Pre GE2025 Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

Pre GE2025 Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu ameshindwa kuthibitisha kama Wenje alikula pesa za Abduli. Alipobanwa akajitetea kuwa mwenye ushahidi ametutoka.
Mtu ambae unaweza kuhisi kwa kiasi kikubwa kuwa alifaidika na hizo pesa ni Msigwa ambae ni rafiki yake mkubwa. Kama ni mkweli kama anavyo tuaminisha anashindwa nini kutuambia Msigwa alitoa wapi pesa za kugombea uchaguzi wa kanda ya Nyasa?

Amandla...
Mbona Lisu akiongea juu ya ufisadi wa Viongozi wa ccm huwa hamsemi alete ushahidi?

Hivi Mbowe aliwapoka akili zenu mazima?
 
Lissu umecheza karata zako vby, huwezi kung'oa Mbowe kwenye kiti hilo sahau iwe kwa kura ama kwa majungu - uwezo huo hunao kwa sasa.

Wakati anakijemga chama wewe ulikuwa unahangaika na uanaharakti wa kutetea wachimbaji wadogo wa madini, kwa hiyo ni vizuri kuheshimu waliyofanya wenzako hasa wakati chama kilipokuwa kichanga kabisa.

Infact mbowe kawekeza kwako zaidi ya 70% ya ulivyo sasa, hata kama uliutaka wenyekiti basi mguu ulianza nao ndugu siyo wenyewe.

Sasa madamu ushayavulia nguo, hakuna namna BOX litazungumza, ila tunakuomba kwa atakayepigwa hakuna kukimbia, Mbowe ni mtu muungwana sana atakupatia Ujumbe wa Kamati Kuu - hata ugombea Urais utapewa kama utakidhi vigezo. Mbowe hanaga roho ya korosho na ndiyo maana ni mtu mwenye mafanikio makubwa.
Chama cha familia ya Mbowe ama siyo
 
Atapata ugumu sana, kumbe umeliona hili🤣🤣, isingekuwa mbowe ana mambo meusi kupitia chama angemuachia nafasi lissu halafu angebakia kuwa " mzee wa balaza". Chadema ingekuwa ya moto sana uchaguzi ujao kwakuwa lissu angekiwasha.
Kwa hali ya sasa naona yeyote atakaeshinda atapata ugumu kiaina fulani kuweka mambo sawa.
Mbowe ni ccm b
 
Tundu Lissu anasema Mbowe ndiye aliyemtuma Wenje agombee nafasi ya Makamu Mwenyekiti, "nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma"


 
Safi sana Lissu amenyooka

Finya kabisa hapo hapo hadi vibaka wanaokula kwa Abdul na kulala Chadema !
 
Wakuu

Tundu Lissu "Ninajua kuwa Mbowe ndiye aliyemtuma Wenje agombee nafasi ya Makamu Mwenyekiti nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma"

Pia, Soma:

Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA

Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

View attachment 3194129
Ndio maana Jana John Heche akasema kwamba wamefika hapo walipo kwa sababu ya huyo Wenje, sasa picha limeanza kuchezwa hadharani, hawa Mbowe na Wenje sijui wana D ngapi?
 
Tundu tunza kauli kaka,

Siasa zina pande nyingi sana.... Unless ujiandae kuwa kama kina Che Guavara

Duniani sio kila kitu cha kusema kuna vingine vya kuzikwa navyo.

Hiyo grandiosity na self inflicted grandiosity haikufikishi popote...

Unataka kusema Wenje ana udogo gani kwenye siasa za CDM kukuliko?

Unakumbuka unachangisha mchango wa gari ni mwaka sasa hujafikisha mil 150? Jiulize tu kuna nini? Hawa washabiki kwanin huwaoni kwenye course zako?
Kama anamdharau mgombea mwenzake sisi tusiokuwa na chama SI itakuwa balaa
 
Ona sasa ,Mbowe kafungwa Gerezani makam wake ndo alikua anaongoza chama na harakati zingine ili Mbowe awe huru, leo anataka mzunguka pitia mlango wa nyuma , hii ni dhambi kubwa sana aisee
 
"Alikuwa Anaandaa Mazingira ya Kulazimishwa"
Panazidi kuchangamka,Tunahesabu tu siku ,si ajabu kuna kugawana mbao muda siyo mrefu.
Hii kauli watu wanaipotozea lakini ndio msingi wa fujo zote hizi katika nafasi ya uenyekiti.

Kwa siku tatu Lisu anasema anagombea. Mbowe anasema bado sijaamua.

Mimi naona kabisa hata yeye Mbowe alikuwa hataki kugombea ,ni basi tu hana namna
 
Back
Top Bottom