Yale yale ya kila wakati kukimbilia ubalozini kushitaki eti tunaonewa. Mwambieni apige kampeni kwa watanzania. Wanaopiga kura ni wa-TZ, siyo mabalozi au mtaji umekata?Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu Ijumaa hii atakutana na mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania .
Endelea kufuatilia kitakachozungumzwa kupitia hapa hapa JF
=======