Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wameishiwa hoja kabisa .Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa
"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Haa haa haaHuyo ni T.Lissu ...a.k.a Akili kubwa
Kama tuna nia ya kupambana na ushoga basi tuanzishe utaratibu wa kuwapima watu marinda ili ambao hawana sheria ichukue mkondo wake!ni kuhalallisha uhalifu watoto kibao wanaingiliwa kinyume na maumbile na serikali imeshawafunga miaka kibao wako wabakaji hubaka vyumbani ,maofisini nk Ushoga ni uhalifu wa kisheria Tanzania
Uwe unafanyika vyumbani au popote lazima udhibitiwe ndio maana hoteli nyingi Tanzania hazikubali hata siku moja wanaume wawili kulala chumba kimoja.Double ya wanaume watupu haipo!!
Zumbukuku hilo halijitambuiLissu kaulizwa swali, ulitaka ajibu nini?
Tuanze kukagua marinda yako kwanzaNa kama kweli tunapiga vita ushoga kama vile ulivyo ujambazi basi tuanze kuwakagua watu kama wana marinda!Kama ambavyo jeshi likipata tetesi za uhalifu au silaha zisizo halali wanakwenda kufanya msako kwenye makazi yanayodhaniwa!Basi mtu akihisiwa tu basi apimwe marinda na akikutwa hana sheria ichukue mkondo wake!
NI NANI ALISHAKAMATWA NA KUSHITAKIWA KWA KOSA LA USHOGA?CCM IMEISHIWA HOJA
Atajua mwenyewe na ushoga wakeTundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa
"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Kwa kuwa katiba ya JMT inalinda haki ya faragha ndio watu wafanye mapenzi kinyume na maumbile? Lissu amepotokaTundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa
"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Wameishiwa ?. Uwaongezee sasaCCM wameishiwa hoja kabisa .View attachment 1585359
Huyo ni sifuli kabisa, mambo ya faraga mi ya mtu na mke au mpenzi mke na sio mtu mume na mume,Huyo ni T.Lissu ...a.k.a Akili kubwa
Serikali ya magufuli ndio inaunga mkono hiyo issue ndio maana hawataki mabadiliko ya katibaKwa kuwa katiba ya JMT inalinda haki ya faragha ndio watu wafanye mapenzi kinyume na maumbile? Lissu amepotoka
Halafu acha hizo tabia zako za kujifanya upo CHADEMA hizi ni propaganda za kitoto na haitowasaidia kitu nyambafKwa kuwa katiba ya JMT inalinda haki ya faragha ndio watu wafanye mapenzi kinyume na maumbile? Lissu amepotoka
Lakini kwenye Sheria za nchi ushoga unakatazwa kabisa, na hyo haki ya faragha mbona kanitumia sehemu sio sahihi mfano amber rutty Mambo yao yalikuwa binafsi then wakarekodi na kurusha mtandaoni mlitaka aachwe tu.Aachane kivip yeye kaulizwa swali kuhusu ushoga jinsi ccm wanavyomsingizia na yeye kawajibu kwa kutumia katiba yao wenyewe ccm ya 1977
Asinge wajibuWaandishi wa habari ndo wamemuuliza, au ulitaka asitoe majibu?
Kibaraka wa mabeberu, Mbeligiji anasemaje tena?. Hatutaki ushoga, full stop 🛑.Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa
"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Wanasiasa kweli hawaaminiki Kuna vitu wanavitolea povu kumbe wametumwa na hela za watu wanakulaAachane nayo? Forget, hiyo ni hoja kubwa sana kwa sponsors wake, unapoambiwa atatetea ushoga mjue sio maneno tu, yasemwayo yapo.
Wanyamaze tena, hapo ndio amewaamshaKuna Picha inasambazwa yuko kwenye Gay meeting. Huenda ameamua kutupa hilo jiwe ili wanyamaze
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app