Tundu Lissu: Mkataba wa bandari ni suala nyeti sana

Kwani Magufuli alikuwa nani hadi asipingwe? Ni Yesu tu ndio hapingwi.
Mkuu hawa wafuasi wake umesahau walimpa ukuu mpaka kumlinganisha na KRISTO mfalme wa aman? Hukuona mwingine alisema aliezifanya mbingu na Nchi ndie anapaswa amshukur JPM? Kwa laana ile huez baki salama! Alipaswa akemee hao machawa na kumrudishia MUNGU UTUKUFU wake!!!
 
Porojo za Kisiasa baada ya mikutano yenu kubuma.
 
Kwani Kuna mkataba gani ulivyunjwa na vipi kuhusu miga
Inaonyesha hujui inner circle nn kiliendelea... Ni kwan mzee alijirud na kubadili msimamo na kukaa nao? Mwisho wa cku akaona bora tu apokee kishika uchumba ambacho kitalipwa kwa instalment ya miaka? Ile ilikua kutafuta political popularity tu lkn ngoma ilibaki vilevile kilichofanyika ni kubadili majina!! Kuvunja mikataba Mzee haihitaj nguvu bali taratibu za kisheria na c vinginevyo.
 
Evil ni Yule aliyefukiwa chato, NDULI MLA NYAMA za watu.
Chuki za kijinga tu ulitegemea vyeti feki mngeweza kuendesha nchi? Matokeo yake ndiyo haya, mkurugenzi anataka wawekezaji kuongeza ufanisi lkn anataka aendelee kubaki na ukurugenzi wake.
 
Hapa ndipo tunapomkumbuka yule mwamba kutoka Chato;hayati JPM.Sasa mwenye uthubutu kama ule wa kupambania maslahi ya maskini wengi HAYUPO.Nchi inaangamia kwa uratibu wa wakubwa.
 
Chuki za kijinga tu ulitegemea vyeti feki mngeweza kuendesha nchi? Matokeo yake ndiyo haya, mkurugenzi anataka wawekezaji kuongeza ufanisi lkn anataka aendelee kubaki na ukurugenzi wake.
Nafikiri tatizo sio vyeti feki Bali mitaala na ufundishaji Kwenye shule za sheria , wanafunzi wanavishwa mawazo ya kupambana kufauli mtihani kwa namna yoyote ile lakini sio kutekeleza kwa vitendo kwa ubora wa juu fani yenyewe
Haya mambo yalifanywa na magungo wa msovero Leo yanajirudia
 
Mjinga jikite kwenye Maada, au ni kubwa sana kwako? Kama unaona ni sehemu ya huu utawala wewe chukua nafasi zao basi
 
Kwa hiyo masuala ya bandari ni ya Muungano! Lakini katika hali ya kushangaza na kustaajabisha, bandari zinazohusika na huo mkataba wa Waarabu ni zile za upande wa Bara pekee! Yaani bandari za Zanzibar hazihusiki!!

Ukiangalia Rais wa sasa, anayokea Zanzibar! Waziri anayehusika kusaini huo mkataba, naye anatokea Zanzibar! Na mbaya zaidi ni mbunge na waziri wa kuteuliwa tu! Siyo bure, kuna mtu ameturoga Watanganyika. 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…