Tundu Lissu: Kifo au ugonjwa wa kiongozi yeyote haufichiki. Tuambieni alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Tundu Lissu: Kifo au ugonjwa wa kiongozi yeyote haufichiki. Tuambieni alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Tangu wamuue JPM hawajawahi kuwa na amani
Kwa kweli, pasingekuwepo na Corona wakati huo, nami ningekuwa naamini kabisa kwamba hawa watu ndani ya hicho chama walimwondosha Magufuli; maanake mambo yao sasa ni ya ajabu ajabu sana. Hayaeleweki kabisa.
 
Kwa kweli, pasingekuwepo na Corona wakati huo, nami ningekuwa naamini kabisa kwamba hawa watu ndani ya hicho chama walimwondosha Magufuli; maanake mambo yao sasa ni ya ajabu ajabu sana. Hayaeleweki kabisa.
Kuanzia Moringe, Kolimba, Nyerere, n.k list ni ndefu sana. Na mashaka ni mengi mno! Lakini ukiunganisha dots zinatally
 
Hata mimi nimeanza kuchoka sasa, yuko wapi makamu wa Rais? Machinery zetu zinachukuliaje huu ukimya?

Its enough! Yuko wapi Makamu wa Rais? Mnafanya watu tujae hisia mbaya kinachowatokea viongozi wetu. What is going on?
 
Tundu Lissu kupitia akaunti binafsi ya mtandao wa X ameandika,

'Hivi Serikali hii ilijifunza chochote juu ya kifo cha Magufuli mwaka juzi? Kifo au ugonjwa wa kiongozi mkuu wa nchi havifichiki! Kufichaficha kunaleta hisia mbaya za mchezo mchafu dhidi yake. Jisafisheni! Tuambieni aliko Makamu wa Rais Phillip Mpango sasa!'


Pia soma > Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
Serikali zote duniani zina taratibu zake za kiutendaji na utoaji wa taarifa.
 
Back
Top Bottom