Duh leo unamtetea lissu kumkashifu marehemu JpmLissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Yesu alipozaliwa Mfalme Herode alitaka kumwua. Wazazi wa Yesu walimkimbiza Misri kumficha huko hadi waliposikia kuwa Herode amekufa ndipo walipomrudisha tena Nazaret. Sisi ni watakatifu kuliko nani tusishangilie kifo cha mfalme mwovu?!!! Lissu rudi nyumbani yule mtesi wako amekwisha kufa.Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Tatizo hana ushahidi wa hilo. Pia binadamu huwezi kusema chochote eti kwa vile una uhuru wa kusema.Lissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Wanazungumziwa mitume sio hao tu hata Mwenyezi Mungu sembuse Nyerere.Huyu jamaa yao huyuuuu! Hana leadership wisdom kabisa! Lissu ni mchizi flani ivi kichwani. Aliwahi eti kumzungumza Mwalimu Nyerere kirahisi. Lazima abadilike #Akirudi tunaye kumsikiliza tuone fikra za Brussels. [emoji120][emoji120][emoji120]
Comment nzuri sana hiiLissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
NdioAlipigwa na JPM?
Kwa hiyo kifo ni adhabu siyo?Wapi kuna kushangilia kwenye post yako.. au huelewi maana ya kushangilia? Kutoa maoni si kushangilia. Is narrating the fact/truth.
Ukiiba ukakamatwa ukaadhibiwa kisha nikaesema unastahili adhabu, nakuwa nimeshangilia au hujui maana ya poetic justice?
Sijui kwa Nini wanamwandama lisu huku wakijua wazi kuwa hata wangekua wao wangesherehekea tuLissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Sawa. Hakuna mtu anazuia uhuru wa maoni ila busara ya kuwasilisha maoni. Huyu jamaa yenu msaidieni awe na busara ktk kuutumia uhuru wa maoni. 🙏🙏🙏Wanazungumziwa mitume sio hao tu hata Mwenyezi Mungu sembuse Nyerere.
Nenda polisi ukaulize, kuna majalada ya watu waliopotea hata hii leo. Una ushahidi kama ni amri ya jpm?position yourself katika mazingira ya lisu au kaka/mdogo wa watu waliopotezwa enzi za jamaa kama ben saa nane na wengine wengi, achilia mbali walioteswa na jpm as mfariji mkuu alipotezea tu.
Kwa Lissu hata ibada za kumuombea polisi waliwafuata watu katika nyumba za ibada wasimuombee lisu apone.
Kimsingi utawala wa jpm ulitaka Lisu afe tu.....then try to adjust your lame argument
mbowe na rostam waki banwa watasema ukweli wote kuhusu huo mchezo walio mchezea tundu lissu na ben saa8Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Hata tuliopita JKT kuna watu walikuwa wanashindwa kufuata step za gwaride hata uwafundishe vipi, walikuwa wanaitwa NANGA. NA huyu RNA ni nanga piaHuu ndio uongo wako mkubwa kushinda wote, yaani Magufuli aseme kabisa kwamba msaliti lazima auawe, akataze watu kwenda kumuona mgonjwa Nairobi, akatae hela ya matibabu, akatae stahiki zake asilipwe, akamate hata wanaovaa tisheti za kumpa pole mhanga, amdhulumu kwenye uchaguzi wake feki, akatae uchunguzi usifanyike lakini bado tu huamini.....!!
Hiyo ni shauri yako hata usipoamini lakini sisi wengine tunaamini kwa 100% kwamba Magufuli ndiye aliyeamuru Lissu auawe. Period.
Ndo maana alimwachia Mungu ashughulike na watesi wake na Mungu akawashughulikiaKila unachofanya Duniani kina matokea yake,ukipambana na serikali yoyote matokeo ni kifo au uhame nchi husika.
Ndiyo maana Mwandishi Asange anawindwa na Marekani mpaka Leo kwa sababu za kudukua mawasiliano yake.
Sioni hata sababu ya maridhiano coz hakukuwa na mgogoro wowote wala vita ya wenyewe kwa wenyewe. Mnapiga makofi kuruhusiwa mikutano wakati mnajua nihaki yenu! Waoga sana nyie! hakukuwa na signed decree yyte kuzuia! Zile kauli hazikuwa za jpm, ilikuwa ni uamuzi wa CC. Hamjawajua CCM bado. Hamjiulizi kwa nn SA100 hakuruhusu mara tu alipoingia? Mnafikiri eti mtaachiwa nchi? Majuha kaluluUmesema "kwa vile mpo kwenye maridhiano"
Unafikiri hayo maridhiano ni kutengenza uharibifu uliosababishwa na nani?
Kama ni uharibifu uliosababishwa na Magu, unadhani kungekuepo na jambo la maridhiano katika uhai wa mtu yule yule anaeharibu na kuufurahia uharibifu?
Jibu ni Hapana!!
Kwa hili Lissu yuko sahihi kabisa, mtu anayepanga umiminiwe risasi uuawe akifa ni faraja na furaha pia ni haki kushangilia kufa kwake.Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).
Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Lissu si mjinga, ana watu wake yeye binafsi hata ndani ya system. Hawezi kuwa kwenye siasa za ngazi za juu bila kuwa na aina fulani ya 'umafia' ndani yake.Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.