dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa
"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
MY TAKE: WANA CCM IFIKIE HATUA MUACHE SIASA ZA KIPUUZI
Rais yeyote anayechaguliwa anaapa kuilinda katiba. Na isitoshe ni lazima uelewe kuwa kila kinachoandikwa kwenye katiba lazima kifuatwe na Rais mteule na ndiyo maana anaapa.
Kwenye katiba nchi yetu haijauzungumzia ushoga kwa kuwa hawana kipimo cha kumjua shoga ili waliweke kuwa ni kosa. Mfano hao kina James hakuna mahali unaweza ku prove kuwa ni shoga. Na hata hukumu yao iliegemea kwenye sheria ya makosa ya mtandao.
Isipokuwa sheria imewekwa kuzuia usambazaji wa video na picha chafu ikiwemo za ngono na hiyo sheria waliipitisha kina Lissu bungeni.
Hilo la ushoga na usagaji linabakia kama maadili ya mtu binafsi na Mungu wake. Sasa huwezi kumtuhumu Lissu kwa mapenzi ya jinsia moja wakati ndoa yake aliyofunga imehusisha jinsia mbili tofauti. Pia ana watoto na hajawahi popote kutamka hata mzaha tu kuhusu ushoga. Na katiba inachotambua ni ndoa kati ya watu wawili wa jinsia tofauti. Hakuna mahali Lissu amesema kuwa atabadili katiba ili mashoga na wasagaji waruhusiwe kuoana!
Nikupe mfano. Hivi Magufuli alipokuwa Dodoma kisha akamjibu yule baba kuwa aliyedai kuwa anamuota akamuuliza "Unaniota tukiwa kitandani au? Angekuwa amesema hivyo Lissu hata kwa mzaha tu nyie muda huu si mngekuwa mnamnyea kabisa! Emb acheni kujadili ujinga.
Au leo Magufuli alipomuomba Sugu amsugue ingekuwa kasema hivyo Lissu si mngepeleka hadi malalamiko NEC? Mbona wao Chadema wala hata hawana ishu na hayo aliyosema Magufuli?
Ifikie mahali nyie CCM muache hizi siasa za kipumbavu!
"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
MY TAKE: WANA CCM IFIKIE HATUA MUACHE SIASA ZA KIPUUZI
Rais yeyote anayechaguliwa anaapa kuilinda katiba. Na isitoshe ni lazima uelewe kuwa kila kinachoandikwa kwenye katiba lazima kifuatwe na Rais mteule na ndiyo maana anaapa.
Kwenye katiba nchi yetu haijauzungumzia ushoga kwa kuwa hawana kipimo cha kumjua shoga ili waliweke kuwa ni kosa. Mfano hao kina James hakuna mahali unaweza ku prove kuwa ni shoga. Na hata hukumu yao iliegemea kwenye sheria ya makosa ya mtandao.
Isipokuwa sheria imewekwa kuzuia usambazaji wa video na picha chafu ikiwemo za ngono na hiyo sheria waliipitisha kina Lissu bungeni.
Hilo la ushoga na usagaji linabakia kama maadili ya mtu binafsi na Mungu wake. Sasa huwezi kumtuhumu Lissu kwa mapenzi ya jinsia moja wakati ndoa yake aliyofunga imehusisha jinsia mbili tofauti. Pia ana watoto na hajawahi popote kutamka hata mzaha tu kuhusu ushoga. Na katiba inachotambua ni ndoa kati ya watu wawili wa jinsia tofauti. Hakuna mahali Lissu amesema kuwa atabadili katiba ili mashoga na wasagaji waruhusiwe kuoana!
Nikupe mfano. Hivi Magufuli alipokuwa Dodoma kisha akamjibu yule baba kuwa aliyedai kuwa anamuota akamuuliza "Unaniota tukiwa kitandani au? Angekuwa amesema hivyo Lissu hata kwa mzaha tu nyie muda huu si mngekuwa mnamnyea kabisa! Emb acheni kujadili ujinga.
Au leo Magufuli alipomuomba Sugu amsugue ingekuwa kasema hivyo Lissu si mngepeleka hadi malalamiko NEC? Mbona wao Chadema wala hata hawana ishu na hayo aliyosema Magufuli?
Ifikie mahali nyie CCM muache hizi siasa za kipumbavu!