Mkuu bendera na nguo hazimfanyi mtu kufia chamani. Unamkumbuka aliyewahi kuwa Katibu wa Sekretariat ya CCM anayeshughulikia Itikadi na Propaganda ya CCM? Uliamini kwamba atatoka CCM na kufia nje ya CCM?Nimeona video ya Lissu ya TAREHE 07/09. Ni dhahiri Lissu atafia Chadema. Katoa video akiwa Ubelgiji, full uniform had Bendera, unajua Chadema imentendea mema kiasi gani! Zito naye kaongea kule tweeter kuhusu uhusiano wake na Lissu. Tuache kuvumisha vitu hivi, ili iweje labda unakoelekeza kudadavua. Kama ni kwenda kuona mgonjwa ni kigezo, kuna wale waliomuuguza kwa zaidi ya mwezi tuwaweke wapi
Mbowe hamtaki Zitto
Ndugu zangu,
Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu Ubelgiji mara mbili Nairobi.Inasemekana ziara za Ubelgiji zaidi zilijawa na mazungumzo kuhusu hatma ya Lissu kisiasa kwa mazungumzo ya wiki mbili zilizopita kuna uwezekano mkubwa Tundu Lissu akajiunga na ACT Wazalendo ili kuendelea na shughuli za siasa.
Bado haijaeleweka kwanini Lissu anafikiri kuondoka Chadema hizi ndio siasa na mauzauza yake,huenda kuna alama za nyakati zimesomwa.
Zaidi ya hilo kijana Abdul Nondo ambaye miezi michache alitumika na Mbowe ili kufifisha nguvu za Zitto Kigoma sasa rasmi ACT Wazalendo ambapo wakati wowote atapewa majukumu ndani ya chama hicho baada ya kumaliza masomo yake UDSM.
Habari nyingi huanza kama tetesi hapa JF mwishowe hubainika kuwa ni za kweli.
Upuuzi mtupu.Pata ujumbe mtambuka ili upone Apedomia
Shikamoo kaka Pascal....Mkuu Kaka Wakudadavua, kwanza naunga mkono hoja, ila duh...!. Kiukweli hii kali!.
Hata hivyo asante Kaka Wakudadavua, kutudadavulia hii, umetupakulia ikiwa ya moto moto, kwa jinsi unavyopata taarifa za ndani za vyama, nakuvulia kofia, Musiba atasubiri!, hongera unafanya kazi nzuri Kaka Wakudadavua. Asante tena. Na kiukweli nakukubali sana...basi tuu, kwa vile wewe ni Kaka, ungekuwa Dada, uvumilivu ungenishinda!.
P
Hawezi kuwa mgombea mwenza wake maana wote wanatokea bara. Mgombea mwenza anapaswa kutoka Znz. Vyovyote iwavyo, Zito ndio anafaa zaidi kugombea urais kwani anamudu uchumi, mambo ya kijamii na demokrasia ana siasa za wastani, shida yake haaminiki. Lisu pia anafaa lakini amejikita kwenye sheria zaidi kuliko uchumi na ana siasa za misimamo mikali. Lissu akiwa rais tunaweza kukutana na tatizo lililopo sasa hivi kuwa na rais anayesimamia jambo moja tu na kusahau maeneo mengine.
Inaonesha huna kabisa habari ya kinachoendelea kwenye siasa. Zitto na Tundu wanatoka bara MGOMBEA MWENZA LAZIMA ATOKE UPANDE WA PILI WA MUUNGANO na kuna sheria kwamba ukihamia chama kipya kaa miaka miwli ndo ugombee cheo cha kisiasa.
Unaonekana mgeni siasani, halafu amesema ni tetesi, unless umejisikia tu kumtusi bila kutafakari hoja yake ya kisiasa zaidi.Rubbish, waziri mzima unaandika "mavi" kiwango hiki. Acha utoto wewe ni mtu "mkubwa", tunategemea hekima toka kwako siyo utumbo wa hivi!
Mkuu kwenye wanasiasa ongezea "wanasisa wa Tanzania" ndio maana hata wakionewa huwezi kuona wazungu wansema lolote maana wanajua ni "nyani wamezidiana ujanja"
Pitia mtori hapa kijichi, umechambua walivyo, japo kuna muda naenda tofauti nawe kimtizamo ila walivowachambua hawa wawili hijabebwa na mihemko yetu ileeee...
Nimeona video ya Lissu ya TAREHE 07/09. Ni dhahiri Lissu atafia Chadema. Katoa video akiwa Ubelgiji, full uniform had Bendera, unajua Chadema imentendea mema kiasi gani! Zito naye kaongea kule tweeter kuhusu uhusiano wake na Lissu. Tuache kuvumisha vitu hivi, ili iweje labda unakoelekeza kudadavua. Kama ni kwenda kuona mgonjwa ni kigezo, kuna wale waliomuuguza kwa zaidi ya mwezi tuwaweke wapi
Kweli utoto ni utoto tu. Wakati ninasomea taaluma ya uwalimu nilisoma sana msamiati wa Adolescent kwenye saikolojia. Lakini nilipokuwa nikisoma sheria nimesoma sana msamiati wa under eighteen au teenage.
Nimehusishanisha na habari hii. Hii habari ameandika Nonde aliyewahi kujiteka na amepost yeye kwa ID yake. Nonde ana IDs nne humu ndani, na hii ni ID yake pia. Thia is unfair propaganda
Kwani ulikuwa unaelewa tofautiWanasiasa wanafanya siasa kama ajira na njia ya ulaji, badala ya kufanya siasa za kuwasaidia wananchi.
Kwa sasa hatutakiwi tu-give - a - fuvk kuhusu hizi hamahama za wanasiasa bali tuwasubiri kunako sanduku la kura tuu.
Nadhani sauti iko vizuri.[emoji350][emoji344]
Unforgetable
Mkuu bendera na nguo hazimfanyi mtu kufia chamani. Unamkumbuka aliyewahi kuwa Katibu wa Sekretariat ya CCM anayeshughulikia Itikadi na Propaganda ya CCM? Uliamini kwamba atatoka CCM na kufia nje ya CCM?
Usinisingizie ...Kila siku niko hivyo hivyo bali maoni yangu huwa hayafikii mihemko yako ya kuleeee.
Huyu zito lakini ni +!!