Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Poor hypothesis.
 
Unatabiri kirahisi kama vile movi za kikorea.
 
Ni sawa chinja na ule na wa moyoni mwako siyo kuonyesha hadharani- watu watakushangaa
Watu sisi hatushangai, kuogopa kuonyesha hadharani on how you feel is being a hypocrite.
 
Unatoaje maoni kwenye kifo?! Ukitaka kujua hebu fikiria kila kwenye maziko ya waislam hutolewa tangazo la nani ana mdai marehemu- ulishaona watu wanijitokeza? Unadhani ni ujinga au uoga?
Hao ni waislamu.
Wakristo sio wanafiki,wanaodai huwa wanajitokeza.
 
Yaaani jitu kama Maghu lilioua watu na kuwaweka kwenye viroba life,harafu usikikitike kisa utamaduni marehemu hasemwi !!utakuwa unatatizo la akili! Wakati unamuonea huruma mzoga Maghu,uwaze pia Tundu lisu alivyoponea chupu chupu kufa,kwa risasi 20!!!mchana kweupeee!
 
Na Chacha Wangwe?
Ni serikali otherwise wangeshakamata wahusika, kama una ushahidi serikali haikuhusika basi isaidie ili muhusika akamatwe na achukuliwe sheria.
Serikali is isingekuwa na mkono wake kwenye kifo cha Wangwe muhusika angekuwa gerezani akitumikia kifungo cha maisha.
 
Watu walikatazwa hata kuvaa T-shirts za GET WELL SOON LISSU.
 
Are you Immortal?

Mkuu Nyamizi,
No. Hapana!
Nasema hivyo kwasababu umelokota moja kati matatu niliyobandika....

Mirija kukaba, inauma sana kwa waliozibiwa na faraja kwa walionyonywa kwa muda mrefu.
Watu wameumia, wana jazba. Wana haki. Wanaona haki halisi!
Mfano wa yanayoendelea, ndani ya Uzi huu ya mfano wa "Haki Halisi" Poetic Justice.
When you offend god, you die.!
Na mwisho ni nadharia ya wengi, a reference point. (for my rebuttal) if needed.

Wakati naelewa mleta mada ametumia fasihi hiyo, kuelezea yale yanayotakikana kuelezwa/kufanyika.....yaani

CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
Je ni msimamo mtazamo au nadharia yao kuwa Kifo cha Hayati J.P.M ni Haki Halisi kwake kwasababu watu walikufa na Corona? Covid-19 kwa sababu Mh. Tundu Lissu alikuwa na taarifa kuwa Raisi Magufuli amekufa kwa Corona? Na kwa vile amewaachia watanzania kufa basi...
When you offend God, yo die?

Au....
Naelewa mengine ni porojo, Unsubstantiated, yaani nongwa kwani sidhani, Mh. Tundu Lissu alimaka hayo kwa sababu ya kutunguliwa Risasi.! Na hata kama ndiyo lilikuwa jibu lake kuhusu kumiminiwa Risasi, alimaka na Jazba. Mh. Lissu ni mwanasheria na anajua kutumia Lugha. Hakuropoka hayo "Poetic Justice" kama tunavyotaka kuamini "

Jibu refu lakini ndivyo nilivyofika na majibu yangu machache kule Juu.
 
Kama yeye alishangilia jaribio la kumuua kwa nini asifurahie kifo cha aliyetaka kumuua?.Wengi tulifurahi
 
Ngosha naona unapambana kutetea utekaji na mauaji yaliyowahi kutokea Tanzania huku yakibatizwa jina Uzalendo, kwa kifupi Mungu aliyashuhudia yote Kisha akafanya maamuzi yake. Aliona tunakoelekea ni hatari
 
Acha porojo, huna unalolijua
 
Hii nchi inawatu wanafiki wanachojua ni kujipendekeza!!!
Yeye aliposema watu wagongwe kichwa kama nyoka aliwaeleza nini wasaidizi wake.
Mtu anajidai hatosaini wafungwa kunyongwa lakini anatuma waovu wakawapige risasi wapinzani wake! Rubish!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…