Mbona Lisu akiongea juu ya ufisadi wa Viongozi wa ccm huwa hamsemi alete ushahidi?Lissu ameshindwa kuthibitisha kama Wenje alikula pesa za Abduli. Alipobanwa akajitetea kuwa mwenye ushahidi ametutoka.
Mtu ambae unaweza kuhisi kwa kiasi kikubwa kuwa alifaidika na hizo pesa ni Msigwa ambae ni rafiki yake mkubwa. Kama ni mkweli kama anavyo tuaminisha anashindwa nini kutuambia Msigwa alitoa wapi pesa za kugombea uchaguzi wa kanda ya Nyasa?
Amandla...
Chama cha familia ya Mbowe ama siyoLissu umecheza karata zako vby, huwezi kung'oa Mbowe kwenye kiti hilo sahau iwe kwa kura ama kwa majungu - uwezo huo hunao kwa sasa.
Wakati anakijemga chama wewe ulikuwa unahangaika na uanaharakti wa kutetea wachimbaji wadogo wa madini, kwa hiyo ni vizuri kuheshimu waliyofanya wenzako hasa wakati chama kilipokuwa kichanga kabisa.
Infact mbowe kawekeza kwako zaidi ya 70% ya ulivyo sasa, hata kama uliutaka wenyekiti basi mguu ulianza nao ndugu siyo wenyewe.
Sasa madamu ushayavulia nguo, hakuna namna BOX litazungumza, ila tunakuomba kwa atakayepigwa hakuna kukimbia, Mbowe ni mtu muungwana sana atakupatia Ujumbe wa Kamati Kuu - hata ugombea Urais utapewa kama utakidhi vigezo. Mbowe hanaga roho ya korosho na ndiyo maana ni mtu mwenye mafanikio makubwa.
Mbowe ni ccm bAtapata ugumu sana, kumbe umeliona hili🤣🤣, isingekuwa mbowe ana mambo meusi kupitia chama angemuachia nafasi lissu halafu angebakia kuwa " mzee wa balaza". Chadema ingekuwa ya moto sana uchaguzi ujao kwakuwa lissu angekiwasha.
Kwa hali ya sasa naona yeyote atakaeshinda atapata ugumu kiaina fulani kuweka mambo sawa.
Lissu na yeye aanzishe cha familia yake if that is the case!!Chama cha familia ya Mbowe ama siyo
Huyu wamemvuruga wenywewe walitaka kumchezeaTundu Lissu anasema Mbowe ndiye aliyemtuma Wenje agombee nafasi ya Makamu Mwenyekiti, "nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma"
View attachment 3194172
Ntashikwa na bubujiko!Acha usumbufu Luca.😂🙏Utabubujikwa na machozi ya furaha pale utakapoona Mwamba na Jabali la siasa za upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe ameshinda kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Huo ni mpambano.Ngoja tuone.Nae kaamua kugombea nafasi ya Mwenyekiti na kamtuma chawa wake Heche Ili tuone.
Katibu Mkuu wa kibaraka Lisu atakuwa ni nani?
Mwisho Mwenyekiti alifanya hesabu vibaya 😂😂
Ndio maana Jana John Heche akasema kwamba wamefika hapo walipo kwa sababu ya huyo Wenje, sasa picha limeanza kuchezwa hadharani, hawa Mbowe na Wenje sijui wana D ngapi?Wakuu
Tundu Lissu "Ninajua kuwa Mbowe ndiye aliyemtuma Wenje agombee nafasi ya Makamu Mwenyekiti nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma"
Pia, Soma:
Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA
Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua
View attachment 3194129
Lissu nimeamini una shida kichwani namna tu unavyoongea.Pole sanaWakuu
Tundu Lissu "Ninajua kuwa Mbowe ndiye aliyemtuma Wenje agombee nafasi ya Makamu Mwenyekiti nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma"
Pia, Soma:
Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA
Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua
View attachment 3194129
Umekiri hujajiandaa kugombea nafasi hiiWakuu
Tundu Lissu "Ninajua kuwa Mbowe ndiye aliyemtuma Wenje agombee nafasi ya Makamu Mwenyekiti nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma"
Pia, Soma:
Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA
Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua
View attachment 3194129
Kama anamdharau mgombea mwenzake sisi tusiokuwa na chama SI itakuwa balaaTundu tunza kauli kaka,
Siasa zina pande nyingi sana.... Unless ujiandae kuwa kama kina Che Guavara
Duniani sio kila kitu cha kusema kuna vingine vya kuzikwa navyo.
Hiyo grandiosity na self inflicted grandiosity haikufikishi popote...
Unataka kusema Wenje ana udogo gani kwenye siasa za CDM kukuliko?
Unakumbuka unachangisha mchango wa gari ni mwaka sasa hujafikisha mil 150? Jiulize tu kuna nini? Hawa washabiki kwanin huwaoni kwenye course zako?
Hii kauli watu wanaipotozea lakini ndio msingi wa fujo zote hizi katika nafasi ya uenyekiti."Alikuwa Anaandaa Mazingira ya Kulazimishwa"
Panazidi kuchangamka,Tunahesabu tu siku ,si ajabu kuna kugawana mbao muda siyo mrefu.