Tundu Lissu hebu tueleze vizuri tukio la kupigwa risasi lilivyotokea haya uliyotoa yanaacha maswali mengi sana

Tundu Lissu hebu tueleze vizuri tukio la kupigwa risasi lilivyotokea haya uliyotoa yanaacha maswali mengi sana

Mimi nadhani msukumo mkubwa uwe ni kuitaka Serikali ya sasa ichukue hatua. Ile Serikali ya mwanzo isingeweza kwa sababu kimantiki, ni yenyewe ndiyo iliyohusika katika uovu ule.

Kama hii Serikali ya sasa inachukia uovu, basi ichukue hatua. Mpaka sasa haijachukua hatua yoyote. Japo kwa kiasi kikubwa nina imani huenda Serikali hii ya sasa, wakati fulani itachukua hatua. Imani hiyo inajengekea katika uhalisia wa baadhi ya mambo yanayoendelea. Leo Biswalo tayari anatajwa kwa uwazi jinsi alivyoshiriki kupora pesa. Hapo mwanzo, japo ilikuwa inafahamika, haikuwahi hata kutamkwa hadharani. Hivyo, naamini na hili kuna siku kutaagizwa kuanza kwa uchunguzi.
Nimekupata.

Niseme tu, Sitakubaliana na uanzishwaji wa Tume. Sidhani kama nitapenda kuona hadaa nyingine....ni maoni yangu.

Inaonekana una taarifa nyingi na Nyeti, au kwa lugha nyingine ni kuwa Ushahidi wa kutosha upo. Kwanini Mh. Tundu Lissu asiwafungulie Polisi au Serikali kesi na kudai amenyimwa haki...au hilo nalo linahitaji Katiba mpya?
 
Halafu wapigaji wakiwa wanapiga kutokea nyuma ya gari lao
Ktk mahojiano LISSU amesema aliwaona waliompiga risasi kupitia mirror,

Walikuwa vijana umri wa miaka 30 hv,

Aliwaona ila AMEWASAHAU, na hata aliwaona Leo hawezi kuwakumbuka,

Sababu ya kutowakumbuka ni sababu walishuka ghafula na hakuwahi kuwaona kabla hivyo ni ngumu kuwakumbuka.
 
We chagua unayoyaona na kuelewa, ni shauri lako. Wacha na mie nichague yale yanayoletwa kwenye Jukwaa.

Umeniparamia. Ati simwelewi Joka Kuu? Kivipi? Kutokubaliana na hoja zake ni kutomwelewa?



Unataka nikubali kila alisemalo ili iwe vipi. Umekereka wewe unataka kunigeuzia kibao, majibu yako kwangu, yamenidhihirishia umekereka. Katambae mwenyewe kwa kuchutama. Ati Uzima tele.

Usiniletee za Kuleta
1. Nimekupa na LIKE√ Kwa sababu, sasa you're in your right senses. At least tunaweza kujadiliana kwa hoja as matured gentlemen.

2. Mimi sijakulazimisha ukubaliane na hoja za JokaKuu Kwa sababu najua maana ya mjadala.

3. Niliandika, "...kama SYLLOGIST! hatakuelewa kwa hili, basi ana lake jambo...". Huku si kukulazimisha bali nilikuwa nakuchagiza umsome JokaKuu kwa umakini inawezekana mkakubaliana ktk baadhi ya hoja.

4. Unfortunately, wewe mwenzetu ukaanza ku - rap kusikokuwa na mpangilio wa kimantiki kiasi
kunishambulia mimi Uzima Tele na kunitisha eti "UTANIBUTUA".

Honestly, sikukuelewa na nilidhani tunajadiliana na mwanafunzi wa kidato cha pili labda.

NB: Naweka mambo sawa tu. I don't mean to offend you anyhow.

Uwe na siku njema ndugu SYLLOGIST!
 
1. Nimekupa na LIKE√ Kwa sababu, sasa you're in your right senses. At least tunaweza kujadiliana kwa hoja as matured gentlemen.
Hiyo laiki naikubali kwa shingo upande. Asante
Btw my senses are never right, kwasababu ningekusoma kwa umakini. bila hivyo, nisingejua una Busara....fulani.
2. Mimi sijakulazimisha ukubaliane na hoja za JokaKuu Kwa sababu najua maana ya mjadala.

3. Niliandika, "...kama SYLLOGIST! hatakuelewa kwa hili, basi ana lake jambo...". Huku si kukulazimisha bali nilikuwa nakuchagiza umsome JokaKuu kwa umakini inawezekana mkakubaliana ktk baadhi ya hoja.
Tumepishana sana lugha. Na ulinichagiza, kitafrani tafrani.
4. Unfortunately, wewe mwenzetu ukaanza ku - rap kusikokuwa na mpangilio wa kimantiki kiasi
kunishambulia mimi Uzima Tele na kunitisha eti "UTANIBUTUA".
Ni lugha tu hiyo, nimekulia Uswahilini. kubutua ina maana nyingi uswazi.
Honestly, sikukuelewa na nilidhani tunajadiliana na mwanafunzi wa kidato cha pili labda.
Perhaps...haijalishi lakini
NB: Naweka mambo sawa tu. I don't mean to offend you anyhow.

Uwe na siku njema ndugu SYLLOGIST!
Siku yangu inaanza na Mihogo na Uji wa Ulezi huwa napata faraja na siku huwa ni njema tu baada ya hapo anayeweza kuniharibia siku ni CCM peke yake. Usiwe na Wasiwasi. Nimejifunza.
 
hebu msikilize unless awe anaumwa psychological trauma

Sawa tumemsikia eeh baada ya kufika hospital na gari la rehema nani alimpeleka Nairobi? Hiyo ndege ni maelekezo ya nani?

Wajumbe tuendelee kuanzia hapo!
 
Nimekupata.

Niseme tu, Sitakubaliana na uanzishwaji wa Tume. Sidhani kama nitapenda kuona hadaa nyingine....ni maoni yangu.

Inaonekana una taarifa nyingi na Nyeti, au kwa lugha nyingine ni kuwa Ushahidi wa kutosha upo. Kwanini Mh. Tundu Lissu asiwafungulie Polisi au Serikali kesi na kudai amenyimwa haki...au hilo nalo linahitaji Katiba mpya?
Awafungulie kesi ipi ?
 
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao

Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu

MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake?

2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo?

Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.

3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Maswali ya kijinga haya wakati karma ilishatoa hukumu yake na aliyeamuru auawe alishatangulia na kumwacha Lissu!
 
Mpaka ujuwe huu mchezo lazima kwanza uelewe nani alimteka mo? Achana na watendaji wa kazi nani alitoa amri akasingiziwa mwingine eti ndo kamtuma fulani? Nyiee nyamazeni tu kama hujui hujui.

Unajua mtu anakuumiza na msaada anatoa ili kupoteza ushahidi?

Tatizo humu wenye high thinking capacity ni wachache. Ila wamo wanao elewa hizi drama.
 
Wauaji walikuwa wanataka kumwangamiza na yeye. Watu wema ndani ya vyombo vya usalama walishauri aondoke haraka sana.

Ikithibitika Serikali ina will ya kushugulikia jambo hili, dereva atakuja haraka sana. Mpaka sasa dhamira hiyo haipo.
Tumewahi ona picha nyingi za tukio, nani ana picha ya dereva?
 
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao

Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu

MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake?

2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo?

Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.

3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Maswali yako yote ya kijinga
 
Kwa wanaoijua CHADEMA inawezekana kabisa ni inside job!
  1. CHADEMA mabingwa wa mapichapicha, walijitahidi kuhakikisha picha za tukio hilonhazisambai kinyume na utamaduni wao!
  2. Risasi kutoboa upande moja wa gari na yeye kuumizwa upande mwingine. Risasi zitoboe kushoto na muathirika aumie mguu wa kulia!
  3. Dereva aliyeko kulia risasi isimpate hata moja!
  4. Zipigwe risasi 38 na atoke kama alivyotoka!
  5. Dereva kuingia mitini na mpkumficha kwa nguvu zote!
Hatutakaa tujue mpaka ripoti ya uchunguzi itakapokamilika. Bahati MBAYA sana, miaka mitano baadae, hakuna ripoti yoyote, Wala hakuna aliyekamatwa!
 
Mtaalum wa kitu gani unashindwa andika hata Mimi, unaandika Mie! Kweli humu kuna shida
Too trivial- wewe jadili mada achana na mambo madogo madogo
 
Wewe inaonekana hata masikio hayafanyi kazi. Habari hii iliongelewa kwa kirefu, na aliyetoa maelezo marefu zaidi alikuwa ni dereva. Sasa wewe labda una tatizo la kutosikia, au una tatizo la kutokuwa na kumbukumbu, au una tatuzo la unafiki.

Dereva alieleza wazi namna alivyojitahidi kumwokoa Lisu. Alimvuta Lisu toka upande wa kushoto mpaka kwenye upande wa dereva, akamshusha chini ambako huwa inakaa miguu ya dereva, ni sehemu ile ambayo ipo brake na accelerator. Dereva alishuka na kutambaa mpaka chini, akaingia kwenye uvungu wa gari bovu lililokuwepo hapo. Halafu wewe bado unaleta maswali yasiyo na vichwa wala miguu.

Yawezekana uovu unakufanya uwehuke.

sio kweli umekosea maelezo ya dereva nanukuu anasema dereva alifyatua kiti cha bosi wake na kukilaza ndo maana alipigwa miguuni tu na kwenye mapaja tu derefa akafungua mlango wake adodoka akaingia uvvunguni mwa gari gari yao au yajirani sijui
 
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao

Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu

MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake?

2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo?

Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.

3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Suala hili tuliache kama lilivyoachwa na bunge kama wabunge wenyewe hawakulijadili licha ya kuundiwa kamati sisi ni nani hata tulijadili????!
 
Back
Top Bottom