mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Hiyo mikataba inasainiwa chumbanHiyo mikataba ilikuwa na faida gani kwenye Nchiyako.
Huyo lisu kama anaakili angetafuta namna ya kuinusuru ncniyake otherwise ni msalititu.
Ikibuma ndiyo wananchi wanajua kama hili
Je wewe unajua tunadaiwa?? Na mswis??
Kwa nn usiseme walio sain washughulikiwe
Wewe unakomaa na lisu??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app