Tundu Lissu hebu tueleze vizuri tukio la kupigwa risasi lilivyotokea haya uliyotoa yanaacha maswali mengi sana

Simkubali lissu ila je unataka kuniambia risasi alijipiga mwenyewe? Na kama alijipiga mwenyewe kwanini kamera ziling'olewa si wangeacha tu ili lissu aumbuke? Serikali ilihusika kwenye hili
 
Hawa wajinga nilishaacha kufuatilia taarifa zao.

Hakuna kitu cha kipuuzi kukifuatilia kama maisha ya wanasiasa.
 
Kipindi kile kuvaa tshirt za pray for Lissu haikutakiwa. Tukio la ajabu lile. Jambo gani baya lingeipata nchi kwa watu kumuombea TL?
 
vijana mmefundishwa kujadili hoja au kumjadili mtoa hoja?
mbona alichouliza ni cha kawaida kabisa? si ujibu tu kwamba risasi zilipigwa kwa nyuma zikakata kona
 
Serikali ina nafasi ya kuyajibu maswali hayo yote, tena kwa vitendo, kwa sababu walitenda uovu huu wanafahamika wazi.

Bashite, aliyesimamia zoezi la shambulizi akiwa pale Dodoma hotel, yupo.

Zero aliyetoa maelekezo ya walinzi waondolewe na gari ya washambuliaji ipewe njia ya kutoka kwa kusimamisha magari na bodaboda zote, yupo.

Kalemni, aliyemwelekeza mke wake kuwa awaruhusu watu waliotumwa kuondoa camera, yupo.

Tatizo siyo kuwatambua wahalifu waliohusika kwenye shambulio lile, tatizo Serikali haina dhamira ya kuchukua hatua dhidi ya waovu.
 
Watu wengine mna roho za ajabu sana. Yaani unaona sawa kuchagua muuaji Lakini sio victims wa hao wauaji?

Si waunde Tume yenye watalaam wa nje na ndani na kuchunguza hii issue?
Wauaji, wasimamizi na wapangaji wote wa shambulio lile wanafahamika.

The only problem, the government is not ready to act. Siyo kwamba hawawajui washambuliaji. Kigugumizi chao kipo kwa sababu ya hofu ya yale yatakayoibuka kesi itakapofika mahakamani.
 
Sasa kwanini huyo dereva amejificha?

Au yeye ndiye asiyejulikana?
 
Hili shambulizi lina Utata kama ajali ya Chacha Wangwe
 
Serikali gani unayoizungumzia?
 
TL aeleze wapi? Aeleze kwenye vyombo vya habari? Kwa upande wa Serikali, kwa sababu wanajua kila kitu, hawana haja ya kuelezwa kwa sababu wanafahamu kila kitu.

Uliwahi kusikia Serikali kwa kupitia vyombo vyake waliwahi kumhoji Lisu au mtu mwingine yeyote yule kuhusiana na shambulio lile?

Fikiria kuna matukio yanatokea kwenye mazingira magumu ya kuwatambua wahusika, lakini lazima kuna watu kadhaa huwa wanahojiwa kuhusiana na tukio hilo. Unadhani ni kwa nini kitu kama hicho hakijawahi kufanyika kwa tukio la Lisu? Kwa namna fulani inaleta sense, Serikali imeamua isiwe mnafiki. Inajua waliohusika, inajua tukio lilivyotendeka, na hivyo wanaona hawana haja ya kuuhadaa umma kuwa wanachunguza.
 
Kisasi Ndio Ukatili wenyewe
 
Lazima ajikombe amerudi kufata mafao
 
Utachunguzaje bila mashahidi?
 
Kwahiyo Dereva kajificha mwenyewe?
 
Unajua utaalamu wangu au unanichukulia juujuu siyo? Tuheshimiane sawa
Huna utaalamu wowote acha matisho, acha mada yako iendelee na wasomaji tusome.
 
Eti tufanye alijipiga....au ametunga....story hahagah saw watu wabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…