ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
HaikutekelezwaEPC+ F , hii miradi iliishia wapi?๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaikutekelezwaEPC+ F , hii miradi iliishia wapi?๐๐๐๐๐
Tarura ife tena? Wewe ni mzima kichwani?Tarura๐๐๐๐,imefia wapi
Kaka yake Saa100,alisaini na mikataba๐Haikutekelezwa
Bond mmeuza ngapi hadi leoTarura ife tena? Wewe ni mzima kichwani?
Bond sio karangaBond mmeuza ngapi hadi leo
Kama mlijua sio karanga,mbona mnaendelea kutangaza tender wakati mnategemea bondBond sio karanga
kwahiyo saa100 ataendelea tu na uraisi hadi patakapokuwa na reform siyoNo reform no election. Yes. It is a good proclamation. But how will it be made feasible?
Aendelee ,hata awe Rais hadi 2060, bado ni hasara ya watanganyika,na mtakuja kuvuna mlicho kipandakwahiyo saa100 ataendelea tu na uraisi hadi patakapokuwa na reform siyo
Wewe ni mjinga sana na hutaki kujielimisha.Kama mlijua sio karanga,mbona mnaendelea kutangaza tender wakati mnategemea bond
Mtawapa wakandaradi fedha,ambso hawajatenda kazi?Wewe ni mjinga sana na hutaki kujielimisha.
Bond ni njia mbadala ya serikali Kwa kushirikiana na CRDB kuwapa wakandarasi source Mpya ya Fedha za kufanya kazi bila kusubiria malipo ya Serikali,Haina uhusiano na Bajeti Wala tenda.
Nani awape? Si watakopa CRDB Kwa riba ndogo? Dhamana sio nyumba tena bali tenda.Mtawapa wakandaradi fedha,ambso hawajatenda kazi?
Serikali imefeli wapi,
CRDB ni bank ya serikali?Nani awape? Si watakopa CRDB Kwa riba ndogo? Dhamana sio nyumba tena bali tenda.
Kiufupi hiyo ni option sio lazima na lengo ni kusaidia wakandarasi wadogo wasio na Nguvu kifedha
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa chama hicho hakitaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 endapo hakutakuwa na mabadiliko ya matukio yatakayolenga kuhakikisha chaguzi huru na za haki nchini.
==
"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM"
"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika"
"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia"
Kwamba mnatuona sisi ni makhanithi sana?1. Kama alivyobainisha Makamu vibaka hawawezi kutuamrisha sisi chama kikubwa na kikongwe barani.
2. Wizi wa kura vipi wakati mnakua na mawakala kila kituo au njaa ndio inawaponza?
3. Wenzetu huko Buhigwe ARV mmepata? au?
Kura zinahesabiwa mawakala zenu wakiona na wanasaini kuwa wamekubali matokeo.Kwamba mnatuona sisi ni makhanithi sana?
Kwamba huwa hatujui upuuzi unaoendelea dhidi ya hao mawakala?Kura zinahesabiwa mawakala zenu wakiona na wanasaini kuwa wamekubali matokeo.
Sio shida zetuKwamba huwa hatujui upuuzi unaoendelea dhidi ya hao mawakala?