Tundu Lissu kuanza ziara ya kikazi Marekani

Hivi kule marekani atachangiwa kama afanyavyo kila akiwa kwenye yale makangamano uchwara hapa nchini?
Tuko tayari kuchanga kwa ajili ya mama Tanganyika. Kama tukichanga unawashwawashwa makalio basi kasugulie kwenye jiwe.
 
Hatutishwo na haya maziara ya ajabu ajabu ya kwenda kutoa ripoti baada ya kushindwa kuivuruga nchi. Kwa Sasa akirudi tena anaweza pigwa risasi jukwaani tena mi ndo nitaengineer Hilo. Hatutaki vurugu nchini kwetu nchi imetulia chini ya rais wetu mpaendqa
 
Ushauri wako nini sasa ,asiende kwasababu atakosa watu?
 
Asante sana
 
Kwa uzoefu wangu lazima amepata mualiko wa kwenda kwenye hivyo vyuo kamwe hauwezi kwemda kwenye hivyo vyuo kuhutubia bila mwaliko maalumu wa heshima.Sijui kuhusu vyuo vya Afrika ila nje lazima upewe mualiko maalumu
Uko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…