Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

Status
Not open for further replies.
Mkuu bendera na nguo hazimfanyi mtu kufia chamani. Unamkumbuka aliyewahi kuwa Katibu wa Sekretariat ya CCM anayeshughulikia Itikadi na Propaganda ya CCM? Uliamini kwamba atatoka CCM na kufia nje ya CCM?
 
Naona mmeanza uoga..

CCM mpaka sasa wanaogopa sana LISSU kugombea Urais kupitia CDM na akaungwa mkono na ACT chini ya Zito na Maalim Seif.. Tunajua CCM mnaliogopa sana hili kwa sasa na bila shaka mmeshaanza kuwachonganisha kwa hizi taarifa zenu za kimbea..

Makosa mliyoyafanya na lazima muadbibiwe ni pale mlipovuruga watu kuanzia ndani ya chama na nje ya chama, rushwa haiwezi kuwasaidia tena maana kila mnayempa rushwa mshamvuruga, njia mliyobakiza ni moja tu ya ubabe ambayo kuna kiwango ikifika itawafikisha pabaya sana sana..

Mgogoro ulioko ndani ya CCM na watu walivyovimba huku wakicheka na kupiga makofi kinafiki lazima uwamalize ndio maana mnawoga sana kwa LISSU, ZZK, MBOWE, MNYIKA , MAALIM, JUSSA nk kuwa kitu kimoja na safari hii bila shaka upinzani utacheza karata vizuri na karata hii nzuri ndio kaburi la CCM..na msipokuwa makini mtaumiza watu sana kwa kuwatia vilema na kuua sana ili kulazimisha ushindi..

Membe na Nape hawana cha kupoteza nyuma yao zipo harakati za wachekao na kupiga makofi kinafiki ila rohoni na gizani wanawachora tu na hawa ndio wanakwenda kuiangusha CCM mapema tu kama mbwai iwe mbwai tu tukose wote..Fanyeni reconciliatio mapema ndani ya chama chenu ili angalau kiwe na nguvu ya kupambana kwa hoja na hii combination ya LISSU, ZZK, MBOWE,SEIF,JUSA nk haitawaacha salama bara na visiwani..
 

[emoji706] Crap
 
Shikamoo kaka Pascal....
 
Pitia mtori hapa kijichi, umechambua walivyo, japo kuna muda naenda tofauti nawe kimtizamo ila walivowachambua hawa wawili hijabebwa na mihemko yetu ileeee...
 
Imeanza lini hiyo sheria?
Lowasa haikumkumba eeeh?
Inaonesha huna kabisa habari ya kinachoendelea kwenye siasa. Zitto na Tundu wanatoka bara MGOMBEA MWENZA LAZIMA ATOKE UPANDE WA PILI WA MUUNGANO na kuna sheria kwamba ukihamia chama kipya kaa miaka miwli ndo ugombee cheo cha kisiasa.
 
Rubbish, waziri mzima unaandika "mavi" kiwango hiki. Acha utoto wewe ni mtu "mkubwa", tunategemea hekima toka kwako siyo utumbo wa hivi!
Unaonekana mgeni siasani, halafu amesema ni tetesi, unless umejisikia tu kumtusi bila kutafakari hoja yake ya kisiasa zaidi.
Asante
 
Wanasiasa Wa afrika kiujumla, hebu tafakari yanayotokea South Africa ni kwasababu ya wanasiasa tu
Mkuu kwenye wanasiasa ongezea "wanasisa wa Tanzania" ndio maana hata wakionewa huwezi kuona wazungu wansema lolote maana wanajua ni "nyani wamezidiana ujanja"
 
Pitia mtori hapa kijichi, umechambua walivyo, japo kuna muda naenda tofauti nawe kimtizamo ila walivowachambua hawa wawili hijabebwa na mihemko yetu ileeee...

Kila siku niko hivyo hivyo bali maoni yangu huwa hayafikii mihemko yako ya kuleeee.
 
Wanasiasa hawaaminiki hata kidogo!
 
Ni kweli mkuu,,nishazinyaka kwa mzee mmoja mtata sana,
 
Mwalimu soma tena hayo makosa ya kimaandishi ujirekebishe, huyu alieandika na Nondo mbona kama hawana mfanano?
 
Kwani ulikuwa unaelewa tofauti
 
Bila mwenyekiti kufanya maamuzi magumu lissu alishakufa siku ile alipomiminiwa risasi. Maamuzi ya mwenyekiti kumpeleka Nairobi ndio yanamfanya lissu kuishi leo.

Hawezi kumsaliti mwenyekiti.

Hii tetesi ni upuuzi kama upuuzi mwingine
 
Bwana Tambwe Hiza huyu bila shaka?
Apumzike kwa amani.
Mkuu bendera na nguo hazimfanyi mtu kufia chamani. Unamkumbuka aliyewahi kuwa Katibu wa Sekretariat ya CCM anayeshughulikia Itikadi na Propaganda ya CCM? Uliamini kwamba atatoka CCM na kufia nje ya CCM?
 
Hapo penye kuula, inabidi hii mentality ifutiliwe mbali.

Kugeuza nafasi za kuwatumikia wananchi kama nafasi za kujinufaisha ni kosa linalotugharimu.

Flani " Kaula". tuachane na hii kauli.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…