Pre GE2025 Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Pre GE2025 Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
We mwache tu.. Labda kama ana njia nyingine .. Lakini kama ni migomo na maandamano asiwategemee kabisa hawa wanachama wake..🤣🤣🤣🤣🤣
Njia nzuri ni diplomatic pressure kutoka nje, Mashirika na Taasisi za Dini, Wasomi, NGO hizi ndizo njia sahihi badala ya maandamano pekee kuhusu suala hili
 
Back
Top Bottom