Je tunaweza kutamka hapa jamvini kwa Uhakika kuwa hayo hayajafuatiliwa na Vyombo husika?
DPP, Wizara ya Sheria,Wizara ya mambo ya Nje n.k can we ascertain that? Where is the Disconnect? nani mkaidi?
Ikiwa na maana hata kuomba akamatwe! sasa tukirudi juu na kuuliza nani mkaidi hapa? Serikali yetu, Polisi wetu, Serikali ya Ubeligiji au Polisi wao. Protokali imevunjika wapi na Kwanini?
Where is the Disconnect?
Ni nani haswa wenye ukaidi. Je katika kabrasha za kuomba viza huko walidai wamekimbia nchi kwa nini? Je ushahidi wa "tulirushiwa risasi" zinatosha kuwapatia visa huko?
Mkuu naelewa fika huna majibu yote, lakini ukweli unabakia pale kwenye Mada. Kuna maswali mengi ambayo yeye TL na Serikali au watu anaowatuhumu/washutumu ndio wenye majibu.
Nafikiri tunaweza afikiana kila pande zinataka majibu/muafaka ile Nchi iendelee, Jamii ziendelee, Familia ziendelee. Hatuwezi kuendelea kwenye chaka la kutupiana vijembe kwa kudai Udhalimu au Makosa yametokea upande mmoja, na cha kusikitisha "yamefanywa na mtu mmoja"....
Mazingira yalijengwa pande zote. Sababu za utetezi kuhusu kwanini mazingira hayo yalitokea in the first place and or....they are open to Speculate...kwa kweli Kuna Ulazimu wa kuyafunika. Ulazimu huo ni Ukweli kupatikana kabla ya 2025 hatuwezi kuwachagua watu ambao bado wana vinyongo na usasi.