Asante kwa majibu mazuri mh MjumbeTafuta hela ununue jenereta na uchimbe kisima hapo kwako.
Maji shida,umeme shida we na Lissu, mwenzio yuko ulaya anakula maisha watoto wanasoma shule bora
Haijalishi uko chama gani.kujadili mtu asiyekula kodi yako au asiyeongoza nchi ni kupoteza muda
Tafuta hela ununue jenereta na uchimbe kisima hapo kwako.
Maji shida,umeme shida we na Lissu, mwenzio yuko ulaya anakula maisha watoto wanasoma shule bora
Haijalishi uko chama gani.kujadili mtu asiyekula kodi yako au asiyeongoza nchi ni kupoteza muda
Hiyo Ngumu kumeza yako ipo katika katika jambo gani hasa? Unamdai huyo Tundu Lissu? Arudi, asirudi; unapungukiwa nini?Sina mengi ya kuandika. Nitaziacha quotes kwenye picha zizungumzeView attachment 2428807View attachment 2428808View attachment 2428809View attachment 2428811
Na wewe huyo Tundu Lissu anakuhusu nini mpaka umsakame? Amekataa kukulipia ada ya QT?Maji na umeme vinahusikaje? Deal na stress zako mzee
Maji na umeme vinahusikaje? Deal na stress zako mzee
Huo siyo "uvumilivu" mkuu FUSO.CCM imetufanya turudi kuishi maisha ya miaka ya 70, mwaka 2022 nakosa umeme kwa masaa 12 kweli? unajua uvumilivu ukizidi sana inakuwa ni ujinga.
Wewe mbona unaumia kipunguani sana? Kwani lisu ni baba ako!?Na wewe huyo Tundu Lissu anakuhusu nini mpaka umsakame? Amekataa kukulipia ada ya QT?
Lissu no baba ako?Hiyo Ngumu kumeza yako ipo katika katika jambo gani hasa? Unamdai huyo Tundu Lissu? Arudi, asirudi; unapungukiwa nini?
Au ndiyo mnaanza kuweweseka, kiasi cha kuongea wenyewe kama vichaa, baada ya kushindwa kwa lile jaribio lenu la kumtoa uhai kule Dodoma mwaka 2017?
Wewe mbona unaumia kipunguani sana? Kwani lisu ni baba ako!?
Nimekuuliza kwa sababu ni wewe uliyekuja na mada yako uchwara ya "ngumu kumeza".Lissu no baba ako?
CCM imetufanya turudi kuishi maisha ya miaka ya 70, mwaka 2022 nakosa umeme kwa masaa 12 kweli? unajua uvumilivu ukizidi sana inakuwa ni ujinga.