Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaAnaendaa kuchezea sharubuu
Lissu anawadharau sana wasukuma
Kazi sio kumsumbua Magufuli hiyo sio kazi ya mgombea uraisiKiuhalisia JPM ni mwepesi sana.
Ni mtu ambaye ukimprovoke anakurupuka kwenye actions zake.
Lissu ameshajua udhaifu wa jamaa ndo maana anamsumbua nao.
Mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu, keshokutwa Jumanne tarehe 13 Oktoba, ataenda kupiga kampeni kwenye ngome ya Rais Magufuli huko Chato.
Pia, kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kabla ya kufanya mkutano wake huo, ataenda kuuangalia uwanja wa kimataifa wa ndege unaojengwa mjini humo.
Could be a moment of high drama.
View attachment 1597061
Polisi watamzuia
Safari hii mtawakoma wasukuma kwenye sanduku la kura mumewatukana sana na kuponda vitu vyao vilivyo kwao na kuwadharau toka Magufuli ashike watawaonyesha cha mtema kuni sanduku la kuraKabila la hovyo sana nchini
Hamtutishi washamba wakubwa nyieSafari hii mtawakoma wasukuma kwenye sanduku la kura mumewatukana sana na kuponda vitu vyao vilivyo kwao na kuwadharau toka Magufuli ashike watawaonyesha cha mtema kuni sanduku la kura
Nyie ni mi..Ku.ndruuKabisa
Kama vile magufuli anavyo tudharau na kutuchukia waislamuLissu anawadharau sana wasukuma
Huko kote washamaliza kazi. Kinachofanywa ni kwenda sehemu ambazo bado zimelala kuhakikisha Magufuli hapati hata 5% ya kura, so they say.CHADEMA intelegensia hapo ndipo mnapoyumba sioni umuhimu wowote wa kwenda huko Chato.
Wekezeni maeneo ya kimkakati ambayo mnaungwa mkono ambayo uhakika wa kupata kura za kutosha upo.
Wekezeni nguvu Mwanza,Mara,Arusha,Kilimanjaro,Kigoma,Iringa,Mbeya,Songwe,Rukwa,Katavi,Morogoro,Mtwara na Tanga.
Lissu anawadharau sana wasukuma
Akikujibu tustue mkuu.Alaaaa kama vile Magu anavyowadharau wanawake eeeeee?
nikusaidie kidogo chemistry ya uchaguzi, hadi sasa cdm hawana wagombea katika majimbo 114, yaani 50 ya zanzibar na 64 ya bara na katika hayo majimbo yote hajaenda kupiga kampeni huo ushindi anaupataje? Lissu anapita maeneo yenye wapiga kura wengi angalau aambulie viti maalum vichache naona mwaka huu hadi mkewe atakua mbunge,Huko kote washamaliza kazi. Kinachofanywa ni kwenda sehemu ambazo bado zimelala kuhakikisha Magufuli hapati hata 5% ya kura, so they say.
Nyie wengine sijui mkojeee sijui ndo matoto ya nje ya ndoaaanikusaidie kidogo chemistry ya uchaguzi, hadi sasa cdm hawana wagombea katika majimbo 114, yaani 50 ya zanzibar na 64 ya bara na katika hayo majimbo yote hajaenda kupiga kampeni huo ushindi anaupataje? Lissu anapita maeneo yenye wapiga kura wengi angalau aambulie viti maalum vichache naona mwaka huu hadi mkewe atakua mbunge,
Mgawanyo wa hivyo viti maalum nao unaweza kuleta tafrani kutokana na uchache wa viti watakavyopata.nikusaidie kidogo chemistry ya uchaguzi, hadi sasa cdm hawana wagombea katika majimbo 114, yaani 50 ya zanzibar na 64 ya bara na katika hayo majimbo yote hajaenda kupiga kampeni huo ushindi anaupataje? Lissu anapita maeneo yenye wapiga kura wengi angalau aambulie viti maalum vichache naona mwaka huu hadi mkewe atakua mbunge,
Kabisa hawezi jibu chochote hapoAkikujibu tustue mkuu.
Wengine tuko busy kufanikisha mkoloni mweusi anarejea Chatto salama.