Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kutinga Chato keshokutwa

We Pimbi unampangia pa kwenda ukiwa kama nani? Wewe jamba ulale, mnabweka bweka tu humu kama paka.

Ataenda kila sehemu, kufanya kampeni, na wenu mwambie aende Ikungi
Lisu anasema anatokea Kijiji cha mahambe,

Lisu bila kufaulu shule asingewahi kuja Arusha jiji la kimataifa.

Yaani amshukuru Sana kaka yake alute ambaye ni mwana CCM ndio kamsomesha yeye akiwa anafanya AG Chambers pale Arusha.
 
....kaishiwa anarudi tena....

Kwa hiyo unamaanisha akienda Chato anapewa hela baada ya kuishiwa?
 
Lisu anasema anatokea Kijiji cha mahambe,

Lisu bila kufaulu shule asingewahi kuja Arusha jiji la kimataifa.

Yaani amshukuru Sana kaka yake alute ambaye ni mwana CCM ndio kamsomesha yeye akiwa anafanya AG Chambers pale Arusha.
We binti bana kazi yako ya uhouse girl iliyokupeleka Arusha unajiona umewin
 
Watanzania karibuni mbuga ya wanyama ya BURIGI CHATO ambayo haiko mbali na uwanja wa ndege wa CHATO

 
Lisu anasema anatokea Kijiji cha mahambe,

Lisu bila kufaulu shule asingewahi kuja Arusha jiji la kimataifa.

Yaani amshukuru Sana kaka yake alute ambaye ni mwana CCM ndio kamsomesha yeye akiwa anafanya AG Chambers pale Arusha.
Sasa ndio nini kama kaka yake kampeleka wewe hutaki? Si familia moja hao acha uzwazwa ulitaka asiende kwa kaka yake.
Mkiwa hamna point msijaze server bure. Pumbavuuu.
 
Hahahhaa sio mabeberu tena? tulia akili imeanza kukuingia lakini lazima umalize dose kwani hii ni sindano ya kumi na ngapi?
 
Ww unajifanya hujui kama Lissu ni muuaji!! Subiri awaingize mabarabarani kama alivyosema uone mtakavyopukutika
Lissu kasema clear kabisa tume ikichakachua matokeo ndo ataingiza watu barabarani, sio lissu tu hata seif Kule zanzibar
 
Kwa haya tunayosikia nahisi Kampeni zake Chato siku hiyo atazifanya kwa huruma kidogo!
Ila sijui kama yana ukweli, maana mbuyu ukianguka una mshindo
 
Kwa haya tunayosikia nahisi Kampeni zake Chato siku hiyo atazifanya kwa huruma kidogo!
Ila sijui kama yana ukweli, maana mbuyu ukianguka una mshindo
Chato kata nyingi zinaongozwa na chadema, Kule chato watu wanasema mzee ni kaburu hasa mpaka nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…