Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, anatumia propaganda za serikali ya Magufuli kumchonganisha Samia na wananchi

Kwani tatizo kwenye katiba ni nini kwa Sasa jomba
 
Kwahiyo?
 
Kwani tatizo kwenye katiba ni nini kwa Sasa jomba
hayo mambo ya wao kununua ardhi Tanganyika na Huko kwao tunazuiwa na sasa wanataka twende na pasipoti kwenye nchi yao.
Hayo mambo ya kula manufaa ya Muungano kwa mtu wao kuuza mali za Tanganyika huku akilinda za kwao
Hayo mambo ya Ubaguzi kwenye katika yao na kurukia ya kwetu na sisi kunyimwa haki sawa kama wao.
Ni Mengi jomba.

Tanganyika imekuwa ni kama kichaka fulani ambako hao akina Lissu wakurusha mawe kwenye hicho kichako, kila mtu anachomoka kutokea humo na kuongea mambo yake.
Tufike mwisho, tupate usawa kama wao, wanalalamika sana.
Serikali na ccm yao walione na hili la watu zaidi ya million 60 kuonewa au kuufanyiwa maamuzi na watu laki 5, hata kama imo kwenye katiba- irekebishwe.
 
Wewe ndio mbumbumbu wa mwisho, kuwa kuchagua upinzani ndio guarantee ya kuwa na maisha bora? Maisha bora utayapata kwa kutumia nguvu na akili zako
Sawa lakini tunapaswa kuachana na ccm na kusapoti upinzani uwe na nguvu hii itasaidia kuwapa adabu ccm lakini watu hata hili hawana habari nalo, watanzania ni wajinga mno.
 
“Wanaharakati wengi” gani hao waliomgeuka Tundu Lisu? Makamba? Au Mwigulu?
 
Wewe ndio mbumbumbu wa mwisho, kuwa kuchagua upinzani ndio guarantee ya kuwa na maisha bora? Maisha bora utayapata kwa kutumia nguvu na akili zako
Wewe ndio mbumbumbu kiwango cha sgr, unashindwa kuelewa serikali inapokua na sera nzuri kwa wananchi wake basi maendeleo yanakuwepo,utaendelea kufanya kazi kwa nguvu na akili hutasonga mbele sababu ya sera mbovu ya serikali famba wewe🚮
 
Lissu hawezi kuwa Rais. Lissu ni mtu tu wa kutumwa na kutekeleza. Nina ushahidi wa kauli zake nyingi kabla hajapigwa risasi na baada ya kupigwa risasi.

Urais unahitaji mtu mwenye utulivu wa akili, busara na asiye na ghadhabu. Kwenye uongozi tofauti ya Lissu na Magufuli ni ndogo sana.

Kama CHADEMA inaweza kutoa kiongozi mzuri basi ni Mbowe anazo qualities zote. Lakini ni mfanyabiashara. Atatumia fursa zote kujitajirisha kama anavyofanya na fedha na raslimali za CHADEMA
 
Chawa wa mama. Pambana utapewa ukatibu kata. Siku hizi mtu akiongea ukweli anaanza kusakamwa. Kwani Samiah sio Mzanzibari?
 

Unataka tukusaidie Nini ewe chawa wa mama. Next time weka namba ya Simu. Wenzako wanapiga pesa wewe unalalama kuhusu Lissu.
 
Wananchi wote walivyopigwa njaa hayo mambo ya Lissu yanawangia sikio moja yanatokea jingine nyinyi ndio mnayakuza kwa kuyajadili!
Mbona wananchi wenyewe wanayajadili mpaka Nape kawachimba biti wasiende kumsikiliza Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…