Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandamano yamerusiwa na katibaHuu ndiyo mlango unaotaka kutumiwa na viongozi Waovu kwa taifa letu kimataifa.
Viongozi hao mtaji wa mkubwa ni maafa na vifo kwa watanzania mbumbumbu.
Nchi inapokuwa katika hali ya Utulivu na masikilizano, kwao hali hiyo huwa si ya afya na uendelevu wa vyama vyao.
Taifa letu litakapotumia nguvu kubwa ambazo zitasababisha vifo, huo ndio utakuwa mtaji kwao.
kwani vyama vyao bila kujitingisha ili damu imwagwe havisongi mbele.
Kwani baada ya vifo kutokea na unrest vyama hivyo humwagiwa fedha za kutosha na hapo viongozi hufaidika Unono.
- Rungu ziwepo za kutosha
- Washawasha yafanyiwe service,
- Polisi makuluta wenye ghazabu wawe standby
CHADEMA MAONGEZI NDIYO NJIA BORA NA SALAMA ZAIDI, TII KANUNI, TARATIBU NA SHERIA ZA JAMHURI.
Ijumaa kareem I
Off course, Yes!, "" lakini haya yana slogan ya RAIS AONDOKE ",Maandamano yamerusiwa na katiba
Huu ndiyo mlango unaotaka kutumiwa na viongozi Waovu kwa taifa letu kimataifa.
Viongozi hao mtaji wa mkubwa ni maafa na vifo kwa watanzania mbumbumbu.
Nchi inapokuwa katika hali ya Utulivu na masikilizano, kwao hali hiyo huwa si ya afya na uendelevu wa vyama vyao.
Taifa letu litakapotumia nguvu kubwa ambazo zitasababisha vifo, huo ndio utakuwa mtaji kwao.
kwani vyama vyao bila kujitingisha ili damu imwagwe havisongi mbele.
Kwani baada ya vifo kutokea na unrest vyama hivyo humwagiwa fedha za kutosha na hapo viongozi hufaidika Unono.
- Rungu ziwepo za kutosha
- Washawasha yafanyiwe service,
- Polisi makuluta wenye ghazabu wawe standby
CHADEMA MAONGEZI NDIYO NJIA BORA NA SALAMA ZAIDI, TII KANUNI, TARATIBU NA SHERIA ZA JAMHURI.
Ijumaa kareem I
Truth must told, hiyo ndiyo hali halisi, CCM haitaruhusu milango mnayoitaka ifunguke, kamwe!,Unakuta hapo umevaa kashati ka kijani na suruali nyeusi na simu ya mkopo unakuja kuonesha upumbavu wako hapa
Well wenyewe wanasema hilo sio lengo kuuLengo kuu la maandamano haya ni kuchafua sifa nzuri ya Taifa letu.
📌🔨🔨