econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Nipo!.
Mimi nasisitiza uzalendo Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
P
Nchi au serikali?. Ujinga wa serikali ya CCM unaletwaje kuwa wa nchi?