.
USA, walitupilia mbali kesi ambazo ICC walitaka kuwashitaki wanajeshi wake waliokuwa Iraq kwa makosa ya haki za binadamu, USA ikawapa onyo hao ICC atakayetoa mdomo wake hakanyagi marekani, mpaka leo hizo kesi zimetupiliwa mbali, ICC imebaki kwa viongozi wa afrika tu or nchi za dunia ya tatu. Or shit hole countries.Bora ametolea ufafanuzi lumumba waache kujiliwaza.
Natumai leo mmemuelewa hasa pale anapozungumzia lengo la kuanzishwa mahakama ya ICC, kuwa ni ku-deal na serikali au taasisi zake zinapofanya makosa kwa raia wake na pasiwepo uhakika wa vyombo vya ndani kuyashughulikia hayo matatizo kwa ukamilifu bila upendeleo.
Hapa ndio zinaingia taasisi kama jeshi la polisi, NEC, n.k. na mpaka kufikia hapo, ule utetezi wa kusema hayo matatizo lazima yashughulikiwe na mahakama za ndani kwanza unakuwa umepoteza maana, mahakama za ndani ni kutimiza formality tu, hazizuii kesi kwenda ICC.
Hata Lema ni msomi anaishi kwa raha Canada! Sorry for this rubbish.Naona ndio mnampa pole leo kiaina kwasababu ya zile risasi.
Kusema Lissu anaishi maisha ya shida lazima muonekane vichaa kwenye hii jamii yetu iliyostaarabika, mtu msomi wa aina yake hizo shida azipate wapi?!
Kuna siku isiyo na jina sote tutaongea lugha moja. Muda ni mwalimu mzuri waache waendelee kujitoa ufahamu.Yani tundu Lissu wema aliowafanyia watanzania na tunayomlipa ni tofauti yani Kama yesu wayahudi na baraba
Imagine alivyowapigania watanzania kutambua ukweli dhidi ya wizi uliofanywa na dola na namna alivyopinga Tanzania kuongozwa kidikteta lakini Leo hii Kuna watu wanamsemea mabaya daaah walimwengu aisee ajabu Sana hua siamini Mambo ninayoyaona ambayo yako against Lissu mpaka huwa najiuli aliwakosea nini yeye binafsi?
Huna unalojua weweLissu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Anazungungumza tunayojua siku zote; tuliwaambia zamani sana kuwa hivi vitisho vya kuishitaki serikali huko ICC havina maana yoyote kwa kuwa ICC siyo mahakama ya hakimu mkazi ambako mtu yeyote anaweza kupeleka kesi yoyote hata akishindwa uchaguzi! Amsterdam alijidai kutishia kuwa ameshafungua kesi ICC jambo ambalo lilikuwa ni uwongo mzima; Maria naye akajidai ameshatuma ushahidi wake huko ICC jambo ambalo pia lilikuwa halina uzito wowote kabisa kwani ICC haikusanyi ushahdi wa kesi zake namna hiyo!Aliyekuwa mgombea uchaguzi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHDEMA Tundu antipas Lissu amejitokeza na kutolea ufafanuzi kadha kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa kesi huko mahakama ya uhalifu ICC dhidi ya Serikali ya Tanzania baada ya uchaguzi mkuu 2020.
Msikilizie kwa undani
Sehemu ya pili ya ufafanuzi
Na wao hizo "shida" wamezijua vipi?Naona ndio mnampa pole leo kiaina kwasababu ya zile risasi.
Kusema Lissu anaishi maisha ya shida lazima muonekane vichaa kwenye hii jamii yetu iliyostaarabika, mtu msomi wa aina yake hizo shida azipate wapi?!
Anazungungumza tunayojua siku zote; tuliwaambia zamani sana kuwa hivi vitisho vya kuishitaki serikali huko ICC havina maana yoyote kwa kuwa ICC siyo mahakama ya hakimu mkazi ambako mtu yeyote anaweza kupeleka kesi yoyote hata akishindwa uchaguzi! Amsterdam alijidai kutishia kuwa ameshafungua kesi ICC jambo ambalo lilikuwa ni uwongo mzima; Maria naye akajidai ameshatuma ushahidi wake huko ICC jambo ambalo pia lilikuwa halina uzito wowote kabisa kwani ICC haikusanyi ushahdi wa kesi zake namna hiyo!
Ufafanuzi aliotoa ni sawa, lakini kwa nini aliruhusu mwanasheria wake kuwa anatoa vitishoa kila siku kuwa ameshafungua kesi dhidi ya serikali ya Tanzania huko ICC ilihali ukweli ni kuwa ICC siyo mahakama ya hakimu mkazi kama alivyofafanua Lissu?..Tundu Lissu ametoa ufafanuzi mzuri kwa namna ambayo ni rahisi kueleweka hata kwa mtu ambaye siyo msomi.
..kwa upande mwingine, tuna tatizo la kisiasa nchini ambalo tumeshindwa kushughulika nalo sisi wenyewe ndani ya nchi.
..tungekuwa tunaendesha siasa zetu kwa HAKI na USTAARABU kusingekuwa na Watanzania wanaozungumzia habari ya ICC.
Kwa hiyo, hitimisho hapa ni kwamba huko ICC hakuna habari yoyote inayoihusu Tanzania; hata ile isiyokidhi mahitaji ya mahakama hiyo kwa sasa?Anazungungumza tunayojua siku zote; tuliwaambia zamani sana kuwa hivi vitisho vya kuishitaki serikali huko ICC havina maana yoyote kwa kuwa ICC siyo mahakama ya hakimu mkazi ambako mtu yeyote anaweza kupeleka kesi yoyote hata akishindwa uchaguzi! Amsterdam alijidai kutishia kuwa ameshafungua kesi ICC jambo ambalo lilikuwa ni uwongo mzima; Maria naye akajidai ameshatuma ushahidi wake huko ICC jambo ambalo pia lilikuwa halina uzito wowote kabisa kwani ICC haikusanyi ushahdi wa kesi zake namna hiyo!
Ufafanuzi aliotoa ni sawa, lakini kwa nini aliruhusu mwanasheria wake kuwa anatoa vitishoa kila siku kuwa ameshafungua kesi dhidi ya serikali ya Tanzania huko ICC ilihali ukweli ni kuwa ICC siyo mahakama ya hakimu mkazi kama alivyofafanua Lissu?
Hapo ndipo ujue kuna ubabaishaji tu.
ICC in habari zinazohusu dunia nzima.Kwa hiyo, hitimisho hapa ni kwamba huko ICC hakuna habari yoyote inayoihusu Tanzania; hata ile isiyokidhi mahitaji ya mahakama hiyo kwa sasa?
Je, na kama kuna taarifa iliyofika huko, lakini ikawa haikidhi mahitaji ya mahakama kuanzisha kesi kwa sasa, kuna uhakika kwamba taarifa hiyo haiwezi kuwa sehemu ya taarifa nyingine zikiwasilishwa huko pakiwa na ushahidi wa matukio mengine?