Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

Rais amesema wametumia billion 11 kuandaa filamu ambayo inalenga kuleta fedha nyingi ndani kuliko ingekutumika kujenga vituo vya afya na hela ingekaa.

Rais hasiyetumia pesa ya serikali ni yupi hapa Africa?
Hata kama zimechangwa ni za umma kama sivyo watueleze ni za nani?
Mafuta kwenye magari na ndege za serikali aliweka nani?

Na mwisho si msemaji wa serikali ni Katibu wa wizara ya sanaa na utamaduni
Mimi nimejibu kuhusu filamu sio hayo yako mengine na niliyemsikia ni Msigwa sio huyo mwingine.
 
Kama tunapata % tu nitamdharau sana bibi Hangaya, nikiangalia ule msafara na posho walizokuwa wakilipana watu kwa siku wakati hiyo filamu ikirekodiwa, kwamba serikali ndio imegharamia halafu sisi tusipate chochote narudia tena nitamdharau sana huyu Bibi.
Tatizo la watanzania ni kukurupuka kwa mihemko
Serikali ilishatoa tamko haikugharamia hata Mia kwenye kazi hiyo
Halafu ieleweke lengo letu sio kutengeneza filamu za biashara, Mama samia sio bongo movie
Lengo ni kuitangaza nchi kiutalii, hivyo hata muandaaji akiamua kuigawa bure hiyo ndio faida zaidi kwetu
 
Kama tunapata % tu nitamdharau sana bibi Hangaya, nikiangalia ule msafara na posho walizokuwa wakilipana watu kwa siku wakati hiyo filamu ikirekodiwa, kwamba serikali ndio imegharamia halafu sisi tusipate chochote narudia tena nitamdharau sana huyu Bibi.
Serikali haijagharamia filamu hii. Na hili lilishafafanuliwa
 
Tatizo kubwa la huyu Lissu Tundu ni kwamba hajui huwa anapigania nini kwa ajili ya nini na nani .....
 
Wewe ukimdharau anapata hasara gani?
Kama tunapata % tu nitamdharau sana bibi Hangaya, nikiangalia ule msafara na posho walizokuwa wakilipana watu kwa siku wakati hiyo filamu ikirekodiwa, kwamba serikali ndio imegharamia halafu sisi tusipate chochote narudia tena nitamdharau sana huyu Bibi.
 
Chadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepangwa katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
Watu wanajadili maslahi ya Taifa wewe unaingiza mada ya kijinga, ni lini mtaelimika?
 
Na ww unaamini hahahaha
Mbona mlikuwa mnamwamini yule kenge wakati ule alipokuwa akidanganya kwamba miradi yote ilikuwa ikitekelezwa kwa fedha za ndani kumbe nyuma ya pazia alikuwa kwapukwapu na mikopo juu.
 
Muhimu tuambiwe hiyo pesa ilipotoka, ili kama ni mkopo tujue kama hayo mapato ya hiyo movie ndio yatatumika kulipa huo mkopo.

Serikali lazima iwe wazi kwa wananchi wake, isiwe na mambo ya siri hii itasababisha watu kuanza kuitilia shaka.
Ni wakati gani Magufuli aliwahi kusema amekopa na bado mlikuwa mlikuwa mkipigia makofi, mwacheni mama afanye kazi.
 
Ameandika Tundu Lissu katika akaunti yake ya Twitter

Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais wetu & location ya movie ni mbuga zetu?


Hizi ni siri za nchi. Mnataka zivuje hovyo mtandaoni ili tuwape faida wa Kenya?
 
mmeambiwa Watanzania hakuna shilingi yetu iliyotumika ni mabeberu ndio wamedhamini pambano,, malipo yao ndio hayo sasa wanajilipa.

Watanzania tunapata malipo yetu kwa watalii kuja kwa wingi kupitia hiyo filamu...watalii wakija wataleta madolali..
 
Kwani zile documentaries za wanyama zinazochukuliwa kwenye mbuga zetu na kurushwa kwenye chaneli kama NAT GEO, NAT GEO WILD na nyinginezo huwa tunapata mgao wowote...........yaani wadanganyika tushakuwa shamba la bibi la mabeberu tukubali tu....
 
Hiyo filamu kama filamu nyingine. Jamaa walilipa Kila kitu Kwa serikali wakati wanatengeneza hiyo filamu hat Ile misafara na per diem za wafanyakazi zote zililipwa na mtenegeneza filamu. Hivo Nina uhakika atakua ana Haki zote za filamu au Kun %kadhaa serikali itapata
Rais wetu mumemfanya jotty?
 
Back
Top Bottom