Usijali maadam ni mkatoliki tutampa support ya kutosha.Mtoto akililia wembe mpe.
Sisi tumekaa pembeni tunakula popcorn. Tunaangalia mambo yanavyokwenda.
Hapo Bado anatakiwa kufanya ziara nchi nzima ya kujitambulisha , kushukuru , kuomba ushirikiano na kutangaza vipaumbele vyake.
Sisi ni wanachama tutamuunga mkono ila tunataka tuone ataendeshaje chama.
Kama unajua jogoo hapandi mtungi, unaoa ili nini?
Bado upo kwenye denial ya Mbowe kukosa Uenyekiti? Asee hizi traits Siyo za kiume kabisa. Utaolewa m*bwa wewe kwa kusifia pesa za watu.Mbowe ni mtu wa watu ana marafiki wenye pesa kibao
Hujalazimishwa , na CCM muache kuchota Kodi zetu hazina na kuzitumia kwenye mambo yenu ya kisiasa, mwisho wenu unakaribia maana mlijisahau kwa muda mrefuLissu aache kutaka kuwaumiza watanzania na michango ya kipumbavu.
Acha ujinga sample ya Ntobi au Yeriko?Hujasoma statistics, this is a representative sample....sampling...wewe ni kama ule mgomba unaoitwa Juma Mhuni, unadanganya sana kujifanya nao unatoa ndizi kume ni ndizi mhuni tu...KAMA WEWE
Sampling in research is the process of selecting a smaller group (called a "sample") from a larger population to participate in a study, allowing researchers to make inferences about the entire population by studying a manageable subset when it's impractical to examine everyone within that population.
Mliosomea Cuba mna shida! Cuba haijawahi kumuacha mtu salama katika kufikiri!Acha ujinga sample ya Ntobi au Yeriko?
Bure kabisa 😂
Ebu taja kiwango cha hiyo ruzuku kubwa tukijueAsiwachukulie powah watanzania .
Watu walisitisha kuchanga sababu mlikuwa mnapewa ruzuku kubwa ambayo haijulikani inaenda wapi
Ruzuku ni haki yao kikatiba sio msaadaWatanzania Si wajinga.
Kiongozi Leo aseme hatambui matokeo,
Kesho huyo huyo anayatambua Kisha anapokea ruzuku,
Kesho anakuja kuchangisha tena,🤔
cha msingi cha kuzingatia ni kuwa: chama ni mali ya wanachama. Chama kikimilikiwa na mtu inakuwa kama saccos ama kampuni flani
Ruzuku inatokana na idadi ya kura za Urais,Ruzuku ni haki yao kikatiba sio msaada
Una kichaa wewe, unataka nichange hela Za unga??? Siwezi toa hata Mia yangu kwa mtu mshenzi na mhuni kama Lissu….. na hatutakubali chama kife na akishindwa tutamnyonya lile tumbo linalomfanya akose akili.. Kama ulikuwa unatoa 5m kwa chama hata sasa endelea kutoa maana chama kipo. V
Kwani ccm wameanza kuiba 2020 mbona tokea 1995 wanaibaRuzuku inatokana na idadi ya kura za Urais,
Ambapo chama kilidai kuibiwa kura,
Hivyo kupokea ruzuku ni kukubali kura na kukubali kushindwa uchaguzi, ni kubariki matokeo ya wizi wa kura.
Wewe usichangie sababu hukuna sehemu umelazimishwaUna kichaa wewe, unataka nichange hela Za unga??? Siwezi toa hata Mia yangu kwa mtu mshenzi na mhuni kama Lissu….. na hatutakubali chama kife na akishindwa tutamnyonya lile tumbo linalomfanya akose akili.
Sasa hiyo Hali ya unafiki Lissu haitaki na amekuja kuukomesha,Kwani ccm wameanza kuiba 2020 mbona tokea 1995 wanaiba
Chadema walikuwa sahihi kuigomea mwanzoni sababu wangeikubali haraka-haraka ingeleta picha mbaya kwa wanachama wao
Ukweli ni kwamba hakuna uchaguzi ambao ccm hawajaiba kura
Milioni 400+ kwa mwezi na hakuna kitu chochote kilichofanyika na kuonekanaEbu taja kiwango cha hiyo ruzuku kubwa tukijue
Watu wanaiba wazi wazi alafu unasema sanduku la kura liheshimiwe kwa tume hii ya mchongo ya uchaguzi ambayo inapika matokeoSasa hiyo Hali ya unafiki Lissu haitaki na amekuja kuukomesha,
Tunataka Sanduku la kura liheshimiwe.
Ndio maana ya No Reform, no Election.Watu wanaiba wazi wazi alafu unasema sanduku la kura liheshimiwe kwa tume hii ya mchongo ya uchaguzi ambayo inapika matokeo
Weka deposit ya hela ulizowahi kuchanga. Vinginevyo kaa kimya ukiwa unaendelea kuugulia maumivu.Una kichaa wewe, unataka nichange hela Za unga??? Siwezi toa hata Mia yangu kwa mtu mshenzi na mhuni kama Lissu….. na hatutakubali chama kife na akishindwa tutamnyonya lile tumbo linalomfanya akose akili.
Kisonge mbele mara mbili? Ama nyie mmeshahama chama?Haya sasa chama mmepewa, tunataka kuona kinasonga mbele maana mlidhani Mbowe ndiye kikwazo. Sasa hizi kauli za bora kife zinadhihirisha chuki zenu kwa Mbowe, hasa wewe Tindo.
Lumpen ni labda ni wewe tu.Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo