Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Yule bro ni kima tuu😃😃Umeona lini au umesikia wapi lissu akifurahi?.au unaamini porojo za vilaza wa uku Jf wasiompenda lissu.Lissu hana huo ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule bro ni kima tuu😃😃Umeona lini au umesikia wapi lissu akifurahi?.au unaamini porojo za vilaza wa uku Jf wasiompenda lissu.Lissu hana huo ujinga.
KiukweliLisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena
Awafundishe mara ngapi na nyie mmeamua kuwa mburula?Hiyo mikataba ilikuwa na faida gani kwenye Nchi yako.
Huyo Lisu kama anaakili angetafuta namna ya kuinusuru nchi yake otherwise ni msaliti tu.
We unafikiri kuna mtu yupo siriazi na mambo ya umma au BINAFSI awamu HII!??Hizi fikra hizi, taabu kwelikweli.
Badala ya kukamatwa mali na vitu vya thamani vilivyogharamiwa kwa kodi zetu, ingelikuwa ni vema wanaotudai wakawakamata viongozi wakuu wa nchi ili kufidia madeni yao.
Viongozi hawa wakikamatwa iwe ni jukumu la ndugu na jamaa zake kumkomboa (maana mchuma janga hula na wa kwao).
Sheria za kimataifa zinasemaje katika hili?
Haiwezekani kwani wanapomdhulumu mwekezaji wanasema kwa niaba ya jamhuri ya Tanzania kwa hiyo jamhuri ni serikali yoteBadala ya kukamatwa mali na vitu vya thamani vilivyogharamiwa kwa kodi zetu, ingelikuwa ni vema wanaotudai wakawakamata viongozi wakuu wa nchi ili kufidia madeni yao.
Viongozi hawa wakikamatwa iwe ni jukumu la ndugu na jamaa zake kumkomboa (maana mchuma janga hula na wa kwao).
Sheria za kimataifa zinasemaje katika hili?
Kwa kifupi serikali ni kila mtanzaniaHaiwezekani kwani wanapomdhulumu mwekezaji wanasema kwa niaba ya jamhuri ya Tanzania kwa hiyo jamhuri ni serikali yote
Cha kusikitisha Ile kamati inayokataa ndege isiachiwe mkenya yumoKwa Hiyo!
Ndege yetu inatelekezwa ili kampuni MPYA ya wajanja ifanye kazi sio!?
Tunasubiri kama itatelekezwa!
Tatizo tunaongelea kwa kiiboard njooni msamvu hapa keep left ya taifa tufunge njia maramojaKwa Hiyo!
Ndege yetu inatelekezwa ili kampuni MPYA ya wajanja ifanye kazi sio!?
Tunasubiri kama itatelekezwa!
Kachambe huko kwani wakati mnafuta mitaba mlioingia wenyewe mliomba wapi ushauri? Mmelikoroga linyweni wenyeweLisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena
Angalia hili dudu la kijani limeharisha lenyewe unaogopa linakataa kudekiLisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena