Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
We mwenye akili ya nguruwe, acha kuropoka. JF ni kwaajili ya binadamu wenye akili timamu.Huyu jamaa ni zaidi ya KIMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mwenye akili ya nguruwe, acha kuropoka. JF ni kwaajili ya binadamu wenye akili timamu.Huyu jamaa ni zaidi ya KIMA
Kuenda kinyume na Madhabahu ni jambo hatari sana.I hope vyombo vya habari vimequote vibaya
Stop that nonsense, siyo kuomba kibali bali kutoa taarifa! All in all, yote yamefanyika, una lingine John?Omba KIBALI Kwa OCD Kwa mujibu wa sheria
Mtanikumbuka 😂🌹
Nyie mmetoa Taarifa kwa IGPStop that nonsense, siyo kuomba kibali bali kutoa taarifa! All in all, yote yamefanyika, una lingine John?
Huo ni mtego wakipatikana au wasipatikane hawawezi kuacha kutuhumiwa. Huo ndio ubaya wa kuingizwa mkenge na wanasiasa ukaacha majukumu yako.Condition ni Moja tu Kwa Chadema, kusitisha maandamano yao................
Ni Kwa Jeshi la Polisi kuwarejesha kina Soka kabla ya tarehe 21 mwezi huu
Kinyume Cha hapo maandamano yako pale pale na Polisi, wanatakiwa kutimiza wajibu wao Kwa kuyalinda maandamano hayo Kwa mujibu wa Katiba ya nchi
Bandama Tena!Nchi inaongozwa na Katiba na Sheria sio vitisho na mikwara. Aandamane mtu tarehe 23 tuone atakavyotolewa bandama.
Nchi inaongozwa na Katiba na Sheria sio vitisho na mikwara. Aandamane mtu tarehe 23 tuone atakavyotolewa bandama.
Ile ya Mbeya ilikuwa Cha mtotoNchi inaongozwa na Katiba na Sheria sio vitisho na mikwara. Aandamane mtu tarehe 23 tuone atakavyotolewa bandama.
Bandama likitoka tutakutengenezea supu unyweNchi inaongozwa na Katiba na Sheria sio vitisho na mikwara. Aandamane mtu tarehe 23 tuone atakavyotolewa bandama.
Tumetoa tahadhari mapemausitutishe tunaandamana na hakuna cha kuogopa
tahadhari hii nchi ni ya babu yako?Tumetoa tahadhari mapema