Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
mwanzoni mtu akikutana hizo changamoto mbili nilizosema na akapta hiyo hali anakuwa mgonjwa ila badae mtu kama huyo anapona akipata faraja ila inachukua mudaPOST TRAUMATIC STRESS DISORDER -KWA HIYO TUNAHANGAIKA NA MGONJWA
Hata mimi nina uhakika walionidhulumu walitumwa na Magufuli kwa hiyo tusipotezeane mda kujifariji kuwa hakuhusika na udhalimu uliokuwa unafanyika katika serikali ya Magufuli..Lissu anadai ana uhakika waliomshambulia walitumwa na Jpm.
Sasa kwani uongo? Magufuli yeye si alipanga na kufurahia mateso ya Lissu? Mwisho wa siku ndo yeye aliyekumbana na mauti, pumbav kabisaKikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Kama sio JPM ni nani sasa? Kama alizuia hata kumuona hospital na hata kumuombea tu nalo likawa kosa, unataka jamii na watz wasiamini kuwa yeye ndie muhusika na ndiye aliyetoa order? Mazingira ya kupigwa kwake risasi yanaonesha uhusika wake.Alipigwa na serikali ya JPM
Nyoooooooo......Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Umetumwa au Uchawa tu! Kinakuuma Nini mbona hukuandika aliyonena hatari kuwa "asiyeunga mkono juhudi za vita ya uchumi anastahili kufa!" Mwisho nukuu!Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Hakupigwa na JPM, alipigwa na wakora waliotumwa na JPMAlipigwa na JPM?
Hata ungekuwa wewe ndo Tundu Lissu ungekuwa na msimamo huoKikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Unawajua waliomshambulia? Waliong'oa kameraTundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Tatizo alidhani hatakufaThat is blasphemous
Wewe na lissu kesi zenu ni tofauti,lissy haba ushahidi kuwa wa jpm kuhusika moja kwamoja kwenye tukio la yeye kupigwa. Risasi ni nadharia tuu,ila wewe unahukakika kuwa baba mdogo alifungua kesi mahakamani na unajua wazi kuwa kesi inahusu nini.Lissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Huyu jamaa yao huyuuuu! Hana leadership wisdom kabisa! Lissu ni mchizi flani ivi kichwani. Aliwahi eti kumzungumza Mwalimu Nyerere kirahisi. Lazima abadilike #Akirudi tunaye kumsikiliza tuone fikra za Brussels. πππKikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Badala ya serikali kulinda raia wake na mali zao,jukumu lake ni kuwamiminia risasi kwa sababu yakuwa na msimamo kinzani na watawala.Kila unachofanya Duniani kina matokea yake,ukipambana na serikali yoyote matokeo ni kifo au uhame nchi husika.
Ndiyo maana Mwandishi Asange anawindwa na Marekani mpaka Leo kwa sababu za kudukua mawasiliano yake.
CIA ilianza lini kula vichwa vya wenye mawazo kinzani na itaacha lini maanake hata wenye kuamini maandiko wanasema mawazo kinzani yalianza pale kwenye paradizo,baada ya Adamu na Hawa kwenda kinyume na maagizo.Mkuu yeye Lissu si alikuwa anapambana na serikali, sasa wewe ulitarajia apewe tuzo gani zaidi ya hiyo.
Ata CIA ukienda tofauti na mipango ya nchi yao unaliwa kichwa!
Kumbe Chacha Wangwe aliuawa ndio najua leo.Umeongea ukweli mtupu bro. Hata Chachawangwe angeuwawa kipindi cha Magufuli, lawama za kifo chake angetupiwa Magufuli huku wahusika wa kifo chake wakiendelea kucheka na familia yake.
Juhudi zake na umaarufu wake ndan ya chama chake zilimfanya bwana yule ahofie kiti chake.
Siku ya hukumu au kiama (kama ipo) tutaona mengi hata yale ambayo hatukuyatarajia au kuyafikiria.