Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

Alitoa ufafanuzi jinsi sheria inavyojieleza.
 
Jifunze kuelewa kuelewa kabla ya kuanza kubisha, kufanya vile ni kosa la shambulizi la aibu.
 
Kama kuna watu wanaopaswa kuacha upumbavu ni hao Chadema na mgombea wao
 
..kulawiti watoto sio ushoga?
Kaulize mahakama kuu kwanini waliachiwa ukutane na ushahidi mpya wa wale watoto waliotumika kusema uongo. Ukitoka hapo muulize Tundu wakati lowasa anatangazia umma kuwa angemuacha huru alikua na ushahidi gani na kwanini Tundu alishabikia?

Hii sio nchi ya kunyanyasa wanyonge tena
 
Basi mkuu tusibishane sana Lisu kawaruhusu endeleeni hatawabughudhi
 
Ama kweli ukistajabu ya Musa utashsngaa ya firauni Leo hii tundu unaunga mkono ushoga kweli tutakuamini kweli hatuwezi kumpa nchi mtu Kama wewe
 
Unaweza ukamtambua shoga kwa kumtazama?
 
Ametoka kwenye nchi ambazo zinazoruhusu iyo kitu hawezi kuacha watanzania tumfundishe kwa kutokumpa kura hata moja asije tupeleka kwenye ushoga
 
Kama huwezi kumtambua mwizi kwa kumtazama ni halili kusema ni ruksa kwao kufanya wanavyotaka?
Siwezi kujadili hizi hoja mfu. Nyie endeleeni na siasa zenu za maji taka. Nimekuuliza, ulimsikia Magufuli alivyomwambia yule mwanaume pale Dodoma?
 
Yani CCM wana hila sana wanataka kuwaambia watu eti kwa sasa Tanzania tatizo lililopo ni ushoga na wanataka mtu wa kupambana nalo. Hoja za kipuuzi na kilaghai ili kutaka tu kuwapumbaza watanzania na kuendelea kuwatesa na dhiki.
Ndiyo maana tunapaaza sauti zetu kupingana nao kuhusiana na hoja ya Ushoga.Propaganda hii ndiyo karata waliyobakiwa nayo kuwajaza Wananchi Hofu ili wajishebedue kuwa wao ni watetezi na wapinga Ushoga.Tuwaulize swali;CCM mtuambie mbinu gani mtatumia katika kupambana na Ushoga.
 
Yani CCM wana hila sana wanataka kuwaambia watu eti kwa sasa Tanzania tatizo lililopo ni ushoga na wanataka mtu wa kupambana nalo. Hoja za kipuuzi na kilaghai ili kutaka tu kuwapumbaza watanzania na kuendelea kuwatesa na dhiki.
Chadema mna mapungufu mengi sana pamoja na mgombea wenu, mnajaribu kutushawishi kwamba; mtaruhusu sera ya kuigawa nchi vipande vipande a.ka. majimbo, mkaenda mbali na kusema nyie hamtakusanya kodi isipokuwa mtaweka madini na rasilimali zingine ili kupata mkikopo ya kuendeshea shughuli za maendeleo na uendeshaji serikali.Leo mmekuja na mpya ya karne ya kuruhusu ushoga kwa kuubariki kama faragha. kwa haya madhambi; R.IP CHADEMA
 
Sheria zipo ndiyo maana shoga hawezi thubutu kujitangaza hadharani au kufunga ndoa hadharani, wanachofanya ni kuiba gizani na siku wakikamatwa hawatakua tofauti na majambazi yanayoendelea kupora kinyume cha sheria. Lakini chadema leo mmeithibitishia dunia kuwa hilo kwenu ni ruksa. Ndiyo maana mmeshindwa pia hata kuutambua muungano wa Tanzania na zanzibar mnadai hamna maslahi nao duuuuuuu mnahitaji kuombewa peo mchafu awatoke.chadema ni debe la petroli
 
Ama kweli ukistajabu ya Musa utashsngaa ya firauni Leo hii tundu unaunga mkono ushoga kweli tutakuamini kweli hatuwezi kumpa nchi mtu Kama wewe
COMRADE POLEPOLE amekwisha onya kwamba; something, some where is wrong with this man(LISSU)
 
Siwezi kujadili hizi hoja mfu. Nyie endeleeni na siasa zenu za maji taka. Nimekuuliza, ulimsikia Magufuli alivyomwambia yule mwanaume pale Dodoma?
Sasa hapa mwenye hoja mfu ni nani?

Magufuli alisema huyo mwanaume ni shoga?

Mkuu mshaurini Lisu kama katumwa, kashashindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…