Weka ushabiki wa kivyama pembeni tumia akili Yako kutafakari hojaNadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.
Zito kumwamini ni kazi sana,Kwa hiyo ile miezi 12 (muda wa mkataba) iliyotajwa kwenye ufafanuzis wa TPA ni kiini macho?
Mbadili sheria kwa ajili ya mkataba wa miezi kumi na mbili?
Naona Zitto yeye anacharaza mapambio tu kwamba kwa mara ya kwanza mikataba inapitia bungeni.
Je International treaty (siyo Bilateral Commercial Agreement) iliyosainiwa hivi karibuni zaidi ni ipi?
Tatizo Tanzania hatuna mahakama.Nadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.
Hata huko kwenye madini ilikwishafutwa. Ilikuwa kuwahadaa wajinga.Hivi hii sheria ya Magufuli sio kwenye madini tu? Sidhani kama ni mikataba yote.
Marehemu aliziua mahakama zote kwa kuwateua maafisa wa TISS kuwa majaji. Sasa hizo mahakama za kushughulia migogoro ya kimataifa zingetoka wapi?Lissu ameongea kwa upole sana. Kweli umeongea point. Kuwekwa sheria inayotaka migogoro ya kimkataba iamuliwe nje ya nchi tunapiga kelele, JPM kaondoa hiyo, badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huu
Umeelewaa lakini au umecoment ili uonekane upo?Lissu ameongea kwa upole sana. Kweli umeongea point. Kuwekwa sheria inayotaka migogoro ya kimkataba iamuliwe nje ya nchi tunapiga kelele, JPM kaondoa hiyo, badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huu
TPA hawezi kuuongelea mkataba Ni kihere here tu, ukiangalia parts zilisoaini HAKUNA mahala TPA ametajwa na Kuna uchambuzi umefanywa na mtaalamu mmoja kwenye huo mkataba, shughuli za TPA hazinajoneshwa kabisa huku kikatiba na kisheria TPA anatanbulika Kama msimamizi wa bandari zote!Sio mkataba ule ni framework tu
Shida ni TPA juzi mkurugenzi wao kafanya interview; sasa badala ya kuwaita TBC pia.
Unaita vyombo uchwara vya online TV ambao awaoni umuhimu wa kuweka content yote; wao wanachagua visehemu wanavyodhani muhimu na kufupisha ili kupata views. Wanajua wakiweka kipindi cha zaidi ya lisaa bundle mgogoro so akitoangaliwa.
Inaonekana kuna maelezo mengi sana ya msingi ambayo yamekatwa kwenye kile kipindi cha bandari ndio ujinga wa kuita vyombo uchwara au kutowakumbusha waweke yote ili watu wasikie kila kitu alichosema.
Hivi Kule Zanzibar hakuna ubinafsishaji?
Ni kwaajili ya kuupa nguvu mkataba ili mkikiuka, mtakaposhtakiwa, msiseme kuwa hamkujua.Nini kinajadiliwa Bungeni wakati Mkataba ushasainiwa ?
Mbona twachezeana shere
Soma article 16 TPA ndio inatoa mwongozo sehemu gani za kuwekeza na kusimamia ‘project activities’.TPA hawezi kuuongelea mkataba Ni kihere here tu, ukiangalia parts zilisoaini HAKUNA mahala TPA ametajwa na Kuna uchambuzi umefanywa na mtaalamu mmoja kwenye huo mkataba, shughuli za TPA hazinajoneshwa kabisa huku kikatiba na kisheria TPA anatanbulika Kama msimamizi wa bandari zote!
Kiufupi tu Ni kwamba TPA ataondlolewa kwenye usimamizi wa bandari zetu pale Sheria mpya itakapotungwa ili kukidhi mahitaji ya mkataba!
Kwa TPA kusema Ni miezi au miaka kumi na mbili hawajui hata hicho kipengele Kiko wapi sababu mkataba haoneshi time Frame
Ndio kama magu aliweka taratibu kuwa migogoro ya maliasilia iamuliwe na mahakam zetu ,wao wanatak waende Africa ya kusiniHuu mkataba una kila dalili ya umangungo ndani yake. Kwa nini migogoro ikaamuliwe, na kwa sheria za Uingereza!!
Yaani ni kwa sababu tunawahitaji sana hao Waarabu, au ni kwa sababu tayari rushwa imeshatembezwa kwa waganga njaa, na wachumia tumbo wetu?
Yeye anataka tuende Laindon kwenye mahakama zetu ili apate cha kuongeaNadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.