Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

Mabeberu wanawapa msaada kumbe tulia jike wewe upandwe sasa
 
Hahahahahhaha waite nec wawasaidie kumfungia tena
Huyu jamaa akienda Chato airport ni mhalifu sawa na wahalifu wengine, atakuwa anafanya trespassing, kwa kutumia ulinzi shirikishi na police jamii, uhalifu wake utadhibitiwa.
 
NYIE matapeli wa kisiasa si mnasema hamtaki maendeleo ya vitu? miradi ya maji na nyie wapi na wapi?
Mradi wa maji ni maendeleo ya vitu? That's highly stupidity level of understanding! Watu kupata maji safi ndio maendeleo ya watu hayo, maendeleo ya vitu ni kama upuuzi wa kununua Dreamliner kwa mabilioni ya shilingi kisha kuipaki tuu pale JKNIA
 
Hahahahahhaha utajibeba Mwaka huu endelea kuweka akili matakoni
Paruaneni mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza nikirudi nikute hali shwari Jitahidini mparuane vzr

Pumbavu mkubwa wewe
Kwenye matako ya mama yako .
 
Akaangalie na atoe SIFA
 
We Pimbi unampangia pa kwenda ukiwa kama nani? Wewe jamba ulale, mnabweka bweka tu humu kama paka.

Ataenda kila sehemu, kufanya kampeni, na wenu mwambie aende Ikungi
Huyu jamaa bure kabisa yaani mafanikio yake ni kwenda Chato sasa kwenda mji ambao upo hapa Tanzania nako tuite mafanikio??
 
Hiyo chato imejengwa kwa pesa za Mama yako? Au ni Kodi zetu? Yaani mlivyo wajinga mnaweza zania mlichangushana kuujenga huo uwanja
Huyu jamaa akienda Chato airport ni mhalifu sawa na wahalifu wengine, atakuwa anafanya trespassing, kwa kutumia ulinzi shirikishi na police jamii, uhalifu wake utadhibitiwa.
 
Kuwa eneo la utalii? Muwe mna reson basi
 
Huna akili binti GEITA ....Chato,Bukombe hakifika bwiga wewe hata kimkoa chako hujui vitongoji vyake tahira weee
 
Lissu ni zaidi hypocrite ni muuaji kabisa hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji
Muuaji kumzidi jiwe? Laana iliyo juu yenu hata jehanamu ni sehemu ya raha kwenu. Damu ya akina Mawazo, Akwilina na madiwani wawili wa chadema lazima ziwalilie. Hamtabaki salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…