Tundu Lissu: Magufuli alitufanyia mambo mabaya lakini hakufanya biashara na Rasilimali za Nchi

Tundu Lissu: Magufuli alitufanyia mambo mabaya lakini hakufanya biashara na Rasilimali za Nchi

Huyu ndiye Rais Mzalendo wa kweli kuwai kutokea nchi hii [emoji120]
FB_IMG_16320594694023029.jpeg
 
Kulinda rasilimali za nchi ,Ujenzi wa hospital na vituo vya afya nchini , usambazaji wa umeme vijijini, ujenzi wa barabara...
Peanut butter 🤣🤣,

unavyozungumzia Vituo vya Afya mtu asiyejua anaweza dhani ni viiingi kumbe hata 400 havikufika Kwa miaka 6 wakati Samia kajenga Vituo vya Afya zaidi ya 700 Kwa miaka 2 tuu.

Hospital zipi alijenga zikaanza kufanya kazi? Hakuna hata Moja alimaliza 😆😂

Samia kamalizia,kajenga Mpya kwenye Wilaya ambazo hazikuwa na Hospital kaleta vitendea kazi na maelfu ya Ajira Juu just within 2 years..

Kiufupi Wajamaa ni loosers mara nyingi Wana akili ndogo na hawajui kutafuta hela yaani njaa tuu,ona mwenzio huku 👇
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amesema Shujaa Magufuli pamoja na madhaifu yake ya kibinadamu alikuwa ni Mzalendo wa kweli kwa nchi yake

Lisu amesema Shujaa Magufuli aliwavuruga sana waliofanya Biashara na Rasilimali za nchi yetu

Jambo TV
 
Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.

Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.


Wakuu mnasemaje?
Huu jamaa ni msema kweli siku zote
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amesema Shujaa Magufuli pamoja na madhaifu yake ya kibinadamu alikuwa ni Mzalendo wa kweli kwa nchi yake

Lisu amesema Shujaa Magufuli aliwavuruga sana waliofanya Biashara na Rasilimali za nchi yetu

Jambo TV
Acha kupotosha
 
Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.

Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.


Wakuu mnasemaje?
Itafahamika tu!
 
Lissu alipokuwa katika mkutano wa hadhara Kisarawe jana 9/7/2023 alisema, Magufuli alitufanyia mambo mengi sana mabaya, aliongoza nchi kama mali yake binafsi, lakini asisingiziwe kwenye kufanya biashara na Raslimali za nchi yetu kama alivyofanya Mwinyi, Mkapa au Kikwete, na kwamba aliwavuruga sana waliofanya biashara na Raslimali za Nchi yetu na akina Kiwete na Mkapa.

Lissu akasisitiza kwenye hili la kukabidhi Nchi kwa Wageni tusimsingizie, ni dhambi kumsemea uongo.


Wakuu mnasemaje?
Lissu yeye huwa anapasuka ukweli tupu
 
Mkataba wa hovyo kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa Tanganyika, halafu aliyesababisha huo ujinga anajiona shujaa aliyeziba masikio hataki kusikia anachoambiwa atuondoe huko.

Huyu kwangu ni sawa na chizi anayetembea mtupu barabarani huku anakata kiuno kwa mwendo wa maringo.
Dawa 2025
 
Cha ajabu ni kipi? Magufuli ni mjamaa ndio maana alifukuza wawekezaji,Samia ni Mwanamageuzi anakaribisha wawekezaji..

Lisu ni mjamaa kama Magufuli hivyo ni watu hatari na wasiofaa Kwa Ustawi wa watu maana wanaendeleza umaskini,uongo na propaganda
Ukiitwa dungaemba utabisha
 
Peanut butter [emoji1787][emoji1787],

unavyozungumzia Vituo vya Afya mtu asiyejua anaweza dhani ni viiingi kumbe hata 400 havikufika Kwa miaka 6 wakati Samia kajenga Vituo vya Afya zaidi ya 700 Kwa miaka 2 tuu.

Hospital zipi alijenga zikaanza kufanya kazi? Hakuna hata Moja alimaliza [emoji38][emoji23]

Samia kamalizia,kajenga Mpya kwenye Wilaya ambazo hazikuwa na Hospital kaleta vitendea kazi na maelfu ya Ajira Juu just within 2 years..

Kiufupi Wajamaa ni loosers mara nyingi Wana akili ndogo na hawajui kutafuta hela yaani njaa tuu,ona mwenzio huku [emoji116]
Unakopa unajenga vituo vya kwa nini usijipigie kifuani na kusema mimi ni mpumbavu
 
Mkataba wa hovyo kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa Tanganyika, halafu aliyesababisha huo ujinga anajiona shujaa aliyeziba masikio hataki kusikia anachoambiwa atuondoe huko.

Huyu kwangu ni sawa na chizi anayetembea mtupu barabarani huku anakata kiuno kwa mwendo wa maringo.
Huyu "anayeziba masikio" sasa anawaona waTanzania wote ni wajinga, isipokuwa watu wake anaowatumia waliomo Bungeni, Kwenye chama chake, kama wale Central Committee na NEC; watu anaowafuga yeye, ndio walevu, wanaojua mambo mazuri anayofanya Samia.
Sasa kawaamurisha waje wakawape "elimu" hawa wajinga, waTanzania wasiojua kusoma na kuelewa kilichoandikwa ndani ya nyaraka ya "Makubaliano".

Nchi nzima hii, wote tumeshindwa kujua tofauti iliyopo, kati ya "Makubaliano" na "Mkataba."

Kwamba "Makubaliano" siyo mkataba; na kama kuna mambo yasiyofaa huko kwenye "Makubaliano", wananchi wasiwe na hofu, kwani watu wetu, waliotutengenezea "Makubaliano" hayo mabovu, watakapoingia kwenye "Mkataba" watakuwa makini sana katika kulinda maslahi ya nchi yetu!

Hivi ndivyo CCM na Samia wanavyowaona waTanzania walivyo wajinga kabisa!

Ila kuna jambo moja atakuwa analisikitikia sana Samia wakati huu.

Nina hakika hakujua alipokuwa anafanya mipango yake ovu kwa nchi anayoiongoza hakujua kwamba jambo hilo lingeibuka na kuvuruga kila kitu.
Hakujua kuwa ataliamsha la Tanganyika.

Sasa italazimu ashughulike na hilo, huku akiwa "ameziba masikio" asisikie kelele za Bandari
 
Back
Top Bottom