Dogo una kichwa kigumu kuelewaChadomo wakigoma vyama vingine zinaibuka na kukubaliana na matakwa kisha ndio mwisho wake maana baada ya uchaguzi hakutakuwa na kiongozi hata mmoja wa kuchaguliwa wa chadema
USSR
Dogo kaulimbiu ya watz wote ni no reform no electionFriends, ladies and gentlemen,
uchaguzi mkuu wa kikatiba wa oct.2025 Tanazania, kwa nafasi za madiwani, wabunge na rais, uatafanyika kwa mujibu wa katiba na sio kwa mujibu wa chama fulani cha siasa, kilicho na mawenge na kilichopoteza uelekeo na kutaka kunajisi katiba na sheria za nchi kwa maamuzi yao yanayochochewa na kilevi .
hapatakua na mbambamba hata kidogo kwenye hilo
Wewe huelewi chochote. Hapajasemwa chochote hapo kuhusu "Kususia uchafuzi"!Chadomo wakigoma vyama vingine zinaibuka na kukubaliana na matakwa kisha ndio mwisho wake maana baada ya uchaguzi hakutakuwa na kiongozi hata mmoja wa kuchaguliwa wa chadema
USSR
Huu ndo UKWELIMazezeta ya Syria yalikuwa hayataki kabisa ukombozi kutoka kwenye makucha ya BAATH PARTY chama cha Dikteta Assad, lakini baada ya Utawala kuanguka Mazezeta yakawa ndio ya kwanza kushangilia Ushindi.
Je hapa Tanganyika itakuwa kama Syria Mazezeta yetu na yenyewe yataingia Kitaa kushangilia kwa Nderemo Vifijo na Hoihoi pindi yatakapokombolewa kutoka katika makucha ya CCM?
Kwako Lucas Mwashambwa
NO REFORM NO ELECTIONDogo kaulimbiu ya watz wote ni no reform no election
Huo uchaguzi utafanya na nani
Labda mtaenda we na mama na Abdul kufanya uchaguzi Oman na Dubai
Unastahili kupewa pole, kama uwezo wako wa uelewa unaishia hapa!Lisu atakuwa Rais wa mitandaoni na mioyoni mwenu kama Lowasa na Maalim Seif.
Utake au usitake Rais ni Sa100 Hadi 2030.
Mwisho Chadomo mkigoma wenzenu wafakula na uone kama maisha yatasimama ππ
Asante ila ndio hivyo ππUnastahili kupewa pole, kama uwezo wako wa uelewa unaishia hapa!
mlevi huyo huyo sia aliwambia mkaandamane samia must go na waote mkamsaliti na kula kona?Dogo kaulimbiu ya watz wote ni no reform no election
Huo uchaguzi utafanya na nani
Labda mtaenda we na mama na Abdul kufanya uchaguzi Oman na Dubai
Kuna yanayo shindikana kwa binaadam; kama kuzuia kifo, n.k.; lakini kuzuia uchaguzi usifanyike siyo jambo gumu sana.No reform no election. Yes. It is a good proclamation. But how will it be made feasible?
Yule bibi ,ameshindwa na hali halisi inaoyesha.Lisu atakuwa Rais wa mitandaoni na mioyoni mwenu kama Lowasa na Maalim Seif.
Utake au usitake Rais ni Sa100 Hadi 2030.
Mwisho Chadomo mkigoma wenzenu wafakula na uone kama maisha yatasimama ππ
"Ndio hivyo" kwa mujibu na uwezo wa akili zako, siyo za wengine.Asante ila ndio hivyo ππ
2025 sio mbali ππ"Ndio hivyo" kwa mujibu na uwezo wa akili zako, siyo za wengine.
Hilo ndilo linalo watisha zaidi nyinyi; maana hakuna muda wa kufanya ulaghai tena!2025 sio mbali ππ
Alaa imekwama wapi huko kwenu au? πππππYule bibi ,ameshindwa na hali halisi inaoyesha.
Wewe ni Dr wa miundombinu! Miradi yote ya ujenzi wa barabara imekwama,ni viraka nchi nzima,!
Rais kutokea kundi la watu 1.5 m kutawala kundi la upande WA pili lenye watu 60+ million,ni hatari kubwa.
Mapicha picha hayo! Hakuna fedha,ni siri yetuAlaa imekwama wapi huko kwenu au? πππππ
View: https://www.instagram.com/p/DDRC4kaNEYs/?igsh=bjRrYmFmczJzYndq
Utaweka mapicha kama kazi haifanyiki? Waambie waache kuomba kazi basi kama hakuna Fedha mbona wasiende kulima? ππMapicha picha hayo! Hakuna fedha,ni siri yetu
EPC+ F , hii miradi iliishia wapi?πππππAlaa imekwama wapi huko kwenu au? πππππ
View: https://www.instagram.com/p/DDRC4kaNEYs/?igsh=bjRrYmFmczJzYndq
Taruraππππ,imefia wapiUtaweka mapicha kama kazi haifanyiki? Waambie waache kuomba kazi basi kama hakuna Fedha mbona wasiende kulima? ππ