All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,215
- 1,401
Kumwamini mpinzani LAZIMA uwe chiziMakamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa ktk mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huuuliopita...
kwahiyo tunakwenda kuwaridhia covid-19! Siasa ngumu sana!Ikumbukwe chama hicho pia kilikataa kupeleka wabunge wa viti maalum bungeni kwa sababu ya kutoutambua uchaguzi huo.
Siyo halali!So uchaguzi wa 2020 ni halali ama sio halali? Ruzuku inatokana na kina Mdee? So ni wabunge halali?
Wameongezewa ndo mana.Ruzuku mlianza kupokea kitambo sana
"Mambo makubwa" inayobaki nayo CHADEMA ni yapi ambayo yatakuwa ni tofauti na yale ya CCM ya Samia? Majimbo?mwisho ana hoji kwa kusema je ktk mazingira haya bado tunaweza kuendelea na msimamo ule ule wa wakatiule mambo hayajabadilika? Hapana. Tubaki na mambo makubwa zaidi haya madogo
chane nayo.
" wanachama wetu na wafuasi waliendelea kufanya kazi za chama bure kabisa bila malipo, na hii inaonesha kuwa Chama chetu ni chama cha watu."Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa ktk mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huuuliopit...
Shirikisha ubongo wako kt kutafakari kwa kinaSo uchaguzi wa 2020 ni halali ama sio halali? Ruzuku inatokana na kina Mdee? So ni wabunge halali?
Msemaji wa ACT ni kama amnazo kt siasa, unampongeza Samia kushiriki kongamano la Bawacha, maanake samia atashirikiana na wamama wa CDM kisha unailaumu CDM kuchukua ruzuku toka serikalini.Ndio maana tumeona uswahiba wa ghafla baina ya pande hizi mbili "CCM" na "CHADEMA"
Ndio maana tunaona nguvu mpya ya Mikutano na maandamano ya Bodaboda
Wewe endelea kuwasindikiza " Wanaume" hapo ChademaWewe ni wa kupuuza tuu
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM" wanachama wetu na wafuasi waliendelea kufanya kazi za chama bure kabisa bila malipo, na hii inaonesha kuwa Chama chetu ni chama cha watu."
[emoji1545]
Ndio maana tumeona uswahiba wa ghafla baina ya pande hizi mbili "CCM" na "CHADEMA"
Ndio maana tunaona nguvu mpya ya Mikutano na maandamano ya Bodaboda!
Ndio Maana tunaona sasa mmepata nguvu ya kutangaza operesheni mpya kuzunguka nchi bila ukomo!
KUMBE!
Uongozi wa Chadema umekwisha pokea ruzuku ya zaidi ya shilingi milioni 898 kibindoni kimyakimya!
La kustaabisha ni pale ambapo majukwaani hamsemi haya mambo! Na badala yake
Mmepiga kimya,huku mkihadaa wananchi na wafuasi wenu kwamba hamuutambui uchaguzi mkuu wa mwaka -2020!
Wakati kiuhalisia mmekwisha utambua huo uchaguzi na ndio maana mnamtambua pia Rais wa "JMT" na kumuunga mkono.
Na ndio maana mmeipokea rasmi hiyo Ruzuku!
Tatizo mnaona aibu kuhusu kuwatambua wale wabunge 19 wa viti maalumu, ingawa tunatambua kwamba pumzi ya ufuatiliaji wa kesi ile imepungua na ni kama haipo kabisaa!
Sasa macho na miwani imeelekezwa kwenye hizi milioni 898 za Ruzuku.
View attachment 2538843CHADEMA yatangaza kuanzisha Operesheni Maalum nchi nzima kwa Mwaka Mzima bila kukoma
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza Operesheni kabambe ya kuzunguka Nchi nzima kuelimisha na kuamsha wananchi Nchi nzima. Operesheni hiyo ambayo Jina lake linahifadhiwa kwa sasa imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho , Freeman Mbowe alipokuwa anaongea na Waandishi wa...www.jamiiforums.com
Ebu kama mnayo pumzi muwajibu ACT-Wazalendo kutokana na huo waraka wao!
Wale wazee wa Povu!
mlilete taratibu......
Mlete majibu yenu,na sio Matusi yenu!
ACT kumbe ni wapumbavu sanaNdio maana tumeona uswahiba wa ghafla baina ya pande hizi mbili "CCM" na "CHADEMA"
Ndio maana tunaona nguvu mpya ya Mikutano na maandamano ya Bodaboda!
Ndio Maana tunaona sasa mmepata nguvu ya kutangaza operesheni mpya kuzunguka nchi bila ukomo!
KUMBE!
Uongozi wa Chadema umekwisha pokea ruzuku ya zaidi ya shilingi milioni 898 kibindoni kimyakimya!
La kustaabisha ni pale ambapo majukwaani hamsemi haya mambo! Na badala yake
Mmepiga kimya,huku mkihadaa wananchi na wafuasi wenu kwamba hamuutambui uchaguzi mkuu wa mwaka -2020!
Wakati kiuhalisia mmekwisha utambua huo uchaguzi na ndio maana mnamtambua pia Rais wa "JMT" na kumuunga mkono.
Na ndio maana mmeipokea rasmi hiyo Ruzuku!
Tatizo mnaona aibu kuhusu kuwatambua wale wabunge 19 wa viti maalumu, ingawa tunatambua kwamba pumzi ya ufuatiliaji wa kesi ile imepungua na ni kama haipo kabisaa!
Sasa macho na miwani imeelekezwa kwenye hizi milioni 898 za Ruzuku.
View attachment 2538843CHADEMA yatangaza kuanzisha Operesheni Maalum nchi nzima kwa Mwaka Mzima bila kukoma
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza Operesheni kabambe ya kuzunguka Nchi nzima kuelimisha na kuamsha wananchi Nchi nzima. Operesheni hiyo ambayo Jina lake linahifadhiwa kwa sasa imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho , Freeman Mbowe alipokuwa anaongea na Waandishi wa...www.jamiiforums.com
Ebu kama mnayo pumzi muwajibu ACT-Wazalendo kutokana na huo waraka wao!
Wale wazee wa Povu!
mlilete taratibu......
Mlete majibu yenu,na sio Matusi yenu!
NyooooNi jambo jema
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
A hopeless voicer, acha kukurupuka utakapogeuka nyuma utajikuta uko peke yako huko wale uliodhani umeongozana nao hawako na wewe.Ndio maana tumeona uswahiba wa ghafla baina ya pande hizi mbili "CCM" na "CHADEMA"
Ndio maana tunaona nguvu mpya ya Mikutano na maandamano ya Bodaboda...