Pre GE2025 Tundu Lissu: CHADEMA tutazuia Uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakutakuwa na mabadiliko kimfumo

Pre GE2025 Tundu Lissu: CHADEMA tutazuia Uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakutakuwa na mabadiliko kimfumo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa chama hicho hakitaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 endapo hakutakuwa na mabadiliko ya matukio yatakayolenga kuhakikisha chaguzi huru na za haki nchini.
==

"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM"

"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika"

"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia"
 
"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM" -Lissu

"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika" -Lissu

"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia" -Lissu

Ni sehemu ya yale aliyozungumza Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu mbele ya wanahabari leo, Jumanne Desemba 10.2024, wakati Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe akitoa tathmini ya CHADEMA kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo: Jambo TV
 
"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM" -Lissu

"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika" -Lissu

"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia" -Lissu

Ni sehemu ya yale aliyozungumza Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu mbele ya wanahabari leo, Jumanne Desemba 10.2024, wakati Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe akitoa tathmini ya CHADEMA kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo: Jambo TV

Fact!
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa chama hicho hakitaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 endapo hakutakuwa na mabadiliko ya matukio yatakayolenga kuhakikisha chaguzi huru na za haki nchini.
==

"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM"

"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika"

"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia"
Sasa mna uwezo wa kuzuia uçhaguzi, kwanini miaka yote mmekuwa mkiruhusu uçhaguzi wakati mna mamlaka ya kuzuia?
Nyumbu mñàkerà sana.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa chama hicho hakitaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 endapo hakutakuwa na mabadiliko ya matukio yatakayolenga kuhakikisha chaguzi huru na za haki nchini.
==

"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM"

"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika"

"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia"
Friends, ladies and gentlemen,
uchaguzi mkuu wa kikatiba wa oct.2025 Tanazania, kwa nafasi za madiwani, wabunge na rais, uatafanyika kwa mujibu wa katiba na sio kwa mujibu wa chama fulani cha siasa, kilicho na mawenge na kilichopoteza uelekeo na kutaka kunajisi katiba na sheria za nchi kwa maamuzi yao yanayochochewa na kilevi .

hapatakua na mbambamba hata kidogo kwenye hilo:NoGodNo:
 
CCM wakimsimamisha Saa100

Lissu ndiye Rais 2025
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa chama hicho hakitaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 endapo hakutakuwa na mabadiliko ya matukio yatakayolenga kuhakikisha chaguzi huru na za haki nchini.
==

"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM"

"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika"

"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia"
Lisu atakuwa Rais wa mitandaoni na mioyoni mwenu kama Lowasa na Maalim Seif.

Utake au usitake Rais ni Sa100 Hadi 2030.

Mwisho Chadomo mkigoma wenzenu wafakula na uone kama maisha yatasimama 😄😄
 
Mtu anayeishi kwa historia maana yake hana akili. Jana siyo leo,
Sasa mna uwezo wa kuzuia uçhaguzi, kwanini miaka yote mmekuwa mkiruhusu uçhaguzi wakati mna mamlaka ya kuzuia?
Nyumbu mñàkerà sana.
Ambacho hakikuwezekana jana, siyo lazima kisiwezekane leo au kesho au keshokutwa.

Assad mwaka 2015, tena kwa mtutu wa bunduki, na mapambano makali sana, haikuwezekana kumwondoa. Mwaka huu ameondoka, tena bila ya umwagaji damu mkubwa.

Akina Chabruma, Isike, Mirambo, Mkwawa, pamoja na kumwaga damu, mkoloni hakuondoka, lakini Nyerere akaja akawaondoa bila hata ya tone la damu.

Mandela siyo tu aliwashindwa makaburu bali na yeye aliishia kufungwa, lakini akaja kuwa Rais, na makaburu wakaishi chini ya utawala wake.

Historia umuhimu wake ni katika kutambua ulifanya nini na hukufanya nini hata ukashindwa kufanikiwa, lakini haimaanishi kila siku itabakia hivyo.
 
Mtu anayeishi kwa historia maana yake hana akili. Jana siyo leo,

Ambacho hakikuwezekana jana, siyo lazima kisiwezekane leo au kesho au keshokutwa.

Assad mwaka 2015, tena kwa mtutu wa bunduki, na mapambano makali sana, haikuwezekana kumwondoa. Mwaka huu ameondoka, tena bila ya umwagaji damu mkubwa.

Akina Chabruma, Isike, Mirambo, Mkwawa, pamoja na kumwaga damu, mkoloni hakuondoka, lakini Nyerere akaja akawaondoa bila hata ya tone la damu.

Mandela siyo tu aliwashindwa makaburu bali na yeye aliishia kufungwa, lakini akaja kuwa Rais, na makaburu wakaishi chini ya utawala wake.

Historia umuhimu wake ni katika kutambua ulifanya nini na hukufanya nini hata ukashindwa kufanikiwa, lakini haimaanishi kila siku itabakia hivyo.
Ogopa matapeli 😂😂
 
Back
Top Bottom