Lissu na Magu na Dr Slaa ni watu pendwa sana Kanda ya ziwa.Eti mzalendo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nyie Sukuma gang mnajua sana kujizima data
Huyu ni mkenya-soma alichosemaMbona alichosema ni sahihi, aombe Msamaha kwa lipi ?
Anang'ang'aniaje kuwa alikuwa anamdai baba yako ama Ni Nini.Lissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Wale wazee waliosema WAZURI hawafi ni CCMM chama chakavu!!Hizo ni siasa za CHADEMA
Kwa hiyo wewe umeshawajua na unajua iluvyo ngumu watu hao kujulikana?Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
The fact that Jiwe died of Corona haiwezi kusababisha au Kuzuia Lissu kufa, atakufa kwa namna Mungu alivyompangia.Huyu ni mkenya-soma alichosema
Bakari Gavava
Human beings,Let's stop de gossip on how and what caused Magufuli's death.The statement by Tundu Lissu came out of hate and one thing I'd like to remind Lissu is that while he asserts that Jembe died of Corona he may equally die of cancer,pressure or any other disease,every death has a cause and all shall die.
Wewe na baba yako wote hamna akili, hasa wewe'Lissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Ukiwa unaandika mambo mengi hivi jaribu usikalie kufikirio chakoMwaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!
Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.
Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.
1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.
Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.
2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR.
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.
3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.
4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA, kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.
5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lissu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivyo
Matamshi yenye busaraZachary Bosire
WEWE Mtundu Rishwa.....nakuomba ukome na matamshi yako ya kihujumu. Even if Magufuli died of strangulation tje fact remains he is no more. Please get knowing that the cause of JPM death is a non issue now. You are not the family spokesman.
Mkuu niwewe au.....?Lissu anayo haki ya kusema hivyo Kwani yeye anaamini kuwa chanzo cha yeye kutaka kuuawa ni Magufuli, ikumbukwe binadamu amezaliwa na roho ya kisasi hivyo kifo cha JPM kwake Lissu ni faraja na anguko la adui zetu ni faraja kwetu.
Hata Mimi kuna baba ndogo tunaendesha naye kesi anang'ang'ania nyumba ya baba yetu, kwangu Mimi huyu ni adui, nikisikia Leo hii kafa, wallah lazima nichinje mbuzi na kukesha baa nikikunywa bia, kwangu Mimi huyu baba ndogo ni adui yangu kifo chake furaha kwangu.
Maisha ndio yalivyo hapa dunia, mwacheni aseme ya moyoni
Kweli alikufa kwa Corona?The fact that Jiwe died of Corona haiwezi kusababisha au Kuzuia Lissu kufa, atakufa kwa namna Mungu alivyompangia.
Hapa issue ni Jiwe kufa kwa corona aliyokuwa anakataa kuwa ipo
Mkuu CHADEMA imelea watu vibaya sana- imewaondoa akili, utu , na ustaarabuWewe na baba yako wote hamna akili, hasa wewe'
Jifunze kusamehe hata kama inauma kiasi gani" hasa inapotokea unayedhani ni hasimu wako usithubutu kuinua mdomo kuchekelea na kuinua grasi ya kusherehekea, kwa kuwa hata wewe ni adui wa mwingine"
Jichunguze tu vema, utakuja kugundua kuwa hata wewe umewatendea mabaya wengi tu,
Mimi nimeshawasema CDM na Lissu pia Amesikia, hutomsikia akirudia maneno hayo.Isiwazoom
Tuliwasema hapa ila nyie KUPE hamuwezi kuwasema wala kutaka ng'ombe waliowaba wasemwe
Usiombe CCM izame ikifikia hapa hakutakuwepo na maji kwenye uso wa dunia na bila kuwepo maji kuzama hakupoMimi nimeshawasema CDM na Lissu pia Amesikia, hutomsikia akirudia maneno hayo.
CCCM pambaneni na jahazi lenu LINALOZAMA.
Kauli ya WAZURI hawafi ni Latest, bt Lisu alisema hayo zamani na ameshajirudi.
Nikiwa na nyenzo muhimu ntafanya hivyo, hapa ni sehemu ya watu kutoa mawazo yao kwa uhuru. Au ulitaka tutoe mawazo yetu bila kuandika?Mkuu unaonaje uende Chato ukalichome moto hilo kaburi.Mbona ni rahisi sana kuliko kupiga porojo hapa JF
Ulikuwa na kigezo Gani Cha kusema eti lisu ni wakala wa mabeberu. Kwa hiyo mtu aliyesimama na kumpinga jpm tu basi alibatizwa kuwa ni wakala wa mabeberu. Aise kumbe jpm alikuwa hauguswi kabisaaa!!! What a shame!!!Mwaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!
Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.
Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.
1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.
Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.
2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR.
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.
3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.
4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA, kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.
5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lissu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivyo
Sasa kama wewe una uhakika na hilo je wataka picha ya nini?Lisu asisahau kututumia na picha ya marinda yake aliyopiga wakati anatatuliwa na Amsterdam
Hakuna maji taka hapa , huu ni ukweli wa vitabu vya Mungu , au labda mimi sielewi maana ya maji takaHii Si sawa,
Haina AFYA Kwa Maslahi ya Taifa,
Siasa hizo za maji taka waachieni CCMM.