Pre GE2025 Tundu Lissu: Msimamo wetu upo pale pale, tutaandamana Septemba 23, 2024

Pre GE2025 Tundu Lissu: Msimamo wetu upo pale pale, tutaandamana Septemba 23, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesisitiza hatua za kisheria zichukuliwe juu ya wanaofanya utekaji pamoja na mauaji nchini.

Pamoja na hayo Lissu amesisitiza kuwa msimamo wa chama chake juu ya kuandamana tarehe 23 Septemba bado uko pale pale kwani sheria za Tanzania hazijazuia kuandamana.

Tundu Lissu amezungumza hayo baada ya kushiriki Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika Uwanja wa Taifa wa Uhuru Dar Es Salaam.



Pia soma: Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni

Lissu amesema “Nchi hii inahiyaji uponyaji, Mababa Askofu and amesema nchi hii inahitaji uponyaji ili tusitekwe tena, tusiteswe tena, tusiuawe tena. Undugu uponya”
 
Makamu Mwenyekiti huyo wa Chadema amesisitiza kwamba Kuonekana kwao Jukwaa moja la Kikatoliki na Emmanuel Nchimbi wa CCM hakutasitisha Maamuzi ya Chama chao ya kuandamana tarehe 23/09/2024, kwa lengo la kupinga Utekaji na Mauaji.

Lissu alikuwa akijibu swali la Mwandishi wa habari aliyetaka kujua kama kukwea Jukwaa moja na Nchimbi kunaweza kushawishi Chadema kusitisha Maandamano kabambe ya Maombolezo .

Screenshot_2024-09-15-18-16-20-1.png
 
Kuenda kinyume na Madhabahu ni jambo hatari sana.I hope vyombo vya habari vimequote vibaya
 
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesisitiza hatua za kisheria zichukuliwe juu ya wanaofanya utekaji pamoja na mauaji nchini.

Pamoja na hayo Lissu amesisitiza kuwa msimamo wa chama chake juu ya kuandamana tarehe 23 Septemba bado uko pale pale kwani sheria za Tanzania hazijazuia kuandamana.

Tundu Lissu amezungumza hayo baada ya kushiriki Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika Uwanja wa Taifa wa Uhuru Dar Es Salaam.

View attachment 3096600
Huyu jamaa ni zaidi ya KIMA
 
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesisitiza hatua za kisheria zichukuliwe juu ya wanaofanya utekaji pamoja na mauaji nchini.

Pamoja na hayo Lissu amesisitiza kuwa msimamo wa chama chake juu ya kuandamana tarehe 23 Septemba bado uko pale pale kwani sheria za Tanzania hazijazuia kuandamana.

Tundu Lissu amezungumza hayo baada ya kushiriki Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika Uwanja wa Taifa wa Uhuru Dar Es Salaam.

View attachment 3096600
Condition ni Moja tu Kwa Chadema, kusitisha maandamano yao................

Ni Kwa Jeshi la Polisi kuwarejesha kina Soka kabla ya tarehe 21 mwezi huu

Kinyume Cha hapo maandamano yako pale pale na Polisi, wanatakiwa kutimiza wajibu wao Kwa kuyalinda maandamano hayo Kwa mujibu wa Katiba ya nchi
 
Condition ni Moja tu Kwa Chadema, kusitisha maandamano yao.

Ni Kwa Jeshi la Polisi kuwarejesha kina Soka kabla ya tarehe 21 mwezi huu

Kinyume Cha hapo maandamano yako pale pale na Polisi, wanatakiwa kutimiza wajibu wao Kwa kuyalinda maandamano hayo Kwa mujibu wa Katiba ya nchi
Mujarabu kabisa ✌️✌️ NO HATE NO FEAR!
 
Makamu Mwenyekiti huyo wa Chadema amesisitiza kwamba Kuonekana kwao Jukwaa moja la Kikatoliki na Emmanuel Nchimbi wa CCM hakutasitisha Maamuzi ya Chama chao ya kuandamana tarehe 23/09/2024, kwa lengo la kupinga Utekaji na Mauaji.

Lissu alikuwa akijibu swali la Mwandishi wa habari aliyetaka kujua kama kukwea Jukwaa moja na Nchimbi kunaweza kushawishi Chadema kusitisha Maandamano kabambe ya Maombolezo .

View attachment 3096599
Ni jambo jema sana
 
Yamekuwa madhabahu tena na sio kuvunja Sheria na kusababisha uvunjifu wa amani

Kuweni na msimamo mmoja na kauli moja thabiti

Nakuomba usije ukakosa trh 23 kwenye maandamano , haki huwa haiombwi bali huchukuliwa

Kama ni mzalendo kwa taifa lako usije kukosa
 
Yamekuwa madhabahu tena na sio kuvunja Sheria na kusababisha uvunjifu wa amani

Kuweni na msimamo mmoja na kauli moja thabiti

Nakuomba usije ukakosa trh 23 kwenye maandamano , haki huwa haiombwi bali huchukuliwa

Kama ni mzalendo kwa taifa lako usije kukosa
 
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesisitiza hatua za kisheria zichukuliwe juu ya wanaofanya utekaji pamoja na mauaji nchini.

Pamoja na hayo Lissu amesisitiza kuwa msimamo wa chama chake juu ya kuandamana tarehe 23 Septemba bado uko pale pale kwani sheria za Tanzania hazijazuia kuandamana.

Tundu Lissu amezungumza hayo baada ya kushiriki Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika Uwanja wa Taifa wa Uhuru Dar Es Salaam.

View attachment 3096600

Pia soma: Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni

Lissu amesema “Nchi hii inahiyaji uponyaji, Mababa Askofu and amesema nchi hii inahitaji uponyaji ili tusitekwe tena, tusiteswe tena, tusiuawe tena. Undugu uponya”
Sheikh Mziwanda keshawajibu hao
 
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesisitiza hatua za kisheria zichukuliwe juu ya wanaofanya utekaji pamoja na mauaji nchini.

Pamoja na hayo Lissu amesisitiza kuwa msimamo wa chama chake juu ya kuandamana tarehe 23 Septemba bado uko pale pale kwani sheria za Tanzania hazijazuia kuandamana.

Tundu Lissu amezungumza hayo baada ya kushiriki Kongamano la Tano la Ekaristi Takatifu Kitaifa lililofanyika Uwanja wa Taifa wa Uhuru Dar Es Salaam.

View attachment 3096600

Pia soma: Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni

Lissu amesema “Nchi hii inahiyaji uponyaji, Mababa Askofu and amesema nchi hii inahitaji uponyaji ili tusitekwe tena, tusiteswe tena, tusiuawe tena. Undugu uponya”
Wapewe ulinzi tuone mwisho wao na faida wa hayo maandamano!
 
Back
Top Bottom