Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, anatumia propaganda za serikali ya Magufuli kumchonganisha Samia na wananchi

Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, anatumia propaganda za serikali ya Magufuli kumchonganisha Samia na wananchi

CCM na serikali, leteni katiba moja na bora, mumalize kidomo domo cha wapinzani, maneno yamekuwa mengi sana, waTanzania wanataka kuondoa matatizo yao ya Muungano. Sasa ni wakati muafaka kuyamaliza maana jiwe limetupwa gizani - sote tunaruka ruka na kukanyagana. Tumalize hizi habari za Tamganyika na Zanzibar. Tuacheni tupumue, CCM na serikali yenu, malizeni tatizo hili, maneno ni mengi- acheni tupambane na kikotoo.
Kwani tatizo kwenye katiba ni nini kwa Sasa jomba
 
Wanaharakati wengi naona wamemgeuka Tundu Lissu kule X (Twitter) X ambayo ndio strongest base ya Chadema, iligeuka chungu baada ya clip ya maneno ya kibaguzi ya Lissu kupostiwa kule

Ni sahihi kukosoa Muungano wetu, ni sahihi pia kukosoa makosa ya serikali ya Samia

Lakini kisicho sawa ni kusema au ku imply makosa yanyofanywa na serikali ya Samia yanatokana na yeye kuwa Mzanzibari

Ndicho ambacho Tundu Lissu alikuwa anawaaminisha wananchi

Tundu Lissu anatumia mbinu zilezile za kuwa vilify washindani wake wa kisiasa kama sio watanzania halisi na ndio maana wanafanya makosa (wanayoyaona wao ni makosa) wanayosema wanayafanya

Ni mbinu ile ile iliyotumiwa na Magufuli ambaye ndiye Lissu alikuwa akisema ni rais mbovu na wa ajabu kuwahi kutokea kupambana na washindani zake wa kisiasa

Wakosoaji wa Magufuli walikuwa wakisakamwa uraia wao, kuporwa paspoti na kuitwa vibaraka wa mabeberu ambao hawana upendo na Tanzania

Na ndio hicho hicho lissu anakifanya kwa Samia kumuonyesha kama mamluki fulani asiyejali lolote kuhusu Tanzania

Kuna wengine watasema Katiba ya Zanzibar inawatambua kama Wazanzibar na sio Watanzania, lakini huu muungano haukuwa designed na Samia, na ndio maana nikasema ni sawa kuukosa Muungano na Katiba yetu
Kwahiyo?
 
Kwani tatizo kwenye katiba ni nini kwa Sasa jomba
hayo mambo ya wao kununua ardhi Tanganyika na Huko kwao tunazuiwa na sasa wanataka twende na pasipoti kwenye nchi yao.
Hayo mambo ya kula manufaa ya Muungano kwa mtu wao kuuza mali za Tanganyika huku akilinda za kwao
Hayo mambo ya Ubaguzi kwenye katika yao na kurukia ya kwetu na sisi kunyimwa haki sawa kama wao.
Ni Mengi jomba.

Tanganyika imekuwa ni kama kichaka fulani ambako hao akina Lissu wakurusha mawe kwenye hicho kichako, kila mtu anachomoka kutokea humo na kuongea mambo yake.
Tufike mwisho, tupate usawa kama wao, wanalalamika sana.
Serikali na ccm yao walione na hili la watu zaidi ya million 60 kuonewa au kuufanyiwa maamuzi na watu laki 5, hata kama imo kwenye katiba- irekebishwe.
 
Wewe ndio mbumbumbu wa mwisho, kuwa kuchagua upinzani ndio guarantee ya kuwa na maisha bora? Maisha bora utayapata kwa kutumia nguvu na akili zako
Sawa lakini tunapaswa kuachana na ccm na kusapoti upinzani uwe na nguvu hii itasaidia kuwapa adabu ccm lakini watu hata hili hawana habari nalo, watanzania ni wajinga mno.
 
Wanaharakati wengi naona wamemgeuka Tundu Lissu kule X (Twitter) X ambayo ndio strongest base ya Chadema, iligeuka chungu baada ya clip ya maneno ya kibaguzi ya Lissu kupostiwa kule

Ni sahihi kukosoa Muungano wetu, ni sahihi pia kukosoa makosa ya serikali ya Samia

Lakini kisicho sawa ni kusema au ku imply makosa yanyofanywa na serikali ya Samia yanatokana na yeye kuwa Mzanzibari

Ndicho ambacho Tundu Lissu alikuwa anawaaminisha wananchi

Tundu Lissu anatumia mbinu zilezile za kuwa vilify washindani wake wa kisiasa kama sio watanzania halisi na ndio maana wanafanya makosa (wanayoyaona wao ni makosa) wanayosema wanayafanya

Ni mbinu ile ile iliyotumiwa na Magufuli ambaye ndiye Lissu alikuwa akisema ni rais mbovu na wa ajabu kuwahi kutokea kupambana na washindani zake wa kisiasa

Wakosoaji wa Magufuli walikuwa wakisakamwa uraia wao, kuporwa paspoti na kuitwa vibaraka wa mabeberu ambao hawana upendo na Tanzania

Na ndio hicho hicho lissu anakifanya kwa Samia kumuonyesha kama mamluki fulani asiyejali lolote kuhusu Tanzania

Kuna wengine watasema Katiba ya Zanzibar inawatambua kama Wazanzibar na sio Watanzania, lakini huu muungano haukuwa designed na Samia, na ndio maana nikasema ni sawa kuukosa Muungano na Katiba yetu
“Wanaharakati wengi” gani hao waliomgeuka Tundu Lisu? Makamba? Au Mwigulu?
 
Wewe ndio mbumbumbu wa mwisho, kuwa kuchagua upinzani ndio guarantee ya kuwa na maisha bora? Maisha bora utayapata kwa kutumia nguvu na akili zako
Wewe ndio mbumbumbu kiwango cha sgr, unashindwa kuelewa serikali inapokua na sera nzuri kwa wananchi wake basi maendeleo yanakuwepo,utaendelea kufanya kazi kwa nguvu na akili hutasonga mbele sababu ya sera mbovu ya serikali famba wewe🚮
 
Wanaharakati wengi naona wamemgeuka Tundu Lissu kule X (Twitter) X ambayo ndio strongest base ya Chadema, iligeuka chungu baada ya clip ya maneno ya kibaguzi ya Lissu kupostiwa kule

Ni sahihi kukosoa Muungano wetu, ni sahihi pia kukosoa makosa ya serikali ya Samia

Lakini kisicho sawa ni kusema au ku imply makosa yanyofanywa na serikali ya Samia yanatokana na yeye kuwa Mzanzibari

Ndicho ambacho Tundu Lissu alikuwa anawaaminisha wananchi

Tundu Lissu anatumia mbinu zilezile za kuwa vilify washindani wake wa kisiasa kama sio watanzania halisi na ndio maana wanafanya makosa (wanayoyaona wao ni makosa) wanayosema wanayafanya

Ni mbinu ile ile iliyotumiwa na Magufuli ambaye ndiye Lissu alikuwa akisema ni rais mbovu na wa ajabu kuwahi kutokea kupambana na washindani zake wa kisiasa

Wakosoaji wa Magufuli walikuwa wakisakamwa uraia wao, kuporwa paspoti na kuitwa vibaraka wa mabeberu ambao hawana upendo na Tanzania

Na ndio hicho hicho lissu anakifanya kwa Samia kumuonyesha kama mamluki fulani asiyejali lolote kuhusu Tanzania

Kuna wengine watasema Katiba ya Zanzibar inawatambua kama Wazanzibar na sio Watanzania, lakini huu muungano haukuwa designed na Samia, na ndio maana nikasema ni sawa kuukosa Muungano na Katiba yetu
Lissu hawezi kuwa Rais. Lissu ni mtu tu wa kutumwa na kutekeleza. Nina ushahidi wa kauli zake nyingi kabla hajapigwa risasi na baada ya kupigwa risasi.

Urais unahitaji mtu mwenye utulivu wa akili, busara na asiye na ghadhabu. Kwenye uongozi tofauti ya Lissu na Magufuli ni ndogo sana.

Kama CHADEMA inaweza kutoa kiongozi mzuri basi ni Mbowe anazo qualities zote. Lakini ni mfanyabiashara. Atatumia fursa zote kujitajirisha kama anavyofanya na fedha na raslimali za CHADEMA
 
Chawa wa mama. Pambana utapewa ukatibu kata. Siku hizi mtu akiongea ukweli anaanza kusakamwa. Kwani Samiah sio Mzanzibari?
 
Wanaharakati wengi naona wamemgeuka Tundu Lissu kule X (Twitter) X ambayo ndio strongest base ya Chadema, iligeuka chungu baada ya clip ya maneno ya kibaguzi ya Lissu kupostiwa kule

Ni sahihi kukosoa Muungano wetu, ni sahihi pia kukosoa makosa ya serikali ya Samia

Lakini kisicho sawa ni kusema au ku imply makosa yanyofanywa na serikali ya Samia yanatokana na yeye kuwa Mzanzibari

Ndicho ambacho Tundu Lissu alikuwa anawaaminisha wananchi

Tundu Lissu anatumia mbinu zilezile za kuwa vilify washindani wake wa kisiasa kama sio watanzania halisi na ndio maana wanafanya makosa (wanayoyaona wao ni makosa) wanayosema wanayafanya

Ni mbinu ile ile iliyotumiwa na Magufuli ambaye ndiye Lissu alikuwa akisema ni rais mbovu na wa ajabu kuwahi kutokea kupambana na washindani zake wa kisiasa

Wakosoaji wa Magufuli walikuwa wakisakamwa uraia wao, kuporwa paspoti na kuitwa vibaraka wa mabeberu ambao hawana upendo na Tanzania

Na ndio hicho hicho lissu anakifanya kwa Samia kumuonyesha kama mamluki fulani asiyejali lolote kuhusu Tanzania

Kuna wengine watasema Katiba ya Zanzibar inawatambua kama Wazanzibar na sio Watanzania, lakini huu muungano haukuwa designed na Samia, na ndio maana nikasema ni sawa kuukosa Muungano na Katiba yetu

Unataka tukusaidie Nini ewe chawa wa mama. Next time weka namba ya Simu. Wenzako wanapiga pesa wewe unalalama kuhusu Lissu.
 
Wananchi wote walivyopigwa njaa hayo mambo ya Lissu yanawangia sikio moja yanatokea jingine nyinyi ndio mnayakuza kwa kuyajadili!
Mbona wananchi wenyewe wanayajadili mpaka Nape kawachimba biti wasiende kumsikiliza Lissu.
 
Back
Top Bottom