Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Wanaharakati wengi naona wamemgeuka Tundu Lissu kule X (Twitter) X ambayo ndio strongest base ya Chadema, iligeuka chungu baada ya clip ya maneno ya kibaguzi ya Lissu kupostiwa kule
Ni sahihi kukosoa Muungano wetu, ni sahihi pia kukosoa makosa ya serikali ya Samia
Lakini kisicho sawa ni kusema au ku imply makosa yanyofanywa na serikali ya Samia yanatokana na yeye kuwa Mzanzibari
Ndicho ambacho Tundu Lissu alikuwa anawaaminisha wananchi
Tundu Lissu anatumia mbinu zilezile za kuwa vilify washindani wake wa kisiasa kama sio watanzania halisi na ndio maana wanafanya makosa (wanayoyaona wao ni makosa) wanayosema wanayafanya
Ni mbinu ile ile iliyotumiwa na Magufuli ambaye ndiye Lissu alikuwa akisema ni rais mbovu na wa ajabu kuwahi kutokea kupambana na washindani zake wa kisiasa
Wakosoaji wa Magufuli walikuwa wakisakamwa uraia wao, kuporwa paspoti na kuitwa vibaraka wa mabeberu ambao hawana upendo na Tanzania
Na ndio hicho hicho lissu anakifanya kwa Samia kumuonyesha kama mamluki fulani asiyejali lolote kuhusu Tanzania
Kuna wengine watasema Katiba ya Zanzibar inawatambua kama Wazanzibar na sio Watanzania, lakini huu muungano haukuwa designed na Samia, na ndio maana nikasema ni sawa kuukosa Muungano na Katiba yetu
Ni sahihi kukosoa Muungano wetu, ni sahihi pia kukosoa makosa ya serikali ya Samia
Lakini kisicho sawa ni kusema au ku imply makosa yanyofanywa na serikali ya Samia yanatokana na yeye kuwa Mzanzibari
Ndicho ambacho Tundu Lissu alikuwa anawaaminisha wananchi
Tundu Lissu anatumia mbinu zilezile za kuwa vilify washindani wake wa kisiasa kama sio watanzania halisi na ndio maana wanafanya makosa (wanayoyaona wao ni makosa) wanayosema wanayafanya
Ni mbinu ile ile iliyotumiwa na Magufuli ambaye ndiye Lissu alikuwa akisema ni rais mbovu na wa ajabu kuwahi kutokea kupambana na washindani zake wa kisiasa
Wakosoaji wa Magufuli walikuwa wakisakamwa uraia wao, kuporwa paspoti na kuitwa vibaraka wa mabeberu ambao hawana upendo na Tanzania
Na ndio hicho hicho lissu anakifanya kwa Samia kumuonyesha kama mamluki fulani asiyejali lolote kuhusu Tanzania
Kuna wengine watasema Katiba ya Zanzibar inawatambua kama Wazanzibar na sio Watanzania, lakini huu muungano haukuwa designed na Samia, na ndio maana nikasema ni sawa kuukosa Muungano na Katiba yetu