Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kujizolea zaidi ya kura milioni 16.7, ni za wanavyuo vikuu, graduates na wafanya kazi

Inapendeza sana na kuwa na maana kama utakuja na takwimu sahihi za waliomaliza vyuo kwa kipindi tajwa! Hiyo idadi hata waliomaliza darasa la saba hawafiki!
Tusipende kudanganya umma kwa takwimu za kupika tukiamini kila mmoja wetu hajui kimachoendelea na idadi ya watanzania wanaomaliza masomo ya vyuo mbalimbali nchini


Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Lisu lofa mtihani wake wa Kwanza Ni kupitishwa na chadema Hana hell ya kampeni hata kutafuta wadhamini Homeboy Nyalandu ndie kahangaika kumlipia wakala wake!!!

Lisu is so poor ameshindwa Hadi kumgharimia wakala wake ikabidi Nyalandu aokoe jahazi la homeboy wake asionekane kamhujumu wakala wake kila akisema naomba nauli ya kungusha fomu Lisu anasema Hana . Wakala wake alitaka kuzira ndipo Nyalandu akaingilia Kati kumuokoa homeboy walau apate wadhamini
 
Chadema na upinzan hata wasiumize kichwa hoja kuu 2 zinatosha.

1. Ajira, Serkal haijaajiri watu kwa muda wa miaka 5 tena kuna taaluma ndo haijawah kabisa. Hata hizo chache walizoajir basi uje ajira hazifiki 10.

2.suala la uchumi mbovu kodi, biashara mbovu maisha nagumu.
 
MKUU MBAYA ZAIDI KILA MWAKA KUNA ONGEZEKO LA 6% YA DENI LA AWALI. NI UNYAMA MKUBWA HUU WANAOFANYIWA WAAJIRIWA. HALAFU ETI NIMPE KURA YANGU MNYONYAJI KAMA HUYO.
 
Uongo
 
MKUU MBAYA ZAIDI KILA MWAKA KUNA ONGEZEKO LA 6% YA DENI LA AWALI. NI UNYAMA MKUBWA HUU WANAOFANYIWA WAAJIRIWA. HALAFU ETI NIMPE KURA YANGU MNYONYAJI KAMA HUYO.
Inashangashagaza sana. Waliomaliza vyuo wotw tunaujua ukweli huu na namna makato yanavyotia umaskini vijana. Haiuna maama yoyote kwa serikalo kukata makato 15% kwani hata ukikata pesa hizo wengine hawatayamaliza zaidi ya kuwatia umaskini tu.
 
Sahihi kabisa. Jpm amefeli kila mahali.
 
labda wanafunzi wa nje ya nchi, kwa research yangu ndogo baadhi ya vyuo mpaka sasa sjaona kelele zozote za lissu hata uyu membe ni nyie tu ndo mnamkuza uku mtandaoni
UDOM, uchaguzi tu wa Bavicha mlipeleka hadi mapolisi. Unataka wakuimbie wazi wazi ??

Subiri utaona.
 
Kwa tume hii ya uchaguzi! Tayari wameanza kuweka mikwara kwa baadhi ya wangalizi wa ndani. Wangalizi mahili wa nje hawataalikwa au wataogopa Korona.
Covid-19. Kwanini wasiwaalike? After all hao waangalizi hawajawahi kuzuia wizi wa kura.
 
labda kura utampa wewe na rafiki zako lakini wasomi na wenye akili tutampa kura zote JPM haiingii akilini kumpa nchi msaliti wa nchi
Msaliti ni lugha na propaganda za Lumumba sio za wananchi. Nazo zimeshafeli kitambo sio nyimbo tena.
 
Lazima chadema wagawane kura na act
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…