Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

Kwenye utwala wa Sheria CCM hii imefeli vibaya mno. haya hoja hii nayo ishajibiwa tayari - tuwasikie tena!!
 
Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa

"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
CCM wameishiwa hoja kabisa .
IMG_20200929_104345.jpg
 
ni kuhalallisha uhalifu watoto kibao wanaingiliwa kinyume na maumbile na serikali imeshawafunga miaka kibao wako wabakaji hubaka vyumbani ,maofisini nk Ushoga ni uhalifu wa kisheria Tanzania
Uwe unafanyika vyumbani au popote lazima udhibitiwe ndio maana hoteli nyingi Tanzania hazikubali hata siku moja wanaume wawili kulala chumba kimoja.Double ya wanaume watupu haipo!!
Kama tuna nia ya kupambana na ushoga basi tuanzishe utaratibu wa kuwapima watu marinda ili ambao hawana sheria ichukue mkondo wake!
Si tunapambana na ushoga?Yaani mtu akishutumiwa au kuhisiwa basi anapelekwa kupimwa!
 
Na kama kweli tunapiga vita ushoga kama vile ulivyo ujambazi basi tuanze kuwakagua watu kama wana marinda!Kama ambavyo jeshi likipata tetesi za uhalifu au silaha zisizo halali wanakwenda kufanya msako kwenye makazi yanayodhaniwa!Basi mtu akihisiwa tu basi apimwe marinda na akikutwa hana sheria ichukue mkondo wake!
Tuanze kukagua marinda yako kwanza
 
Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa

"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Atajua mwenyewe na ushoga wake
 
Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa

"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Kwa kuwa katiba ya JMT inalinda haki ya faragha ndio watu wafanye mapenzi kinyume na maumbile? Lissu amepotoka
 
Huyo ni T.Lissu ...a.k.a Akili kubwa
Huyo ni sifuli kabisa, mambo ya faraga mi ya mtu na mke au mpenzi mke na sio mtu mume na mume,
Akiwa uingereza alisema kwa kuwa katiba yetu hairuhusu, yeye akiingia madarakani ataifanyia marekebisho ili wapate haki yao.
Sasa hiyo haki wanayoitaka ni ipi ninyi bchadema?
Kwa kua haki ya kuwa binadam wanayo, ya kuwa mtanzania na kufanya kazi na uhuru usio vunja sheria walionayo
Sasa haki gani wanataka ambayo tundu lisu atawapa zaidi ya kuwatambua kwa tendo lao kisheria ambalo hata mungu hataki?
Kwa hiyo tundu ni mfasi wa shetani hata hakumbuki ya sodoma na gomora?

Tundu lisu anasema kwa nini hawajachukuliwa hatua wakati wapo, nimkumbushe kuwa hao waliopo ni sawa na mwizi ambaye yupo ila siku akiiba akakamatwa na anafungwa, na ndio maana wanafanya kwa siri. Ila wakiruhusiwa tutawaona kama tunavyowaona wanawake.
 
Kuhusu ushoga nadhani serikali “haichungulii vyumbani mwa watu” as such. Unaweza ukagongwa as much as you like huko chumbani kwak but usije kwenye mitandao ya kijamii na kutangaza huo upuuzi wako.
 
Aachane kivip yeye kaulizwa swali kuhusu ushoga jinsi ccm wanavyomsingizia na yeye kawajibu kwa kutumia katiba yao wenyewe ccm ya 1977
Lakini kwenye Sheria za nchi ushoga unakatazwa kabisa, na hyo haki ya faragha mbona kanitumia sehemu sio sahihi mfano amber rutty Mambo yao yalikuwa binafsi then wakarekodi na kurusha mtandaoni mlitaka aachwe tu.
 
Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa

"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Kibaraka wa mabeberu, Mbeligiji anasemaje tena?. Hatutaki ushoga, full stop 🛑.
 
Back
Top Bottom