excuse me,
sikumaanisha wew ni nyumbu na wala unakurupuka au una mihemko au ni wale wa kuyaporomosha, la hashaa...
kwasabb ni useless narrative sioni maana wala muda wa kumcategorize mtu kwenye kundi la nyumbu au chawa kwasabb ni nonsense...
mim nina issues za maana na sina mbambamba yoyote kuziweka wazi regardless nani atajiskiaje, kwasabb ni kimkakati zaidi na kibobevu zaidi 🐒
You must be terribly delusional!mim nina issues za maana na sina mbambamba yoyote kuziweka wazi regardless nani atajiskiaje, kwasabb ni kimkakati zaidi na kibobevu zaidi
Tanganyika ipo ila imepandikiziwa (plastic surgery) sura nyingine iitwayo Tanzania.
Dalili halisi za mgonjwa wa akili.mwana taaluma mbobevu kama mimi
Unaonyesha ujinga wa kushangaza sana wewe.Hapa kwenye kumshauri nini afanye au nini kifanyike, sijawahi acha kumwambia kamanda nguli imhotep kuwa pana ukakasi wa kutosha
Kwamba kuna waungwana wanadhani wako positioned kufanya vyema zaidi:
"Kwanini badala ya kumpa ushauri huo wasiutumie wao wakang'ara zaidi?"
Retired, Salary Slip, JokaKuu au nasema uongo ndugu zangu?
ITV waulize masuala ya Kisera na kikatiba zaidi wananchi wanufaike,waache porojo za mitandaoni
Mie nilidhani ni Mpemba huyo...! EEeeh!...Eti unasema: m,Barbaig', kweli?Farhia Middle Mtoto wa Kibarbaig anakutana na Simba Dume achunge tu asijeliwa😁
Unaonyesha ujinga wa kushangaza sana wewe.
Lissu sasa hivi ana 'platform', unataka kila mwenye mchango wa ushauri akaanzishe jukwaa lake pembeni?
Seriously, nakushangaa sana leo.
Kwani hapo ulipo wewe unadhani Lissu hachukui ushauri? Huyo atakuwa mwanasiasa wa aina gani. Ulisha ona wapi mtu mmoja ndiye awe anashikilia kila aina ya jambo.
Hata hivyo, kwenye mawazo yako unafikiri kupewa ushauri ni kulazimishwa kuukubali ushauri?
Najuwa u-'fanatic' ulio nao, huna tofauti yoyote na akina Lucas tunao waona humu kila siku.. Tundu Lissu akisikiliza maoni ya watu wa aina yako hafiki popote.
Lakini elewa hili moja, kwamba, kwa sasa hivi matumaini yetu yapo kwa Tundu Lissu kutusaidia kuondoa huu uchafu wa CCM. Kazi hiyo hawezi kamwe kuifanya peke yake; ni kazi yetu sote, ikiwa ni pamoja na sisi kumpa ushauri.
Natumaini utanielewa vyema kuhusu hili.
Simba ni Simba tu!!Simba asiyetulia...
Simba anayependa kurukaruka huku na kule...je ni ATTENTION DEFICIT DISORDER?!!! [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nikisema huna tofauti na akina Lucas, Tlaatlaah wa humu sikosei kitu; na wala siyo mara ya kwanza kukutambua hivyo, na pengine 'worse' kuliko hao.Tubishanie ujinga ambao qualifications za kuutamka ni kuwa na mdomo tu ndugu?
View attachment 3079278
Kwamba mjinga nani na hilo ati ni your words against mine?
No wonder tunaongoza Afrika na namba hiyo bila shaka tutakuwa nayo muda mrefu sana!
Nikisema huna tofauti na akina Lucas, Tlaatlaah wa humu sikosei kitu; na wala siyo mara ya kwanza kukutambua hivyo, na pengine 'worse' kuliko hao.
Kama huamini: rudi nyuma tu ndani ya mada hii hii uliyo anzisha wewe mwenyewe, halafu usome uliyo jaza kwenye mada yenyewe.
Watu wa aina yako mchango wao katika ukombozi wa nchi hii ni sufuri kabisa. Nyinyi ni wapiga vigelegele tu, iwe upande wa wakoloni CCM au huko ndani ya CHADEMA. Tundu Lissu ni mtu mwenye uelewa mzuri, hawezi kuwa na wafuasi kondoo kama wewe ndio muwe watu wa kuwategemea kwa lolote.
Nadhani nimemalizana nawe katika upuuzi huu.
Kwani Tundu Lissu ni nani hasa kwako, ni mali yako au?Kwamba unadhani una ushauri bora? Kulikoni tuandikie mate, si uutumie wewe ili ufanye vizuri zaidi?
Mwanasheria hana maneno matupu yasiyo na ushahidi...Sisi tunamwamini, msiomwamini Hilo si tatizo lenu?
Kwani mbona zile za Dodoma hamjawahi kuzidai kwa Muroto?
Kwani Tundu Lissu ni nani hasa kwako, ni mali yako au?
Mwanasheria hana maneno matupu yasiyo na ushahidi...
Unataka niamini kisicho na ushahidi kwa kuwa amesema Tundu Lissu unayemuamini [emoji817]%?!!
Eti mtunduizi kaka Brazaj?!![emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
ni muhimu sana ikaeleweka kwamba, kadiri ya uumbaji wa Mungu, "HATUFANANI "Ndugu mwanasheria nguli, umeanza leo kusikia watu kuwa wana imani na watu?
Hata waliokuwa wakiimba kuwa na imani na Nyerere, Lowassa au hata Msigwa hukuwahi kuwasikia?
Usikute mwimbisha kibwagizo hicho almaarufu, hata ni wewe na wenzio wa aina ya kina Tlaatlaah, Lukasi , ya kuwa:
"Mna Imani na Chamia
Oya oya oyaaaa!
Chamia kweli?
Kweli!"🎼🦿🎵
Kazi kweli kweli.🤣
Kwani hatukuyaheshimu maoni yenu?
ni muhimu sana ikaeleweka kwamba, kadiri ya uumbaji wa Mungu, "HATUFANANI "
kila moja wetu kuna Neema na Baraka yake kutoka kwa Mungu ambaye ndiyo inambeba na ndiyo maana yupo hivyo halipo,
waliobebwa na ushirikina kama huo wa sijui wa kua na imani na nani au nin wanaonekana wanavyombwela mbwela majukwaani 🐒