Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.
Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.
Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana
Hahahaaaa.Tutahakikisha idara ya habari inang'olewa yote , ni wapuuzi sana na wako kama konokono , hatutaki ujinga kabisa , mleta uzi ni kama amechokoza nyuki , na kwa kweli kama kuanzia kesho hawajang''olewa patachimbika , sasa baaaasi !
Baadhi wananifahamu lakini Liwalo na liwe , hatutafuga ujinga
CC:Kichwa cha habari chahusika.
Idara ya habari ya cdm ina matatizo mengi, nikianza kuyataja yote tutajaza ukurasa huu.
Kuna tatizo la kutotoa habari kwa wakati.
Pia wanatoa habari zikiwa zimekatwa-katwa.
Zaidi hawamuandai mgombea kwa maswali anayoulizwa na waandishi wa habari.
In short, these ppl need to wake up. Wanakiangusha chama na wanamuangusha mgombea Uraisi.
Kwa hiyo unachosema ni kwamba ‘shida’ au ‘tatizo’ au ‘ki/vikwazo’ ni vipo ndani ya chama?Hili tatizo limelalamikiwa sana but tujiulize vyema
Unafikir wanapenda haya?? No rahisi sana kuongea ukiwa nje ila humo ndani hali ni tofauti sana.
Tutahakikisha idara ya habari inang'olewa yote , ni wapuuzi sana na wako kama konokono , hatutaki ujinga kabisa , mleta uzi ni kama amechokoza nyuki , na kwa kweli kama kuanzia kesho hawajang''olewa patachimbika , sasa baaaasi !
Baadhi wananifahamu lakini Liwalo na liwe , hatutafuga ujinga
Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.
Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.
Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana
Human resource CHADEMA kwa sasa ni mtihani.Exactly, haya malalamiko tumeyatoa sana humu, kwa sasa cdm hata kwenda kwenye media mbalimbali wamekuwa wazito. Niwe mkweli kabisa, Mbowe hakustahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa Cdm, ameshafikia mwisho wa mapambano, na Mnyika yuko below per, lile tatizo la Mashinji naona linaendelea. Mnyika toka Dr. Slaa ameondoka na yeye ameflop, kumpa ukatibu mkuu haikuwa sahihi. Huu udhaifu mwingine chamani unachangiwa na hizo nafasi mbili za juu.
Kichwa cha habari chahusika.
Idara ya habari ya CHADEMA ina matatizo mengi, nikianza kuyataja yote tutajaza ukurasa huu.
Kuna tatizo la kutotoa habari kwa wakati.
Pia wanatoa habari zikiwa zimekatwa-katwa.
Zaidi hawamuandai mgombea kwa maswali anayoulizwa na waandishi wa habari.
In short, these people need to wake up. Wanakiangusha chama na wanamuangusha mgombea Urais.
Exactly, haya malalamiko tumeyatoa sana humu, kwa sasa cdm hata kwenda kwenye media mbalimbali wamekuwa wazito. Niwe mkweli kabisa, Mbowe hakustahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa Cdm, ameshafikia mwisho wa mapambano, na Mnyika yuko below per, lile tatizo la Mashinji naona linaendelea. Mnyika toka Dr. Slaa ameondoka na yeye ameflop, kumpa ukatibu mkuu haikuwa sahihi. Huu udhaifu mwingine chamani unachangiwa na hizo nafasi mbili za juu.
Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.
Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.
Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana
Kweli Chadema Media wanatulet down sana, wameonesha Uwezo mdogo sana hadi Inatia hasiraKichwa cha habari chahusika.
Idara ya habari ya CHADEMA ina matatizo mengi, nikianza kuyataja yote tutajaza ukurasa huu.
Kuna tatizo la kutotoa habari kwa wakati.
Pia wanatoa habari zikiwa zimekatwa-katwa.
Zaidi hawamuandai mgombea kwa maswali anayoulizwa na waandishi wa habari.
In short, these people need to wake up. Wanakiangusha chama na wanamuangusha mgombea Urais.
Umeandika nini!!Hahaha mara hiii tayari mmepoteana poleni hizo ndiyo Big match zinahitaji uzoefu
Hakuna kitu kama hicho hiki chama Mbowe amekipambania kutoka ground, hata huyu Lisu tunayemkubali anekuwa moulded na Mbowe.
Tusitake kuvurugana humu, pasipo Mbowe hiki chama kingekuwa sasa hakipo, kuhusu Katibu huyu Kapwaya tena sana.
Mengine tuache tu lkn kuna walakini kwa ndani, nikama tumepoteana