Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wew una uhakika gani alikuwa hana kibaliNi kinyume cha sheria mikusanyiko isiyo na kibali....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew una uhakika gani alikuwa hana kibaliNi kinyume cha sheria mikusanyiko isiyo na kibali....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limempatia dhamama Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu na viongozi wengine wa chama hicho waliokamatwa muda huu saa 2 usiku jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure amesema viongozi hao wametakiwa kesho saa tatu asubuhi kuripoti polisi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo iliyotolewa leo Jumapili Septemba 10, 2023 ilisema kuwa Lissu na wenzake watatu walishikiliwa kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko isiyo halali na kuzuia polisi kufanya kazi zao.
Mwandishi wa Habari kutoka Jambo TV, Oscar Kasubi aliyekuwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo naye ameachiwa usiku huu.
Arusha Zone
===
Pia soma:
Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Jeshi la Polisi: Tunamshikilia Tundu Lissu kwa kufanya mikusanyiko isiyo halali na kuzuia Polisi kufanya kazi yake
Alitabiri 2022 na hata kabla Lissu hajarudi. Alafu yeye yuko Zimbabwe, sasa amfatilie Lisu wa nini? Ila alisema watakamatwa na wenzake.Unatabiri kuwa kesho jua litawaka! Kukamatwa viongozi wa Chadema ni jambo la lazima kama ambavyo jua litawaka kesho.
Namuona lodi lofa hahahah Afadhali naona kakosa perdiem ya leo. Ila IGP anamhujumu sana Mama yetu Dkt Samia. Lisu amuache tu hana influence na siasa za bongo ni mtafuta huruma ya wafadhili anavyopiga kerere ndiyo anaongeza wafadhili wa ngo yake maana hana mshahara
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limempatia dhamama Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu na viongozi wengine wa chama hicho waliokamatwa muda huu saa 2 usiku jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure amesema viongozi hao wametakiwa kesho saa tatu asubuhi kuripoti polisi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo iliyotolewa leo Jumapili Septemba 10, 2023 ilisema kuwa Lissu na wenzake watatu walishikiliwa kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko isiyo halali na kuzuia polisi kufanya kazi zao.
Mwandishi wa Habari kutoka Jambo TV, Oscar Kasubi aliyekuwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo naye ameachiwa usiku huu.
Arusha Zone
===
Pia soma:
Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Jeshi la Polisi: Tunamshikilia Tundu Lissu kwa kufanya mikusanyiko isiyo halali na kuzuia Polisi kufanya kazi yake
Hahahahahahaha yaani IGP anamuangusha sana Dkt Samia jamani. Ungekuwa wewe wangesema weekend ni dhamanaKumbe dhamana hata weekend unapata!? Police vueni gwanda mpande jukwaani Kama mnataka kuwa wanaSiasa
Kama ana amini anacho fanya ni sahihi aendelee kufanya tena kwa nguvu zote Wala hakuna shidaYes watu wamejua pia kwamba jamaa hashauriki na hasikilizi mtu.
Yes watu wamejua kua viongozi waandamizi kitaifa wamejitenga nae.
Yes wamejua kua jamaa kawaambia waandamizi wenzie kwamba waeendelee tu na kazi zao binafsi yeye anaweza kupiga kazi bila msaada wala ushauri wao.
Faiza Foxy. Umeongea kinyume chake ukweli ni kuwa Tundu Lissu ana First Class Degree ya SHERIA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM. Ukumbuke Jason's SHULE ya vipaji MAALUM ILBORU.Alitabiri pia kiongozi mwenyewe ni mwehu?
Humu wengi ni machawa na wabishi sana chama chao kimeoza kile laana tupuHuu ni mwanzo wa mwisho wa ccm, mengine ni ubishi tu!
Huyo dada yupo wazi kichwaniFaiza Foxy. Umeongea kinyume chake ukweli ni kuwa Tundu Lissu ana First Class Degree ya SHERIA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM. Ukumbuke Jason's SHULE ya vipaji MAALUM ILBORU.
Best Student Faculty of LAW.
Upo?
Hakuna sheria inayowapa Polisi kutoa kibali cha Mikutano ya Kisiasa. Unless jeshi hilo ni sehemu ya Siasa. Bali Chama cha siasa kinatakiwa kuwapa taarifa tu ili kulinda usalama ambayo ndio kazi yao ya msingi kabisa. Siyo kuzuia mikutano ya kisiasa.Unafanyeje mikutano ya HADHARA bila ya kibali cha polisi ?!![emoji15][emoji15][emoji1787]
TL ni wakili wa aina gani ?!!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wew sio mzima ni mfu wa akili sasa wew ndo mwehu maana upo wazi kichwaniAlitabiri pia kiongozi mwenyewe ni mwehu?
Kutoa dhaman weekend sio directionsLissu anataka awe anatoa directions kwa jeshi la polisi huu upuuzi aupeleke huko huko kwao ubelgiji.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wanasemaga ukikamatwa wekeend au Ijumaaa kutoka mpaka Jtatu.Kumbe dhamana hata weekend unapata!? Police vueni gwanda mpande jukwaani Kama mnataka kuwa wanaSiasa
Hehehe Lissu ni Daniel wa nyakati za leoNajua ukiwekwa ndani weekend dhamana ni mpaka Jumatatu, hii imekaaje? Au huo mpango ni kwa walala hoi peke yake?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mkuu tabia yako ta kutukana haifai na sisi waungwana hatukuungi mkono.Akili za polisi wetu aibu sana,
Ni watu kama vijana wanaocheza singeli au mdundiko!
Siku zote wanatsfuta kiki za kijinga, yaani wana operate kama kuku asiye na kichwa!
Wiki hii vijana wa jwatz walipita maeneo mbali mbali wakichukua mabegi na nguo zenye kufanana na nguo zao, sasa kwa akili ndogo tu, kwa vile hizo nguo hazikutoka wala kuibiwa jeshini,ilibidi zichomwe moto! Sasa makenge Yale na umaskini wao utakuta yamezibeba yameenda kugawana!
Tatizo LA kuajiri vilaza failures wa form 4 div 4!
Umeshatoka hospital ulipolazwa Sir Elton John?Lissu anataka awe anatoa directions kwa jeshi la polisi huu upuuzi aupeleke huko huko kwao ubelgiji.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wewe kiazi umeishia darasa la 4? Mbona unakuwa na kichwa kizito sana kama pono. Nani kakuambia polisi wanatoa kibali cha mkutano wa siasa. Jinga kbs ww.Unafanyeje mikutano ya HADHARA bila ya kibali cha polisi ?!![emoji15][emoji15][emoji1787]
TL ni wakili wa aina gani ?!!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app