You are quite right. Muuaji hata mtaani watu wakipata nafasi wanawachoma moto, sasa wanatofautiana nini na huyo aliyekuwa anatumia ofisi kuua?Blessed justification, I also celebrated, even now, tomorrow and the years to come, even if I am dead! I will celebrate the death of a killer!
Unathibitisha nilichokisema hapo mwanzo,hapa mnaleta porojo tu,wakati hata ukipewa hiyo access ya kwenda kuchoma moto hutothubutu.Kuchoma moto kunahitaji nyenzo gani zaidi ya kiberiti?Nikiwa na nyenzo muhimu ntafanya hivyo, hapa ni sehemu ya watu kutoa mawazo yao kwa uhuru. Au ulitaka tutoe mawazo yetu bila kuandika?
Acha uongo bwana! Sio mipango ya hovyo kama ya huyo ndugu yenuMkuu yeye Lissu si alikuwa anapambana na serikali, sasa wewe ulitarajia apewe tuzo gani zaidi ya hiyo.
Ata CIA ukienda tofauti na mipango ya nchi yao unaliwa kichwa!
Usikwepe swali,hao uliozika kwenye familia yako walikiuka maagizo ya Mungu?Siyo sahihi, Watanzania walifunga na kusali ili Jiwe auliwe na Mungu na ikatokea
Kumbe unajua kila mtu atakufa ikiwemo na wewe mwenyewe.Nikadhani wewe ni Immortal.Hayo ya watanzania wengi waliomba ni porojo zako tu.Kifo ni lazima kwa kiumbe hai yeyote. Lakini ukiona mtu kafa baada watu wengi kuomba kwa Mola akuondoe basi jua uko na matatizo
Kama JPM hakuhusika, kwanini ailizuia watu wasimuombee Lissu ?? Kwanini alilazimisha polisi kukamata watu waliovaa furana zenye nembo pray for Lissu?. Kwanini alizuia malipo ya matibabu ya Lissu? nk nkTundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Ina maana marehemu hakuwa na madeniUnatoaje maoni kwenye kifo?! Ukitaka kujua hebu fikiria kila kwenye maziko ya waislam hutolewa tangazo la nani ana mdai marehemu- ulishaona watu wanijitokeza? Unadhani ni ujinga au uoga?
And if there’s Hell they should use the body to fire the kilnBlessed justification, I also celebrated, even now, tomorrow and the years to come, even if I am dead! I will celebrate the death of a killer!
Huo ndio ukweli wenyewe. Muuaji naye kafaKikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Better they strangled him to death otherwise it could be a disaster! May the Satan strangle him to the eternal hell!Zachary Bosire
WEWE Mtundu Rishwa.....nakuomba ukome na matamshi yako ya kihujumu. Even if Magufuli died of strangulation tje fact remains he is no more. Please get knowing that the cause of JPM death is a non issue now. You are not the family spokesman.
Tena hii ilikuwa mbaya zaidi. Definitely hakushinda uchaguz, basi umeshaingia ofisi ya UMMA, tenda haki. It was pathetic kuwa alikuwa muuaji wa hao ambapo aliapa kwa biblia kuwatumikia kwa haki! Acha afe, aoze, bahati nzuri hakutunukia harufu chafu!huyo aliyekuwa anatumia ofisi kuua?
soma huyo Mkenya alivyo tudharau kutokana na ujinga wa Lissu
Nicholas Juma Wanyama
You should be sending condolence my friend, the New World order has no friend in Africa. Kenyan politicians are very mature, they have no enemies. When such incidence happen band to give warmth to each other.
Lissu's Achilles heel is 'MUCH KNOW'.Lissu ni much know, ogopa sana watu wanaopenda kujikweza!
Mwende mkawaambie haya maneno wana mwanza.Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Huyu mwamba aliwakosea nini? Itoshe basi kilema alichopewa, mwacheni.Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Una uhakika Lissu alipigwa risasi na Magufuli?
Kwa nini asipeleke ushahidi mahakamani? Kwa nini amemficha dereva wake..Lissu anadai ana uhakika waliomshambulia walitumwa na Jpm.
Bashite na genge lake walionekana Morogoro jioni ya siku ile wakirudi dar wakiamini kuwa wameshamuua Lissu..Lissu anadai ana uhakika waliomshambulia walitumwa na Jpm.
Huo ni upande wa pili.Sasa kwanini mmoja akataka kumuua rafiki yake kabla Mungu hajaingilia kati?